chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,661
Mke wa Benson Kigaila anapopokea mshahara, lazima anakuja nyumbani na ka mchele, ka maharage, shati la Benson Kigaila, nguo za watoto. Bila shaka Benson Kigaila akikaa meza ya chakula, huwa anakula mshahara unaotoka kwa Mkewe, lakini akienda jukwaani, akiwa amevaa shati na viatu alilonunuliwa na mkewe ameshashiba, anasema ubunge wa Mkewe so halali.
Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CHADEMA, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.
Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.
Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.
Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CHADEMA, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.
Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.
Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.