olimpio
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 402
- 834
Je, ni kweli uongozi wa Chadema hawakutoa baraka kwa wanaoitwa covid-19 kwenda bungeni?
Je, ni kweli walienda bila uongozi kuwateua?
Kama ni kweli inakuaje hawa waliondoka bila wenza wao kujua?
1. Bensoni Kigaila(Kiongozi wa chadema) mke wake ni mmoja wa wanaoitwa covid -19, je alimtoroka mme wake?
2. Mzazi mwenza wa Bulaya (ni kiongozi wa chama akitokea zanzibar) , je alikua haijui mzazi mwenza wake?
3...
List inaweza kuendelea na kuwa kubwa zaidi , lakini mashaka makubwa sana yanakuja pale ambapo uongozi wa chadema unafanya makosa ya kiufundi (tactical errors) kwenye process za kuwaondoa kwenye chama ili wawe na haki ya kukata rufaa na kushinda mahakamani.
Mfano , uongozi wa juu wa chama ulifanya makusudi kuwa sehemu ya kikao cha mkutano mkuu ili maamuzi ya kuwaondoa akina Mdee na wenzake yaharibike, (Think about this...).
Wasi wasi wangu ni kuwa hii ramani ya hawa watu kwenda Bungeni ina baraka za uongozi wa juu na ilipofikia wanajaribu kufanya crisis management ili muda uishe lakini there is nothing Chadema watafanya kuwaondoa hawa watu.
Je, ni kweli walienda bila uongozi kuwateua?
Kama ni kweli inakuaje hawa waliondoka bila wenza wao kujua?
1. Bensoni Kigaila(Kiongozi wa chadema) mke wake ni mmoja wa wanaoitwa covid -19, je alimtoroka mme wake?
2. Mzazi mwenza wa Bulaya (ni kiongozi wa chama akitokea zanzibar) , je alikua haijui mzazi mwenza wake?
3...
List inaweza kuendelea na kuwa kubwa zaidi , lakini mashaka makubwa sana yanakuja pale ambapo uongozi wa chadema unafanya makosa ya kiufundi (tactical errors) kwenye process za kuwaondoa kwenye chama ili wawe na haki ya kukata rufaa na kushinda mahakamani.
Mfano , uongozi wa juu wa chama ulifanya makusudi kuwa sehemu ya kikao cha mkutano mkuu ili maamuzi ya kuwaondoa akina Mdee na wenzake yaharibike, (Think about this...).
Wasi wasi wangu ni kuwa hii ramani ya hawa watu kwenda Bungeni ina baraka za uongozi wa juu na ilipofikia wanajaribu kufanya crisis management ili muda uishe lakini there is nothing Chadema watafanya kuwaondoa hawa watu.