johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amesema kama ni kweli kwenye lile kundi la wabunge 19 tuliowafukuza kuna Wake wa Viongozi wao, hayo ni masuala binafsi chama hakiwezi kuingilia.
Tundu Lissu alikuwa akijibu swali la mwandishi Chief Odemba aliyetaka kujua ukweli wa tuhuma hizo na hatua ambazo chama kimechukua.
Tundu Lissu amesema kuna mambo mengine ni ya chumbani hayo siyo sehemu ya mjadala.
Chanzo: Star tv
Jumaa kareem!
Tundu Lissu alikuwa akijibu swali la mwandishi Chief Odemba aliyetaka kujua ukweli wa tuhuma hizo na hatua ambazo chama kimechukua.
Tundu Lissu amesema kuna mambo mengine ni ya chumbani hayo siyo sehemu ya mjadala.
Chanzo: Star tv
Jumaa kareem!