Mke mtarajiwa anapoamua kuaga mchepuko ....

Mke mtarajiwa anapoamua kuaga mchepuko ....

Hahahah....haya matukio yapo sana hata mimi nlishawahi kushuhudia kwa mtu wangu wa karibu kabisa. Alaaniwe mtu aliyewafundisha vijana kula tunda kabla ya ndoa.....haya yote yasingekuwepo

Sema hakyamungu....
 
Naomba nisicomment kuhusiana na hii mada, make ni aibu ma laana!

Wala usiheme mpenzi. Ni bora huyo kamegwa kabla ya ndoa kuliko wanaomegwa baada ya kiapo wakiwa na pete zao za ndoa. Tena wako wengi sana wanawatukana waume zao wakati wakware wakiwachujia protini.

Usiniulize nimejuaje tafazali. Mi nlisimuliwa tu, na mengine nayaona kwa kupiga chabo.
 
Dawa yake usioe tu utakufa kwa presha, hayo mambo yapo na yaeza mpata yeyote
 
Unasikitika kusikia kaja kuaga!!!
Uta faint ukigundua wanaendelea hata baada ya ndoa maana kuna dalili zote!!!
Huyo bint hajitambui na jamaa yako hana msimamo!!!
 
Dah, naamin ntakuja kuoa ila baadae sana.afu kuna my bro anaoa leo uckute ndiy anamuoa huyo..mkuu tel me briefly basi muonekano wa huyo dada?
 
huyo mume itamgharimu sana kumsahaulisha mke wake huo mchepuko vingnevyo atakuwa yeye ni surplus to requirements mchepuko utakuwa na nafas kubwa bado kwenye moyo wa mwanamke

Sijakuelewa .....!!
 
we naeeeeee
hebu wacha watu wadribo!
kwanza hiyo harusi yenyewe wanakamati ni mahawara wa bwana harusi
atakayeserve high table atalala hoteli moja na maharusi honeymoon!
sabkheri boo boo?
 
Sasa baba paroko mbona unanitia majaribu?Unajua kabisa mimi na kizungu hatuendani halafu wewe ndo unanisemesha nacho?Kweli jamani?

Usijali honey tupo pamoja

Nilikuwa nimepewa mvinyo na 'Valentina' ndio maana nilikuwa nimesahau kiswahili!
 
Last edited by a moderator:
Ukimchunguza kuku sana...........

ukitumia akili nyingi sana na muda mwingi sana kuwaza haya mambo , ni kujipunguzia furaha ya maisha.

hiyo ndiyo hali halisi ya sasa hivi , mpaka umri huu nimeshaombwa miago mingi sana na wengine hata baada ya ya ndoa wameendelea kunimendea.

zamani nilikuwa nawaza sana , ila ilifikia mahali likawa hata halisumbui tena akili yangu kwani kuikweli kuoa ni lazima kwa upande wangu.
 
Back
Top Bottom