Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,246
Kabsaa anapaswa amwambie mwenzie ukwel na sio kutishia kujiua akat anajua alipoutoa kama alibakwa au nn aseme mwenzie ajue!Mke wako alichepuka..
Kama unapenda mfe wote mapema na kuacha watoto bila wazazi.. basi kuwa mjinga
Mnunulie matoi umsaidie muyachezee.. kumfikisha bila wewe kupata hayo..
Pole na kila la kheri, anatishia kujiua labda aliyempatia ni mtu wako wa karibu.. ndio maisha jipende..
Jua hawezi kujiua bali anatumia kama njia ya kutokukuambia ukweli.. huku yeye na wake wanajua. Au labda alikuwa analala na wengi wampe maraha na pesa na hajui yupi alimpa