Mke kaniweka njia panda, naombeni ushauri

Mke kaniweka njia panda, naombeni ushauri

Braza chukua makidi kimbia mbio. Kisha wapime na hao watoto inawezekana hata sio wako
 
Jamani wenye ndoa hebu acheni kuchepuka daah!!

Huyo mkeo kama anakupenda mngesitisha mambo ya mahusiano kwa sasa.

Simpatii picha hayo majuto yake kwa sasa.
 
Aachane na maswala ya kutaka kujiua, we endelea kumuuliza hadi aseme aliupataje.
 
Mwache apigwe na huyo aliempatia gonjwa...ww tafuta kigori kingine, chachua mara mojamoja nje
 
sasa kma ukimuuliza anatishiaa kujiua kwa nini usimuulize mara kwa mara ili ajiue chap chap..maana huyo alitakiwa afe ila kiujanja ili usipate kesi..uendelee kudundaa..mbona watoto wako wengi tena hawanati kabisaa
 
Mimi najiuliza, kama alianza kuumwa 2013 na akapima 2015 maana yake kipindi chote mlikuwa mnakutana kimwili.
Kwa nini hakukuambikiza??

Dunia ina mitihani sana, kupitia huu mkasa wako umenifanya nikumbuke mbali sana.

Mke aliugua sana akaenda kupima akakutwa ni mwathirika na alikuwa stage mbaya sana ilibidi apewe sijui dawa gani na vyakula gani ili CD4 ziongezeke aanzishiwe dawa za kupunguza makali ( lugha haijanyooka maana Mimi si mtaalamu wa afya).
Mke akaambiw aende na mtoto wake na mume wake wakapimwe. Mume na mtoto wote walikuwa ni wazima.

Acheni Mungu aitwe Mungu jamani.
Yule mke huu ni mwaka wake wa 15 anaishi na ana afya njema.

Mkuu mpende mke wako, pengine hakuzini, duniani kuna mengi. Ila kama hauna amani kushiriki naye tendo mwambie akuruhusu uoe mke mwingine.
 
Hivi n kweli una cha kufanya hapo mbona jibu LPO waz tu, to fly high you have to leave things that weight you down
 
well tutoke hapo pa nani kaleta na kaletaje!

NAOMBA NIKUSAIDIE KITU!
kwa style unayoenda nayo utajimaliza bila kuambikizwa virusi vya ukimwi!

KUNA MAWILI TU!
KUKUBALI KUWA MKEO NI MUATHIRIKA NAWE HUJAATHIRIKA NA UKAISHI NAE BILA KUENDELEA KUMHUKUMU!
KUKATAA KUWA MKEO NI MUATHIRIKA NAWE HUJAATHRIKA NA UKAMUACHA BILA KUENDELEA KUMHUKUU!

ukikubali ya kwanza, ONGEA NA MKEO MWAMBIE AACHE UBINAFSI ili akusaidie kumsaidia!
ukikubali ya pili, TAFUTA MTU AONGEE NA WEWE AKWAMBIE UACHE UBINAFSI ili umsaidie!
 
Situation yako Ni ngumu Sana.

Ni ngumu hata kushauri.

Za kuambiwa changanya na za kwako
 
Mimi najiuliza, kama alianza kuumwa 2013 na akapima 2015 maana yake kipindi chote mlikuwa mnakutana kimwili.
Kwa nini hakukuambikiza??

Dunia ina mitihani sana, kupitia huu mkasa wako umenifanya nikumbuke mbali sana.

Mke aliugua sana akaenda kupima akakutwa ni mwathirika na alikuwa stage mbaya sana ilibidi apewe sijui dawa gani na vyakula gani ili CD4 ziongezeke aanzishiwe dawa za kupunguza makali ( lugha haijanyooka maana Mimi si mtaalamu wa afya).
Mke akaambiw aende na mtoto wake na mume wake wakapimwe. Mume na mtoto wote walikuwa ni wazima.

Acheni Mungu aitwe Mungu jamani.
Yule mke huu ni mwaka wake wa 15 anaishi na ana afya njema.

Mkuu mpende mke wako, pengine hakuzini, duniani kuna mengi. Ila kama hauna amani kushiriki naye tendo mwambie akuruhusu uoe mke mwingine.
Daaaah what a massive advice! Kunyanyapaliwa ni kitendo kibaya sana na kina shusha CD4 za muathirika kwa kasi kuliko ugonjwa wenyewe as anakuwa na psychological torture itakayokuwa inazidisha makali ya hizo virus.
Cha muhimu amkubali kwa hali yake na ampende alivyo, Mungu atawawekea mkono wake.
 
Kuitwaa mwanaume haimaanishi ni kuubeba uume mwilini mwakoo tu ni pamoja na maumuzi ya kiume broo na kunamuda lazima kwenye maisha useme inatatosha mkeo alikusaliti yn alikusaliti kweli kwelii wake-up broo angalia kufika hatua mpk unajua ana ukimwi na bado unalalanae ty tn kigezo eti na kondom asee kwenye mapenzi kakuteka kwelikwelii au kakulogaa na still mpaka

Leo etii hajakwambia kaupataje unaumiza kichwaaa tu weee sijuii ufanywajee kweli wa Africa ndio maana mzungu alitutawala yani Mungu amekusaidia yu haii mpaka sasa lakini wapi naona unataka kujiteketeza mwenyewe kwa huruma za kijinga eti mke wanguu mke wangu hakuwa wako peke yakoo broo yani uliolea watuuu na bado unakazana kujitia aibu mke wangu humu chukua maamuzi leo kwa ajili ya kesho yako
Na hata angejua amepataje ingesaidia nn sana sana
 
Daaaah what a massive advice! Kunyanyapaliwa ni kitendo kibaya sana na kina shusha CD4 za muathirika kwa kasi kuliko ugonjwa wenyewe as anakuwa na psychological torture itakayokuwa inazidisha makali ya hizo virus.
Cha muhimu amkubali kwa hali yake na ampende alivyo, Mungu atawawekea mkono wake.
[emoji817][emoji817]
Halafu akimfanya vibaya kinaweza kumrudia hicho hicho kilichompata mkewe.
Mimi naamini katika majaribu.
Maandiko yanatuasa tunapojaribiwa tusitende dhambi. Na Mungu akikupa jaribu anakupa na mlango wa kutokea pia.
 
[emoji817][emoji817]
Halafu akimfanya vibaya kinaweza kumrudia hicho hicho kilichompata mkewe.
Mimi naamini katika majaribu.
Maandiko yanatuasa tunapojaribiwa tusitende dhambi. Na Mungu akikupa jaribu anakupa na mlango wa kutokea pia.
Daaah! Mama mchungaji naahidi kuanzia sasa sitokosa kipindi hata kimoja kanisani pako.
Nitakuwa kondoo wako mtiifu kabisa.
Kila tuliwazalo/tulitendalo Bwana anaona na adhabu/malipo ni jambo la muda tu. So obviously kama ataamua kuikubali hali atawalinda maana teyar pana upendo wa kiroho na kimwili and vice versa.
 
Daaah! Mama mchungaji naahidi kuanzia sasa sitokosa kipindi hata kimoja kanisani pako.
Nitakuwa kondoo wako mtiifu kabisa.
Kila tuliwazalo/tulitendalo Bwana anaona na adhabu/malipo ni jambo la muda tu. So obviously kama ataamua kuikubali hali atawalinda maana teyar pana upendo wa kiroho na kimwili and vice versa.
Hahahahaha.
Karibu sana.
 
Anyway, nawashukuru kwa ushauri wenu wadau, kuna watu wamesema nimsamehe maisha yaendelee, Kama umenisoma vizuri utaona tangu 2015 hadi leo ni muda umepita, kimsingi nilimsamehe na kukubali hali iliyopo. Lakini kwa nini sasa na kwa nini nauliza ushauri kwa wadau ni kwamba nimeona zipo Dalili kuwa bado anawasiliana na watu wake. Wiki mbili zilizopita nilichukua simu yake alipokuwa kuoga asubuhi saa 12, nikaona meseji ya kimahusiano toka kwa mtu, sikumuuliza ile asubuhi,,, jioni nikaangalia simu yake nikaona ile sms ameifuta ila alimjibu kuwa "nitakupigia my" na mengine na ni kweli calls zake inaonekana alimpigia. Nilimuuliza aniambie ni nani alimtumia sms asubuhi na aniambie ilisemaje, alikataa kata kata kuwa hakutumiwa meseji yoyote ile,,, sasa hapo kabla ya ile sms alikuwa anaongea na mtu mwingine usiku kama saa nne hivi usiku mimi nikiwa sebuleni yeye chumbani maongezi yao niliyashitukia, nilipomuuliza alikuwa anaongea na nani na walikuwa wanaongea nini alinijibu sio lazima nijue kila anachoongea. Sasa hapo ndipo msamaha niliokuwa nimeutoa kabla natafakari ndio njia panda ilipo wapendwa.
 
Anyway, nawashukuru kwa ushauri wenu wadau, kuna watu wamesema nimsamehe maisha yaendelee, Kama umenisoma vizuri utaona tangu 2015 hadi leo ni muda umepita, kimsingi nilimsamehe na kukubali hali iliyopo. Lakini kwa nini sasa na kwa nini nauliza ushauri kwa wadau ni kwamba nimeona zipo Dalili kuwa bado anawasiliana na watu wake. Wiki mbili zilizopita nilichukua simu yake alipokuwa kuoga asubuhi saa 12, nikaona meseji ya kimahusiano toka kwa mtu, sikumuuliza ile asubuhi,,, jioni nikaangalia simu yake nikaona ile sms ameifuta ila alimjibu kuwa "nitakupigia my" na mengine na ni kweli calls zake inaonekana alimpigia. Nilimuuliza aniambie ni nani alimtumia sms asubuhi na aniambie ilisemaje, alikataa kata kata kuwa hakutumiwa meseji yoyote ile,,, sasa hapo kabla ya ile sms alikuwa anaongea na mtu mwingine usiku kama saa nne hivi usiku mimi nikiwa sebuleni yeye chumbani maongezi yao niliyashitukia, nilipomuuliza alikuwa anaongea na nani na walikuwa wanaongea nini alinijibu sio lazima nijue kila anachoongea. Sasa hapo ndipo msamaha niliokuwa nimeutoa kabla natafakari ndio njia panda ilipo wapendwa.
Mkuu, unateseka Sana.
Huyo mkeo Yuko psychologically affected ukiongeza na hamu zake nyingi atakuwa anagawa Sana.
Na inaonekana mmeshatofautiana kauli.
Na hii ni dalili kuwa anaweza kukuambukiza vvu makusudi.
Endelea kuishi naye huku kila mmoja akiwa na mpango wake, kitu ambacho Ni hatari zaidi au
Kila mtu aendelee na njia nyingine huku ukiendelea kutunza watoto.
Au endelea kuishi na msongo wa mawazo ambao umekuathiri wewe kuliko muhusika.
Akijiua kwa kunywa sumu Ni uamuzi wake.
Hakuna sheria inakufunga kwa kumuacha mke na kuoa mke mwingine.!!
 
Back
Top Bottom