Anyway, nawashukuru kwa ushauri wenu wadau, kuna watu wamesema nimsamehe maisha yaendelee, Kama umenisoma vizuri utaona tangu 2015 hadi leo ni muda umepita, kimsingi nilimsamehe na kukubali hali iliyopo. Lakini kwa nini sasa na kwa nini nauliza ushauri kwa wadau ni kwamba nimeona zipo Dalili kuwa bado anawasiliana na watu wake. Wiki mbili zilizopita nilichukua simu yake alipokuwa kuoga asubuhi saa 12, nikaona meseji ya kimahusiano toka kwa mtu, sikumuuliza ile asubuhi,,, jioni nikaangalia simu yake nikaona ile sms ameifuta ila alimjibu kuwa "nitakupigia my" na mengine na ni kweli calls zake inaonekana alimpigia. Nilimuuliza aniambie ni nani alimtumia sms asubuhi na aniambie ilisemaje, alikataa kata kata kuwa hakutumiwa meseji yoyote ile,,, sasa hapo kabla ya ile sms alikuwa anaongea na mtu mwingine usiku kama saa nne hivi usiku mimi nikiwa sebuleni yeye chumbani maongezi yao niliyashitukia, nilipomuuliza alikuwa anaongea na nani na walikuwa wanaongea nini alinijibu sio lazima nijue kila anachoongea. Sasa hapo ndipo msamaha niliokuwa nimeutoa kabla natafakari ndio njia panda ilipo wapendwa.
Mkuuu nakushauri kwa mara nyingine TENA kwasababu wer ni Mwanaume mwenzangu.
[emoji117][emoji117][emoji117]Mtu asikudanganye kua "ENDELEA KUISHI NAYE OOHOOOO MSAMEHEE NAUZIDI KUMPENDAAAAAA NAKILA AINA YA MBWEMBWE, NIAMIN HAO WANAOKUAMBIA IVO NAWAO WANAJUA KABISA 100% HAWAWEZI KUISHI NAYE KIMAPENZI ...... Usidanganyike ......MSHUKURU MUNGU KWA KUKUWEKA SALAMA MPAKA HAPO ULIPO,,,, KUNYANYAPAA NIVIBAYA..THEN WHAT NWXT??? MAHOSPITALINI TU HUWA TUNAWASHAURI WASIENDELEE KUFANYA NGONO ZEMBE ( tena hapa wote ni waathirika) .......SEMBUSE WER MZIMA NA MKEO KAUMIA, NDO NIKUSHAURI OHOOOOO ENDELEA NAYE TU ?????
MIMI SIO MNAFIKI NDUGU YANGU, ,, NAKUAMBIA HALI HALISI , LAZIMA UFIKIRIE WANAO NAWATOTO.
MTU ASIKUDANGANYE ETI UKIMUACHA ,MWISHO UTAJIKUTA UNAUPATA TENA KWINGINE...KATAAA KATAKATA HAYA MAWAZO KWA NGUVU ZAKO ZOTE SABABU ,MPAKA HAPO TU NI MUNGU.
[emoji117][emoji117][emoji117]NAKAZIA UKIMWI NIMBAYA, MTU ASIKUDANGANYE, UKIMWI NI UGONJWA MBAYA SANAAA , MAAMUZI YAKO NDIO YATAAMUA MAISHA YAKO.
[emoji117][emoji117]UKIAMUA KUISHI NAYE, MFANYE KUA MZAZI MWENZAKO LKN MSIFANYE NGONO + KUA MWANGALIFU WAKATI WA KUMUHUDUMIA.
[emoji117][emoji117][emoji117] SIKIA NARUDIA, SHIRIKISHA WAZAZI WENU, ALAFU WATAKACHOKUAMBIA FANYIA KAZI
IYO SIRI UNAYOIFANYA KUA SIRI. **** SIKU UTAITOA WAKAT AMBAO TAYARI UMESHAUMIA.
NA NINAKUHAKIKISHIA,,, UKISHAUMIA,UKAJA TENA HUMU KUOMBA USHAURI....UTACHEKWA NA KUKEJELIWA SANAAAAAAAA YAAN SANA TUUUUU.
[emoji117]MIMI SIO KWAMBA NINA MTAZAMO HASI JUU YA WAATHIRIKA, NOOOOOOOO..... ILA NAKUSHAURI HALI HALISI.
[emoji101][emoji101][emoji101][emoji101]UMEKASAMEHE LKN BADO KANAENDELEA KUCHAT NAWANAUME,,, UPUUZI GANI HUO???? YAAAN USIKUTE NAYEYE ANAWAAMBUKIZA WENGINE[emoji48][emoji48][emoji48] KWA MAKUSUDI??? HAPO HAUNA MWANAMKE BALI UNA KASHETANI KADOGO KANAKUONEA WIVU WEWE KUA MZIMA SASA KANATAKA KAKUUNGUZE,,, NDIO MAANA BADO KANAWAUNGUZA WENGINE UKO NJE KWA KAS YA 4G
nmetumia lugha nyoofu ili unielewe,,, usiponielewa basi ilo nijuu yako....
NARUDIA ,SHIRIKISHA WAZAZI WENU ,UTAKUA HURU NAHATA JUU YA MALEZI YA WATOTO UTASHAURIWA VIZURI.
UKIAMUA KUISHI NAYE NA KUSHIRIKIANA NAYE, BASI UWE UMESHAJITOA 100% TU LOLOTE NALIWE...INGAWA UTADHARAULIKA SANA.