😊😊mlipima na akili
inaonekana huna kabisa
😊😊mlipima na akili
inaonekana huna kabisa
Ndoa ni neno pana sana, mke kuchepuka linakuwa jambo kubwa sana but mme kuchepuka kawaida kabisa.Mimi ni mwanaume wa miaka 35, nilioa mwaka 2009. Kabla ya kuoana tulipima na wote tulionekana tupo salama.
Tukazaa watoto Wawili, mwaka 2013 mke alianza kuumwa, alikuwa anatibiwa homa inarudia rudia, baada ya hali kuzidi akashauriwa kupima ukimwi mwaka 2015 na ndipo akagundulika kuwa ameathirika, na mme nikapima zaidi ya mara tatu nikaonekana ni negative.
Kwa muda wote huo tumekuwa tukitumia mipira katika tendo la ndoa. Kimsingi tangu nilivyooa sikuwahi kuchepuka. Shida niliyonayo mimi kwa sasa najawa na msongo wa mawazo kwa Muda mrefu hadi nimepungua kiukweli, sioni radha yoyote kwenye tendo, sipati msisimko wowote kwake. Moyo umekufa kabisa.
Nikiwa nae karibu ndio najawa na mawazo, sioni mapenzi yoyote kwake,,, kibaya zaidi hajawahi kuniambia alipataje na nikimuuliza anaanza kulia hadi kuchukua sumu kutishia kujiua. Ninashindwa nifanyaje nikijiangalia na umri wangu bado mdogo.
Naomba ushauri wenu wadau nifanyaje kwa sababu yeye anaonekana ana njaa kubwa ya tendo la ndoa na mimi hali ndio hivo.
Kwa mara ya kwanza tangia nizaliwe leo ndio nakupa like
So mchezo, huku upo vizuri balaa!Mke wako alichepuka..
Kama unapenda mfe wote mapema na kuacha watoto bila wazazi.. basi kuwa mjinga
Mnunulie matoi umsaidie muyachezee.. kumfikisha bila wewe kupata hayo..
Pole na kila la kheri, anatishia kujiua labda aliyempatia ni mtu wako wa karibu.. ndio maisha jipende..
Jua hawezi kujiua bali anatumia kama njia ya kutokukuambia ukweli.. huku yeye na wake wanajua. Au labda alikuwa analala na wengi wampe maraha na pesa na hajui yupi alimpa
1. Mna watoto(Wanakutegemea)Mimi ni mwanaume wa miaka 35, nilioa mwaka 2009 kabla ya kuoana tulipima na wote tulionekana tupo salama.
Tukazaa watoto wawili, mwaka 2013 mke alianza kuumwa, alikuwa anatibiwa homa inarudia rudia, baada ya hali kuzidi akashauriwa kupima ukimwi mwaka 2015 na ndipo akagundulika kuwa ameathirika, na mimi nikapima zaidi ya mara tatu nikaonekana ni negative.
Kwa muda wote huo tumekuwa tukitumia mipira katika tendo la ndoa kimsingi tangu nilivyooa sikuwahi kuchepuka shida niliyonayo mimi kwa sasa najawa na msongo wa mawazo kwa muda mrefu hadi nimepungua kiukweli, sioni radha yoyote kwenye tendo, sipati msisimko wowote kwake moyo umekufa kabisa.
Nikiwa nae karibu ndio najawa na mawazo, sioni mapenzi yoyote kwake kibaya zaidi hajawahi kuniambia alipataje na nikimuuliza anaanza kulia hadi kuchukua sumu kutishia kujiua ninashindwa nifanyaje nikijiangalia na umri wangu bado mdogo.
Naomba ushauri wenu wadau nifanyaje kwa sababu yeye anaonekana ana njaa kubwa ya tendo la ndoa na mimi hali ndio hivo.
yaani huyu jamaa nimemshangaa Ana moyo wa agape" mnoo " Amesahau kuwa UKIMWI hauambukizwi kwa kumtia tu pekee"... anaweza kuupata hata kwa kumla mate au kumnawa papuchi" endapo akiwa na michubuko".... kwenye dushe anavaa protection " sasa sijui kwenye mdomo na mikono atavaa glovesUshauri ni rahisi tu mkeo anataka kukuambukiza ugonjwa sasa ni wewe na akili yako kufanya maamuzi magumu
dah umeandika maneno mengi mpaka umenzidi mtoa mada kwakweli umechafukwa San na hichi kitendo kumywa maji kwanzaUshauri ni rahisi tu mkeo anataka kukuambukiza ugonjwa sasa ni wewe na akili yako kufanya maamuzi magumu
Hapana mimi napenda mchezo msafi cocochanelEeeeeh
Endelea kunipa like ili nikunoti.. na mimi nije kukupa like hadi zifikie idadi ya nilizonazo.. ungeandika tu kwamba unapenda haya ya mchezo mchafu.. 🤣🤣🤣🤡
🙄[emoji8]
Kama ni wa kuupata UKIMWI angeliupata mapema sana. Kumbuka amekuwa kaikutana na mkewe kwa zaidi ya miaka mitatu bila kinga yoyote na hakupata. Amekuwa akikutana na mkewe kwa miaka mitatu mingine na hajapata. Nuru ya Mwenyezi MUNGU ipo naye. Lkn kwa kuwa ameshingia hofu, ni lazima atumie kinga.yaani huyu jamaa nimemshangaa Ana moyo wa agape" mnoo " Amesahau kuwa UKIMWI hauambukizwi kwa kumtia tu pekee"... anaweza kuupata hata kwa kumla mate au kumnawa papuchi" endapo akiwa na michubuko".... kwenye dushe anavaa protection " sasa sijui kwenye mdomo na mikono atavaa gloves
hakuna mahali popote aliposema kuwa alishakwenda kupima tena" baada ya hiyo miaka " 3 ...so mimi nawewe hatuna uhakika kama jamaa bado nimzima". kama awaliKama ni wa kuupata UKIMWI angeliupata mapema sana. Kumbuka amekuwa kaikutana na mkewe kwa zaidi ya miaka mitatu bila kinga yoyote na hakupata. Amekuwa akikutana na mkewe kwa miaka mitatu mingine na hajapata. Nuru ya Mwenyezi MUNGU ipo naye. Lkn kwa kuwa ameshingia hofu, ni lazima atumie kinga.
Nimekusoma mkuuhakuna mahali popote aliposema kuwa alishakwenda kupima tena" baada ya hiyo miaka " 3 ...so mimi nawewe hatuna uhakika kama jamaa bado nimzima". kama awali