Mke kaniweka njia panda, naombeni ushauri

Mke kaniweka njia panda, naombeni ushauri

kijana , mbele yako ukimuona simba nini utafanya na kwanini akulazimishe kufanya ngono uku anajua hali yake? je nikutaka kutafuta sababu ya kwann licha yaww kua nawe ,hukuupata nayeye ndo akaupata?

kwanini alazimishe ngono ili hali mapenzi nizaidi ya ngono? kwanini usitafute njia za kumridhisha nje ya sex? je umeshindwa kukaa naye nakumweleza kwa upole?

Kademu kako nikajinga kwaiyo kanataka mfanane na mind you, huyo demu anatumia nguvu ya ushawishi walozaliwa nayo kutaka mwisho wasiku mfanane, sikia, huyo demu ni delila wa samson ,yaani kanakudanganya kua kanataka kujiua, ili wewe uliingie mkenge ule mzigo. na kukuakikishia, ikiwa anadiriki kufikia hatua ya kukulazimisha umle ,tena hadi kwakutishia kujiua basi tambua kua uyo demu yupo radhi kutumia kila mbinu ili mfanane kwamaana moyoni mwake ana kitu cha "why me?" angekua anajielewa angekuambia maneno haya

[emoji117]"Mume wangu, we ni baba watoto wangu,, kwanza naomba unisamehe kwa kosa nilokutendea, unisamehe kwa kuleta ugonjwa huu ndani, pili nongeomba kuanzia sasa, tusikutane kimwili badala yake nipe nafasi nitengeze afya yangu lkn kubwa nakuhitaji sasa ubebe jukumu zaidi lakuhakikisha watoto wanakua, ikitokea unataka kuoa unaweza kuoa tu ila mimi naomba unihakikishie tu mahitaji yangu"

sasa weee unapambana na kademu kanawivu sanaaaaa kiasi kwamba licha ya hali iyo bado amekukomalia daaahhh

je umewashirikisha wazazi wenu? eti jibu no [emoji23][emoji23][emoji23] ivi wanaume siku izi ndo mmebakia wahivi?.

kama kweli unajiamini uko salama na yeye nimgonjwa bahati mbaya kabisa na kwa makusudi hataki kukuambia,.kwanini usiitishe kikao cha ghafla nyumban bila kumjulisha? ili ajikute unamuhitaji aseme ukweli mbele ya wazazi wenu? na atakaposema au asiposema wee utakua uhuru kisha utamfanyia ustaharabu wa yeye kua namaisha yake lets say unampangisha unampa mtaji wa maisha kisha anabaki kua mzazi mwenzako wa watoto lkn sio kimwili? .

miaka 35 maana yake bado mdogo unahitaji hitaji la kimwili sana ,sasa utavumilia ?


[emoji117]ushauri naokupa, waite wazazi ,usiwambie kwanza, waite kwa kuwashtukiza na mkeo asijue.

[emoji117]watoto siku iyo wasiwepo,, alafu kisha waeleze wazazi wenu ukweli+ umtake mwanamke wako aseme aliupataje !!!...( hapa kwajibu lolote atakalokupa nahata asiposema , utakua umejitoa ktk mzigo wa lawama tena hata wazazi wa mwanamke watakuambia ruksa kuachana naye ) ..ukweli nikwamba nawao wanajua wasingependa iyo kitu.

sasa kuna mawili [emoji117]uendelee kishi naye on your own risk ( nakwamaelezo yako ,nakuhakikishia ni risk kwelikweli)

au [emoji117]mgeuze kua mzazi mwenzako lkn msishiriki kitu ( ingawa hii kwa myumba moja ningumu) lakini weee nomaaa ,weee kibokoo mkuuu yaan demu umemjua lkn bado unakula mzigo kisa kondomu? ama kweli watanzania na waafrika ndo tunauchukulia ukimwi kama malaria khaaaaaaa.

Alafu usikute ndoa yenyewe ya njooo tuishi, mifujo kibao usikute alikua mchepukaji balaaa sasa mbingu zikamuadhibu uku zikikuponya weee. lkn bado unataka kubebana na msalaba wa mtu huwazii tena kua namtoto kuwaendelezea wanao? au akili yako inakutima kua , hata ukiendelea kumla hutoupata?


Mimi nadhani maelezo yako hayajakamilika , umeficha ficha tu hapaa, maana mwanaume anayejielewa kwanza angeuthibitisha uaname wake hapa, yakwamba "mke wangu nakupenda sana , nitajitahidi kukupa furaha lkn suala la ngono tuliache"....kama kweli unampenda.
Sina cha ku comment mkuu umemaliza kila kitu alafu kila idara
 
Mkuu kitaalamu Mke wako labda alikuwa Positive toka hiyo 2009, kwa maana 2013 ni four years tu toka awe infected.. na kwa kawaida HIV inakuwa na Asymptomatic period ambacho hakuna dalili na huchukua takribani miaka 10 dalili kuzionesha toka alipoathirika, na huenda analia kukuficha maybe alimhonga daktari kwamba hiyo 2013 aonekane negative ili tu mfunge Ndoa!

Kuhusu swala la tendo la Ndoa, mshauri aanze kutumia ARV's hizi dawa ni maalum hasa kama Treatment as Prevention.. zitalower viral load na atakuwa salama hasa utakapotumia Condom!

Usimtenge wala Kumnyanyapaa, kitendo labda cha wewe kutochepuka kisikutie hasira sasa ukaacha kumjali.. Kumbuka haya Mambo hayamkuti Mnyama!

Binadamu wote ni sawa Katika uwepo wa Kifo!
 
akitishia kujiua mtafutie sumu iliyo kali zaidi afe upesi, dunia inaharibika kwa kuwalea walioisababishia matatizo.
 
Kinachoua watu kwenye ukimwi, ni ujinga kuhusu ukimwi. Hicho ndicho kinachoongoza kuua, kwa maelezo ya awali uliyoyatoa pamoja na ushauri uliotolewa unaonyesha kiwango cha ujinga kuhusu ukimwi.

Kwenye ukimwi kuna watu wanabeba vimelea vya ukimwi na wao kutokuonyesha wala vidudu kuonekana wakati wa kupima, hawa watu ndio wanasayansi wanatafuta kujua jinsi gani ya kupata vimelea walivyonavyo na kuwawekea wengine ili kuwa ni kinga ya kila mtu, hivyo kunekana kwako kuwa huna inawezekana na wewe ni kati ya watu wenye vimelea hivyo naturally.

Kuna familia moja mume ni mwenye VVU kwa muda mrefu na mke anazaa naye lakini mke wake hajawahi wala hajapata hivyo vijidudu.

Kwa hiyo ndugu yangu inawezekana huo ushauri wa kwenda kwa mwingine ni wa kukuambia kawaambukize wengine.

Huyo mke wako atakufa haraka sio kwa VVU bali kwa mawazo yanayotokana na masimango, masimango hayo chanzo chake ni kufikiria kupata kwake ukimwi kumetokana na kuchepuka kisa wewe huna, hivyo kifikra kapata kwingine.

Kupima mwanzoni mlipima kujua kama mnavyo au la lakini hamkupima kama kuna mbebaji asiyedhurika au kuonyesha amebeba.

Utakapokwenda kwenye kikao cha familia usishangae watano kati ya kumi uliowaita kwenye kikao nao ni waathirika wanaotumia dawa ila hawajakuambia.

Kuna magonjwa mbalimbali yanayotumia dawa kila siku, kisukari, moyo, heartitis B na mengine kwa wagonjwa wote hao niliowataja wanaotumia dawa hao watakuwa wa kwanza kufa kabla ya mkeo kama wote wataendelea kutumia dawa kama walivyoshauriwa. Mwambie mkeo atumie dawa na wewe usiwe sehemu ya kumnyanyasa.
Huu ushauri ni ushauri BORA unaofaa kuzingatiwa!
Ni haki ya mwenye akili timamu kuuelewa.
Umejaa UBINADAMU.
Na binadamu ndio sisi.
 
Mke wako alichepuka..
Kama unapenda mfe wote mapema na kuacha watoto bila wazazi.. basi kuwa mjinga

Mnunulie matoi umsaidie muyachezee.. kumfikisha bila wewe kupata hayo..

Pole na kila la kheri, anatishia kujiua labda aliyempatia ni mtu wako wa karibu.. ndio maisha jipende..

Jua hawezi kujiua bali anatumia kama njia ya kutokukuambia ukweli.. huku yeye na wake wanajua. Au labda alikuwa analala na wengi wampe maraha na pesa na hajui yupi alimpa
Well said congtln mdau
 
Mkuu Mimi nipo chini ya 24 years lakini katika hili suala nadhani kabisa haina haja ya kuomba ushauri kwa kuangalia watoto wako na wazazi pia wanaokutegemea....pull your self out of that problem na kuwa mkali inapotakiwa....kujiua sio issue ndogo hawezi jiua huyo anatishia
 
kijana , mbele yako ukimuona simba nini utafanya na kwanini akulazimishe kufanya ngono uku anajua hali yake? je nikutaka kutafuta sababu ya kwann licha yaww kua nawe ,hukuupata nayeye ndo akaupata?

kwanini alazimishe ngono ili hali mapenzi nizaidi ya ngono? kwanini usitafute njia za kumridhisha nje ya sex? je umeshindwa kukaa naye nakumweleza kwa upole?

Kademu kako nikajinga kwaiyo kanataka mfanane na mind you, huyo demu anatumia nguvu ya ushawishi walozaliwa nayo kutaka mwisho wasiku mfanane, sikia, huyo demu ni delila wa samson ,yaani kanakudanganya kua kanataka kujiua, ili wewe uliingie mkenge ule mzigo. na kukuakikishia, ikiwa anadiriki kufikia hatua ya kukulazimisha umle ,tena hadi kwakutishia kujiua basi tambua kua uyo demu yupo radhi kutumia kila mbinu ili mfanane kwamaana moyoni mwake ana kitu cha "why me?" angekua anajielewa angekuambia maneno haya

[emoji117]"Mume wangu, we ni baba watoto wangu,, kwanza naomba unisamehe kwa kosa nilokutendea, unisamehe kwa kuleta ugonjwa huu ndani, pili nongeomba kuanzia sasa, tusikutane kimwili badala yake nipe nafasi nitengeze afya yangu lkn kubwa nakuhitaji sasa ubebe jukumu zaidi lakuhakikisha watoto wanakua, ikitokea unataka kuoa unaweza kuoa tu ila mimi naomba unihakikishie tu mahitaji yangu"

sasa weee unapambana na kademu kanawivu sanaaaaa kiasi kwamba licha ya hali iyo bado amekukomalia daaahhh

je umewashirikisha wazazi wenu? eti jibu no [emoji23][emoji23][emoji23] ivi wanaume siku izi ndo mmebakia wahivi?.

kama kweli unajiamini uko salama na yeye nimgonjwa bahati mbaya kabisa na kwa makusudi hataki kukuambia,.kwanini usiitishe kikao cha ghafla nyumban bila kumjulisha? ili ajikute unamuhitaji aseme ukweli mbele ya wazazi wenu? na atakaposema au asiposema wee utakua uhuru kisha utamfanyia ustaharabu wa yeye kua namaisha yake lets say unampangisha unampa mtaji wa maisha kisha anabaki kua mzazi mwenzako wa watoto lkn sio kimwili? .

miaka 35 maana yake bado mdogo unahitaji hitaji la kimwili sana ,sasa utavumilia ?


[emoji117]ushauri naokupa, waite wazazi ,usiwambie kwanza, waite kwa kuwashtukiza na mkeo asijue.

[emoji117]watoto siku iyo wasiwepo,, alafu kisha waeleze wazazi wenu ukweli+ umtake mwanamke wako aseme aliupataje !!!...( hapa kwajibu lolote atakalokupa nahata asiposema , utakua umejitoa ktk mzigo wa lawama tena hata wazazi wa mwanamke watakuambia ruksa kuachana naye ) ..ukweli nikwamba nawao wanajua wasingependa iyo kitu.

sasa kuna mawili [emoji117]uendelee kishi naye on your own risk ( nakwamaelezo yako ,nakuhakikishia ni risk kwelikweli)

au [emoji117]mgeuze kua mzazi mwenzako lkn msishiriki kitu ( ingawa hii kwa myumba moja ningumu) lakini weee nomaaa ,weee kibokoo mkuuu yaan demu umemjua lkn bado unakula mzigo kisa kondomu? ama kweli watanzania na waafrika ndo tunauchukulia ukimwi kama malaria khaaaaaaa.

Alafu usikute ndoa yenyewe ya njooo tuishi, mifujo kibao usikute alikua mchepukaji balaaa sasa mbingu zikamuadhibu uku zikikuponya weee. lkn bado unataka kubebana na msalaba wa mtu huwazii tena kua namtoto kuwaendelezea wanao? au akili yako inakutima kua , hata ukiendelea kumla hutoupata?


Mimi nadhani maelezo yako hayajakamilika , umeficha ficha tu hapaa, maana mwanaume anayejielewa kwanza angeuthibitisha uaname wake hapa, yakwamba "mke wangu nakupenda sana , nitajitahidi kukupa furaha lkn suala la ngono tuliache"....kama kweli unampenda.
Psychologist online,,,,,,uko vizuri sana mkuu big up
 
Kuitwaa mwanaume haimaanishi ni kuubeba uume mwilini mwakoo tu ni pamoja na maumuzi ya kiume broo na kunamuda lazima kwenye maisha useme inatatosha mkeo alikusaliti yn alikusaliti kweli kwelii wake-up broo angalia kufika hatua mpk unajua ana ukimwi na bado unalalanae ty tn kigezo eti na kondom asee kwenye mapenzi kakuteka kwelikwelii au kakulogaa na still mpaka

Leo etii hajakwambia kaupataje unaumiza kichwaaa tu weee sijuii ufanywajee kweli wa Africa ndio maana mzungu alitutawala yani Mungu amekusaidia yu haii mpaka sasa lakini wapi naona unataka kujiteketeza mwenyewe kwa huruma za kijinga eti mke wanguu mke wangu hakuwa wako peke yakoo broo yani uliolea watuuu na bado unakazana kujitia aibu mke wangu humu chukua maamuzi leo kwa ajili ya kesho yako
Halafu umakuta hao w nje ndo walikua wanambamiza vibaya
 
Asante sana kwa ushauri wako,,,, ndio maana nimeweka humu ili mnisaidie kimawazo, mawazo ni zaidi ya dawa ndugu zanguni,,, bado endeleeni kutoa nahitaji sana mawazo kama yako Mungu awabariki sana
Pole Kk hyo n sehemu y maisha ila for the sun or rain inahitaji maamuzi magumu saaaana
 
Kinachoua watu kwenye ukimwi, ni ujinga kuhusu ukimwi. Hicho ndicho kinachoongoza kuua, kwa maelezo ya awali uliyoyatoa pamoja na ushauri uliotolewa unaonyesha kiwango cha ujinga kuhusu ukimwi.

Kwenye ukimwi kuna watu wanabeba vimelea vya ukimwi na wao kutokuonyesha wala vidudu kuonekana wakati wa kupima, hawa watu ndio wanasayansi wanatafuta kujua jinsi gani ya kupata vimelea walivyonavyo na kuwawekea wengine ili kuwa ni kinga ya kila mtu, hivyo kunekana kwako kuwa huna inawezekana na wewe ni kati ya watu wenye vimelea hivyo naturally.

Kuna familia moja mume ni mwenye VVU kwa muda mrefu na mke anazaa naye lakini mke wake hajawahi wala hajapata hivyo vijidudu.

Kwa hiyo ndugu yangu inawezekana huo ushauri wa kwenda kwa mwingine ni wa kukuambia kawaambukize wengine.

Huyo mke wako atakufa haraka sio kwa VVU bali kwa mawazo yanayotokana na masimango, masimango hayo chanzo chake ni kufikiria kupata kwake ukimwi kumetokana na kuchepuka kisa wewe huna, hivyo kifikra kapata kwingine.

Kupima mwanzoni mlipima kujua kama mnavyo au la lakini hamkupima kama kuna mbebaji asiyedhurika au kuonyesha amebeba.

Utakapokwenda kwenye kikao cha familia usishangae watano kati ya kumi uliowaita kwenye kikao nao ni waathirika wanaotumia dawa ila hawajakuambia.

Kuna magonjwa mbalimbali yanayotumia dawa kila siku, kisukari, moyo, heartitis B na mengine kwa wagonjwa wote hao niliowataja wanaotumia dawa hao watakuwa wa kwanza kufa kabla ya mkeo kama wote wataendelea kutumia dawa kama walivyoshauriwa. Mwambie mkeo atumie dawa na wewe usiwe sehemu ya kumnyanyasa.
Hii mie naona n win-win approach


Wale wabebaji kitaalamu wanaitwa 5%
 
Walioambukizwa virusi vya ukimwi sio wajinga wala ambao wajaambukizwa virusi ukimwi sio wajanja hata kidogo.
 
Piga chini. Linapokuja suala la uhai huruma weka pembeni. Upo katika vita na adui kaishiwa risasi anakuhadaa eti umhurumie
 
najua kwa nafasi ulionao kwa sasa huwezi kuwa mshauri mzuri kwa mkeo kwa changamoto iliyokukuta.
  1. kwanza sikubaliani na kondom kama ndio kinga ya wewe usipate ukimwi, unaweza ukapata vilevile. yalishafanyika majaribio kwa waliotumia hizo kondom kwa uzazi wa mpango na wapo waliopata mimba hivyo bado sio salama.
  2. sikushauri umwache kwa kuwa ndoa ni taasisi ni zaidi ya tendo la ndoa unachohitaji ni kujaribu kusamehe na hili ndilo tatizo kukabiliana nalo halafu maisha yaendelee.
  3. lakini hakuna haki bila wajibu lazima mkeo aeleze ukweli nani alimwambukiza na hii italeta maumivu kwa wote wawili kwa wakati mmoja lakini baada ya maumivu mnatakiwa kuyakubali matokeo na kuweka makubaliano ni kwa jinsi gani mtaendelea na maisha kama wenye ndoa.
  4. kuna tetesi kuwa mtu akianza kutumia dawa rate ya kuambukizwa ukimwi ni ndogo hivyo kama ni risk taker unaweza kuendelea japo hili linahitaji ushauri wa daktari.
  5. vinginevyo MWENYEZI MUNGU akupe nguvu na uvumilivu uweze kuchukua changamoto hizi kwa uaminifu.
 
Nawashukuru kwa ushauri wenu, sizuii mtu yeyote kutoa maoni kwa lugha na kauli yoyote ile,,, kuweni huru kabisa na kadiri lugha kali inavyotolewa ndivyo ninapoongezewa ujasiri wa kukabiliana na hili suala,,, kuweni huru wapendwa.
 
Sioni sababu ya kuomba ushauri wakati mlioana mkiwa salama mwenzio kaenda kuutafuta labda utafanya maamuzi akichukua kisu na kukiweka shingoni kwako, kwa huyo wanakutosha hao watoto ni kweli ukiambikizwa ukimwi hutakufa sasa ila muziki wake ni sawa na kusema umekufa mawazo kila dakika yaanini yote hayo, huyo asikutishe hata akinywa sumu hatakuwa wa kwanza kujiua ndo chaguo lake asikulazimishe uuvae mkenge akikuambukiza atasambaza taarifa kwa ndugu na jamaa kukulalamikia kuwa umemletea maradhi mwache apambane na hali yake, kama mmejenga mwachie makazi kaanzishe pengine usisumbuke na mtu asiyejitambua
 
Una uhakika wewe uko salama? Kama ni kweli wewe uko salama basi acha kushiriki nae tendo la Ndoa, mlipewa ushauri gani baada ya kupima afya zenu?
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 35, nilioa mwaka 2009 kabla ya kuoana tulipima na wote tulionekana tupo salama.

Tukazaa watoto wawili, mwaka 2013 mke alianza kuumwa, alikuwa anatibiwa homa inarudia rudia, baada ya hali kuzidi akashauriwa kupima ukimwi mwaka 2015 na ndipo akagundulika kuwa ameathirika, na mimi nikapima zaidi ya mara tatu nikaonekana ni negative.

Kwa muda wote huo tumekuwa tukitumia mipira katika tendo la ndoa kimsingi tangu nilivyooa sikuwahi kuchepuka shida niliyonayo mimi kwa sasa najawa na msongo wa mawazo kwa muda mrefu hadi nimepungua kiukweli, sioni radha yoyote kwenye tendo, sipati msisimko wowote kwake moyo umekufa kabisa.

Nikiwa nae karibu ndio najawa na mawazo, sioni mapenzi yoyote kwake kibaya zaidi hajawahi kuniambia alipataje na nikimuuliza anaanza kulia hadi kuchukua sumu kutishia kujiua ninashindwa nifanyaje nikijiangalia na umri wangu bado mdogo.

Naomba ushauri wenu wadau nifanyaje kwa sababu yeye anaonekana ana njaa kubwa ya tendo la ndoa na mimi hali ndio hivo.
Pole sana mkuu. Una moyo tena umemkaribia hata YESU.
Ushauri wangu awe muwazi huyo hawezi kujinyonga mbane aseme wanaojinyonga huwa hawasemi.
Mwambie asiposema mnaachana. Hana njaa yoyote anakuchezea comedy kulazimisha kufuta kosa alilokutendea. Usimruhusu akupande kichwani mara mbili.
 
Una uhakika wewe uko salama? Kama ni kweli wewe uko salama basi acha kushiriki nae tendo la Ndoa, mlipewa ushauri gani baada ya kupima afya zenu?
Niko salama kabisa, juzi tu mwezi wa nane nimerudia kupima niko safi tu, ushauri alipewa yeye,,,, unajua baada ya kuona ameathirika alikuwa anachukua dawa hospitali fulani hivi, alivoona sijui watu wameanza kumkariri alihama kituo cha dawa, amekaa kidogo tena kahama. Hata hivyo kwenye hivyo vituo hatumii jina lake halisi. Hapa alipo kuna hospitali kubwa tu ya mission ila anachukulia dawa kijiji cha kilicho kata nyingine kwa jina ambalo sio lake. Yaani hataki kabisa watu wajue
 
kijana , mbele yako ukimuona simba nini utafanya na kwanini akulazimishe kufanya ngono uku anajua hali yake? je nikutaka kutafuta sababu ya kwann licha yaww kua nawe ,hukuupata nayeye ndo akaupata?

kwanini alazimishe ngono ili hali mapenzi nizaidi ya ngono? kwanini usitafute njia za kumridhisha nje ya sex? je umeshindwa kukaa naye nakumweleza kwa upole?

Kademu kako nikajinga kwaiyo kanataka mfanane na mind you, huyo demu anatumia nguvu ya ushawishi walozaliwa nayo kutaka mwisho wasiku mfanane, sikia, huyo demu ni delila wa samson ,yaani kanakudanganya kua kanataka kujiua, ili wewe uliingie mkenge ule mzigo. na kukuakikishia, ikiwa anadiriki kufikia hatua ya kukulazimisha umle ,tena hadi kwakutishia kujiua basi tambua kua uyo demu yupo radhi kutumia kila mbinu ili mfanane kwamaana moyoni mwake ana kitu cha "why me?" angekua anajielewa angekuambia maneno haya

[emoji117]"Mume wangu, we ni baba watoto wangu,, kwanza naomba unisamehe kwa kosa nilokutendea, unisamehe kwa kuleta ugonjwa huu ndani, pili nongeomba kuanzia sasa, tusikutane kimwili badala yake nipe nafasi nitengeze afya yangu lkn kubwa nakuhitaji sasa ubebe jukumu zaidi lakuhakikisha watoto wanakua, ikitokea unataka kuoa unaweza kuoa tu ila mimi naomba unihakikishie tu mahitaji yangu"

sasa weee unapambana na kademu kanawivu sanaaaaa kiasi kwamba licha ya hali iyo bado amekukomalia daaahhh

je umewashirikisha wazazi wenu? eti jibu no [emoji23][emoji23][emoji23] ivi wanaume siku izi ndo mmebakia wahivi?.

kama kweli unajiamini uko salama na yeye nimgonjwa bahati mbaya kabisa na kwa makusudi hataki kukuambia,.kwanini usiitishe kikao cha ghafla nyumban bila kumjulisha? ili ajikute unamuhitaji aseme ukweli mbele ya wazazi wenu? na atakaposema au asiposema wee utakua uhuru kisha utamfanyia ustaharabu wa yeye kua namaisha yake lets say unampangisha unampa mtaji wa maisha kisha anabaki kua mzazi mwenzako wa watoto lkn sio kimwili? .

miaka 35 maana yake bado mdogo unahitaji hitaji la kimwili sana ,sasa utavumilia ?


[emoji117]ushauri naokupa, waite wazazi ,usiwambie kwanza, waite kwa kuwashtukiza na mkeo asijue.

[emoji117]watoto siku iyo wasiwepo,, alafu kisha waeleze wazazi wenu ukweli+ umtake mwanamke wako aseme aliupataje !!!...( hapa kwajibu lolote atakalokupa nahata asiposema , utakua umejitoa ktk mzigo wa lawama tena hata wazazi wa mwanamke watakuambia ruksa kuachana naye ) ..ukweli nikwamba nawao wanajua wasingependa iyo kitu.

sasa kuna mawili [emoji117]uendelee kishi naye on your own risk ( nakwamaelezo yako ,nakuhakikishia ni risk kwelikweli)

au [emoji117]mgeuze kua mzazi mwenzako lkn msishiriki kitu ( ingawa hii kwa myumba moja ningumu) lakini weee nomaaa ,weee kibokoo mkuuu yaan demu umemjua lkn bado unakula mzigo kisa kondomu? ama kweli watanzania na waafrika ndo tunauchukulia ukimwi kama malaria khaaaaaaa.

Alafu usikute ndoa yenyewe ya njooo tuishi, mifujo kibao usikute alikua mchepukaji balaaa sasa mbingu zikamuadhibu uku zikikuponya weee. lkn bado unataka kubebana na msalaba wa mtu huwazii tena kua namtoto kuwaendelezea wanao? au akili yako inakutima kua , hata ukiendelea kumla hutoupata?


Mimi nadhani maelezo yako hayajakamilika , umeficha ficha tu hapaa, maana mwanaume anayejielewa kwanza angeuthibitisha uaname wake hapa, yakwamba "mke wangu nakupenda sana , nitajitahidi kukupa furaha lkn suala la ngono tuliache"....kama kweli unampenda.
Umemaliza kila kitu huyu jamaa simwelewi na sintamwelewa kabisaa.
 
Back
Top Bottom