ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,727
- 2,417
Kwenu wakuu,
Kwa muda mchache nimepata ushauri wa kutosha kazi iliyobaki ni kufikisha ujumbe.
Kuna majibu ya aina tatu hapa:
1. Kuna ambao wanakubaliana na maamuzi ya mwanamke, mtoto aondoke
2. Kuna ambao wanapinga tabia ya mwanamke, bora mwanamke aondoke.
3. Kundi la mwisho wanachukizwa na tabia ya mwanamke lakini wanashauri mtoto aondoke kuepusha ugomvi.
Binafsi naungana na kundi la pili, mwanamke asepe. Kuna sababu ya msingi kwa mfano aliotoa scolastika
Ukichunguza kwa umakini hapa mwanamke ana roho mbaya tu Hana sababu yoyote ya msingi. Kama alivyosema scolastika leo kafanyiwa mtoto kesho akimfanyia mzazi wako?!
Naenda kufunguka kwa jamaa akiona ushauri unamfaa auchukue akiona haufai auwache
Jamaa anaitwa Memtata?