Mke graduate

Mke graduate

Ebu mwambie huyo....tatizo vijana wengi wanakariri sana...mimi nishakua na demu mwenye PHD, na heshima ilikua tele tu...sijawai kudate demu asiye kuwa na masters degree....na wote walikua wananipa heshima kibao..elimu yangu mimi ni fom fwo ya ya kufeli. chezea mimi wewe.

mkuu kudate nao na kuwaoa ni vitu viwili tofauti kabisa
 
Hiyo ni tabia binafsi wangu nimemuoa form 4 baada ya miaka tisa ya ndoa amepata degree heshima na raha kila siku.mwanamke msomi analeta mawazo tofauti kwa maendeleo ya familia
 
Daah hivi mnajua kuishi na mwanamke asiyekua na shule ni kazi rahisi? kila kitu unamuelekeza wewe kila kitu yani daah kweli usilolijua ni kama usiku wa giza..
 
Mkuu Eli79 njemba imekutana na changudoa mmoja mwenye degree basi anataka kuwaweka wanawake wote wenye degree kwenye kapu la uchangu doa.

Yaani hii tabia sio nzuri kabisa.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Waambie hawa waliong'ang'ana na walio kimbia umande.

Hiyo ni tabia binafsi wangu nimemuoa form 4 baada ya miaka tisa ya ndoa amepata degree heshima na raha kila siku.mwanamke msomi analeta mawazo tofauti kwa maendeleo ya familia
 
Mwanaume huu ni ushauri wangu na uzoefu wangu maana niliwahi kuishi na mwanamke mwenye degree tena ya ualimu ni shida.

Kwanza graduates wengi wakati wowote akitokea mtu mwenye pesa nyingi kukuzidi ni rahisi sana kukuacha, wana tamaa sana. Pili wengi wao wametumika sana tena sana. Tatu hawataki uwakosoe na akikosea ukamkemea basi jua hatokubali zaidi ataanza kuleta porojo za kutetea alichofanya.

Nne wanajisikia sana hasa kama akiwa anafanya kaza na yeye anataka awe mwanaume ukimgusa tu atakwambia muachane maana anajua ana uwezo wa kulipa kodi. Tano wana marafk wengi sana wa kiume kuliko wa kike na kujidai kuishi kzungu yaan haoni hatari kula denda na mfanyakazi mwenzie au kukumbatiana au kupigiana na kuandikiana sms za usiku mwema hasa nyakati za usiku.

Sita hawana mapenzi ya kweli, anakuenda ukiwa nazo tu siku zikitoweka ujue ndo mmeachana.

Ushauri: Usikimbilie kuoa mwanamke graduate wakati wapo kibao form 4, na certificate kwani huenda utajipunguzia siku za kuishi kwa mawazo, maana mwanamke graduate omba asipate kazi, akipata ujue na yeye anaota ndevu, humwambii kitu.

Mwanao wa kike umsomeshe mpaka form 4 uliyoitaja hapo juu ili apate mume kirahisi na pia asiwe na kazi kama

ulivyoandika hapo juu...... Una mawazo mgando sana kijana. Pole......Kalaghabao...!!!!!!
 
hope1985

kweli wew umeshatendwa ndo unakuja kuona wanawake graduate wanatabia kama hizo
 
Last edited by a moderator:
hope1985

Siyo wote wapo hivo. na pia kuna wanawake wenye shule ndogo wenye matatizo kuliko hao graduates unaowasema. Mimi nina mke graduate, tuna miaka 13 sasa, heshima ndo inazidi kuongezeka kila siku.
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi uwezowakewakufikiri umeishiahapo hata

Mkimtunukuu uprof kama was xxxxxx
 
Back
Top Bottom