Mke graduate

Mke graduate

hehehe..ila watu wanashindwa kuelewa..mote mkiwa na kipato au kazi ya juu hamuwezi kuenjoy life.. mfano wote ni mameneja, kila siku safarini....mmoja akienda kaskazini mwingine kusini....uzoefu wangu wote huishia kufall kwa wenye elimu na kipato cha chini...mke atagongwa hata na dreva..mme atagonga hosekeeper wa hotel au barmaid. Ni kitu ambacho kiko wazi sana sijui kuna ugumu gani watu kuelewa. Mafahali wawili hawaishi zizi moja...mimi kama ikitokea mke akinizidi kipato wala sitakua na gubu...kazi yangu mimi ni kumpa raha tu...saa nyingine unakuta ni inferiority complex tu ya wanaume.

Kumbe ndio maana napewa raha tu
 
Nahisi kadri vizazi vinavyongezeka ndiyo hivyo vinasaba vya busara kwa watoto wa kiume vinavyozidi ku-undergo mutation! Kwa thread za namna hii, si bure hapa!
 
hivi unahitaji heshima wakati huna unachonizidi... wasomi watakusumbua kma mwanaume ujielewi alafu maisha ni mipango kuwa na mipango mwonyeshe mkeo kuwa unaweza si umekaa lege lege hata mimi nakuacha tena kwa sherehe kubwa
Mwanamme Kuwajibika na kupamba hata km huna materials,elimu etc kunaadd value km utakuwa na mwanamke mwelewa,lakini ni
Mwanamme wa kukaa nyuma*2 km tui la nazi changa na inferiority za kijinga inakunyima heshima hata pale usipostahili.
 
Ebu mwambie huyo....tatizo vijana wengi wanakariri sana...mimi nishakua na demu mwenye PHD, na heshima ilikua tele tu...sijawai kudate demu asiye kuwa na masters degree....na wote walikua wananipa heshima kibao..elimu yangu mimi ni fom fwo ya ya kufeli. chezea mimi wewe.

Acha uongo wa kitoto mkuu. It profits u nothing kutafuta sifa, and after all no body's buying that cra.p!
 
Si kweli kwamba hakuna uhusiano wa elimu na tabia. "Elimu" inakuletea "knowledge" ukiwa wa knowledge inakubadilisha "mtizamo/perspective" wa surrounding environment kwa hali zote (cultural, social, financial, scientific and spiritual ). Sasa kwa elimu yetu ya kukariri inasababisha mtizamo hasi kwa mambo mengi.

Honestly elimu ya History/GS/DS/GK ambazo taasisi hizi za elimu zimeharibu kwa kiasi kikubwa mtizamo wa wanawake kuhusu social institutions mfano marriage na mahusiano.

Mleta mada haongelei issue ya generalization of women (which is wrong). Ila kwa asilimia KUBWA YA WANAWAKE mpenzi huyo huyo ukimpewa akiwa kaishia darasa la saba ama form four NI BORA KWAKO MWANAUME kuliko mpenzi huyo huyo akiwa na degree.

Hebu tujadiliane kwa percents tusing'ang'anie kuwa kageneralize hivyo kakosea.
 
Hivi kuna watu wanaoolewa kwa urahisi kama walimu? Yani mtu akanyonyane mate hovyo huko useme eti kisa ana degree khaa kuna uhusiano gani hapo? All in all hata usipate shida kaka angu, tafuta tu wa certificate au std 7 utulie naye
 
Mwanamme Kuwajibika na kupamba hata km huna materials,elimu etc kunaadd value km utakuwa na mwanamke mwelewa,lakini ni
Mwanamme wa kukaa nyuma*2 km tui la nazi changa na inferiority za kijinga inakunyima heshima hata pale usipostahili.

kweli kabisa mtu anataka heshima huku anakaa nyuma nyuma kama mkia
 
Hivi mnapotaka kuoa mnaoa mke au degree/kabila/?etc. Hivi ni vitu tofauti kabisa. Mke ni unique na hatakiwi kuhusishwa na elimu. Unaoa mke/au unapata mpenzi ndo baadae unakuta ana elimu/ni tajiri/nikabila... nk. Hapo mtaishi. Ila ukitaka kuoa graduate/tajiri/kabila/std7/diploma/manager/mwalimu nk ili awe mke, jifikiria kama kweli unastahili kuitwa mume. Utapiga kelele kila siku na kulalamika kama mtoto mdogo. Kama umeoa mke kwa kupendana haya mengine yote ni matokeo na hayatawapa shida. Ni mawazo yangu.
 
hahahahha kazi ni moja tu,kusuguana hata uwe na PhD lol kama kitandani ni F utakimbiwa na PhD yako, Na kuheshimiana ndo jambo la msingi
anataka tuchukue std 7, mambo gani ya kuanza kufundishana english kitandani... huyovmwanamke kwenye corporate meetings utaenda nae kwel!?? Ka sio kutafuta mchepuko wa kuutambulisha
 
Unaropoka mkuu....ila kiuhalisia wanawake walosoma hasa elimu ya dgree weng wao hawana malengo ya kuish na mume hasa wakiwa vyuon...anakwambia m nkipata kazi yangu nna mwanangu naishi mwanaume wa nn....so ni ngumu kwa mwanamke mwene mawazo hayo kuja kuwa chini yako...migogoro haitaisha umo ndan

Ndiyo maana nikasema MWANAUME wa ukweli.
 
Wewee unaleta uzi huu hapa wakati kuna uzi ulishasemaga hapa ndani kila mtu ni graduate, kila mtu ana gari, kila mtu ana nyumba, kila mtu ana maisha mazuri. Unategemea majibu gani?
 
mwanaume usipokuwa na FEZA, hauwezi kupendwa, feza ndyo inafanya mwanaume aitwe HONEY, BABY, SWEET n.k.
mwanamke hata kama angekuwa ni ndugu yako (binamu, shangazi, n.k) hawezi kukupa bure!
 
ukiona mwanamke anaanza tabia ya usumbufu
jitahidi saana kuweka jiwe la msingi 'shadr at el munyah"
 
Back
Top Bottom