Inferiority complex at work. Mama yangu ni phd holder na kakaa na baba yangu mwaka wa 40 sasa! Inategemeana na mtu, kuna watu darasa la saba na ana nyodo utasema ceo fulani. Wanaume kama nyie mnapenda ku control wanawake na kuwakandamiza with all your bullshit na mwanamke asiseme kitu kwa kuwa hana economic power anahofia atakula nini ukinuna. Mnapenda kuabudiwa mwanamke asichangie chochote ukisema wewe yeye afyate atekeleze tu. Unaongelea kauli kama kumkemea mwanamke... huna haya huyo ni your partner hupaswi kuona kuwa hicho ni "kitu" cha kukemea. Mwanao huyo?! Kila mtu akijua nafasi yake kama mke na kama mume hata mke awe profesa haijalishi. Kwa taarifa yako naniliu hizo huko chini hazijui degree! Haya sasa... mwanaume ukiwezeshwa unaweza. Jiamini!