Mke anaweza kukuharibia mafanikio maishani

Sijui kwako, ila naona wengi sikuhizi tunaajiri wasaidizi wa ndani, sikuhizi MTU akipata mtoto tu analeta house girl kumsaidia mama kulea, zamani hiyo haikuwepo, mama analea watoto kibao na shamba anaenda
Housegirl analipwa na nani?
Kua kwanza unaongea tu.
 
Babu yaaani hata hela ya kula naacha kwa taabu sana, nilifungua duka kashindwa sasa kumuacha nikifikiria watoto itawaathiri.

Yaani ni mvivu balaa na mimi kakipato kangu hakatoshi kabisa kusave
ulichagua urembo mkuu....tumia akili yako mkuu.
 
Kijana chunga sana mtu unayemuoa. Kuna baadhi yao wanaweza kukuharibia malengo yako. Usifuate wezere tu.
#vijana wengi wanavutiwa na uzuri wa nje wa mwanamke .siyo mbaya lkn ongeza na sababu ya pili.ndani yake(spiritual and physical) roho yake.ana hofu ya mingy.anaupendo wa dhati.

Tafuta mwanamke ambae ni type yako.ukipagawa kwa tako na sura nzuri my friend umekwisha.
 
Binafsi naona si sawa,kama mke anawajibika vizuri hadi kwenye kipato..naona kusaidiana kazi za ndani fresh kabisa ila sipendi kufua na kuosha vyombo so ntanunua mashine ya kufulia na ye aoshe vyombo ,ila kupika na usafi mwingine sioni shida japo siwez kupika kila kitu na kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…