Uliolewa ili iweje? So ungekaa na mamaakoIli mume apate salio la kuhonga? Hiyo hela bora nikajengee kodi ale mamaangu.
Housegirl analipwa na nani?Sijui kwako, ila naona wengi sikuhizi tunaajiri wasaidizi wa ndani, sikuhizi MTU akipata mtoto tu analeta house girl kumsaidia mama kulea, zamani hiyo haikuwepo, mama analea watoto kibao na shamba anaenda
Uliolewa ili iweje? So ungekaa na mamaako
ulichagua urembo mkuu....tumia akili yako mkuu.Babu yaaani hata hela ya kula naacha kwa taabu sana, nilifungua duka kashindwa sasa kumuacha nikifikiria watoto itawaathiri.
Yaani ni mvivu balaa na mimi kakipato kangu hakatoshi kabisa kusave
#vijana wengi wanavutiwa na uzuri wa nje wa mwanamke .siyo mbaya lkn ongeza na sababu ya pili.ndani yake(spiritual and physical) roho yake.ana hofu ya mingy.anaupendo wa dhati.Kijana chunga sana mtu unayemuoa. Kuna baadhi yao wanaweza kukuharibia malengo yako. Usifuate wezere tu.
Ni hatua ya maendeleo.Mafanikio ni nini?
Elewa kabla ya kuchangia,Pole kama unaoa ili usaidiwe hela ya kula. Ukikua utaelewa.
Ndo akili yako ilipoishia kuelewa hapo? Kua (kiumri na kifikra) kabla ya kufikiria kuolewaPole kama unaoa ili usaidiwe hela ya kula. Ukikua utaelewa.
Equally importantHata Mume pia.
Binafsi naona si sawa,kama mke anawajibika vizuri hadi kwenye kipato..naona kusaidiana kazi za ndani fresh kabisa ila sipendi kufua na kuosha vyombo so ntanunua mashine ya kufulia na ye aoshe vyombo ,ila kupika na usafi mwingine sioni shida japo siwez kupika kila kitu na kila sikuSasa mbona hata akiwepo housegirl bado mnalalamika kuwa mke anamuachia kazi zote housegirl?? Na mnaenda mbali zaidi na kutembea na hao mahousegirl kwa kisingizio cha kuwa wanafanya majukumu yote anayotakiwa afanye mke??
Sasa hebu nikuulize wewe unaona ni sawa mume na mke wote wanatoka asubuhi lakini mke ndiyo afanye usafi na aandae chai halafu wote mnarudi usiku ila mke ndiyo aingie jikoni kupika na kuosha vyombo wakati huo wewe umekaa tu?? Halafu bills zikija mnalipa pasu kwa pasu na ada za watoto mnalipa pasu kwa pasu hiyo kwako unaona ni sawa??
We zako zinaenda wapi acha ubinafsi...hata mumeo ana kwao piaIli mume apate salio la kuhonga? Hiyo hela bora nikajengee kodi ale mamaangu.
waliopewa haya maumbile mingi kichwani ni mimbumbu mzungu wa reli
Kwa hiyo?waliopewa haya maumbile mingi kichwani ni mimbumbu mzungu wa reli
haijui maisha haijui chochote ipo tu na limzigo lake la mitako anatembea nalo.