Mke anaweza kukuharibia mafanikio maishani

Mke anaweza kukuharibia mafanikio maishani

Pole, ni wajibu wako kumtunza mkeo, kama una ushahidi unachapiwa, kawafungulie kesi ya madai wanaokuchapia
 
Yamenikuta jamani mke wangu hataki kujishughulisha kabisa kisa ni mrembo sana nadhani nikiwa kazini wananichapia. Maendeleo yamekwama kabisa
Mpuuze fanya mambo yako kimya kimya hudumia basic needs tu. Hell wekeza kwenye vitu vya Maendeleo. Ukimuendekeza utakufa umuache watu waendelee kumpa tamu
 
Babu yaaani hata hela ya kula naacha kwa taabu sana, nilifungua duka kashindwa sasa kumuacha nikifikiria watoto itawaathiri.

Yaani ni mvivu balaa na mimi kakipato kangu hakatoshi kabisa kusave
pole Sana mkuu,
Nikushauri, Ongea na wazaz wake Kwanza ujue MISIMAMO Yao juu ya binti yao.

Ikishindikana, Mpeleke kijeshi uyo.

Sometimes jitoe TU ufahamu kwa mda, Afu utaona matokeo Yake.
Atabadilika vizur Sana.

Acha kabisa kabisa kutoa Ela ya kula,
Mwambie Hukumuoa awe golikipa.

"KWANGU Hakuna kula bure, lazima wote tutafute Mana hii familia Ni yetu sote.
Huwezi kutafuta Rudi kwenu na Ela ya kula sitoi mpk siku utakapobadilika"
 
pole Sana mkuu,
Nikushauri, Ongea na wazaz wake Kwanza ujue MISIMAMO Yao juu ya binti yao.

Ikishindikana, Mpeleke kijeshi uyo.

Sometimes jitoe TU ufahamu kwa mda, Afu utaona matokeo Yake.
Atabadilika vizur Sana.

Acha kabisa kabisa kutoa Ela ya kula,
Mwambie Hukumuoa awe golikipa.

"KWANGU Hakuna kula bure, lazima wote tutafute Mana hii familia Ni yetu sote.
Huwezi kutafuta Rudi kwenu na Ela ya kula sitoi mpk siku utakapobadilika"
Sema shida nini, ni vile tunaongea nyuma ya keyboard, tumeshakuwa watu wazima.

Kufurushana na kufokeana haijakaa poa, nimeshakosea kuoa na nyinyi vijana mchukulie kama somo. Wakati namuoa alikuwa mchakarikaji lakini siku zinavyozidi kwenda yale manyama naweka kwenye friji yakahamia mwilini mwake akawa kibonge na uvivu juu.

Hapo ndo nilibugi, alipozaa mtoto wa tatu ndo akafutuka zaidi na shughuli ikaishia hapohapo sasa hivi nalia na Mungu asinipite mwokozi.
 
pole Sana mkuu,
Nikushauri, Ongea na wazaz wake Kwanza ujue MISIMAMO Yao juu ya binti yao.

Ikishindikana, Mpeleke kijeshi uyo.

Sometimes jitoe TU ufahamu kwa mda, Afu utaona matokeo Yake.
Atabadilika vizur Sana.

Acha kabisa kabisa kutoa Ela ya kula,
Mwambie Hukumuoa awe golikipa.

"KWANGU Hakuna kula bure, lazima wote tutafute Mana hii familia Ni yetu sote.
Huwezi kutafuta Rudi kwenu na Ela ya kula sitoi mpk siku utakapobadilika"
Aisee asishirikishe wazazi coz wanakua vizuri binti yao. Na siku alipopata mume walishukuru mzigo kupata mbebaji mpaka kifo Happ pambana mwenyewe chief. Mzigo wa nnya huo
 
Pole sana, ulitakiwa kutafuta unaetoshana nae akili wewe ukakurupuka, haya chacha!!!
 
Mke au mume sometimes ni kama pair ya viatu, unaweza ukavipenda kwa jinsi vinavyovutia kwa rangi na muonekano na ni size yako kabisa. Lkn ukivivaa ukatembelea vinaanza kukutoa vidonda miguuni, kitakachofuatia hapo sasa ni uwezo wako wa kupata pair nyingine na/au uwezo wako wa kuvumilia maumivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliza akili tafuta demu nje piga mashine Rudi home mwepesiiii Yann kujipa stress na golikipa? Ndoa za kigalatia inabid kuwa mnafiki tu Ili maisha yaende si unajua hatunaga talaka
 
Uuuuh kwa comments hz nazidi kumshukru Mungu kwanza kwa uwajibikaji na pia kuwa na haka ka mwili kangu.

Nimegundua kumbe ukiwa kibonge na huna kipato ni tatizo ndani ya familia.
Tuliza akili tafuta demu nje piga mashine Rudi home mwepesiiii Yann kujipa stress na golikipa? Ndoa za kigalatia inabid kuwa mnadiji tu Ili maisha yaende si unajua hatunaga talaka
 
Back
Top Bottom