Mke anaweza kukuharibia mafanikio maishani

Mke anaweza kukuharibia mafanikio maishani

Sema shida nini, ni vile tunaongea nyuma ya keyboard, tumeshakuwa watu wazima.

Kufurushana na kufokeana haijakaa poa, nimeshakosea kuoa na nyinyi vijana mchukulie kama somo. Wakati namuoa alikuwa mchakarikaji lakini siku zinavyozidi kwenda yale manyama naweka kwenye friji yakahamia mwilini mwake akawa kibonge na uvivu juu.

Hapo ndo nilibugi, alipozaa mtoto wa tatu ndo akafutuka zaidi na shughuli ikaishia hapohapo sasa hivi nalia na Mungu asinipite mwokozi.
Acha kumsema vibaya mama watoto wako..unajitukana na wewe mwenyewe kwani nyie sio mwili mmoja?tuanzie hapo
 
Sema shida nini, ni vile tunaongea nyuma ya keyboard, tumeshakuwa watu wazima.

Kufurushana na kufokeana haijakaa poa, nimeshakosea kuoa na nyinyi vijana mchukulie kama somo. Wakati namuoa alikuwa mchakarikaji lakini siku zinavyozidi kwenda yale manyama naweka kwenye friji yakahamia mwilini mwake akawa kibonge na uvivu juu.

Hapo ndo nilibugi, alipozaa mtoto wa tatu ndo akafutuka zaidi na shughuli ikaishia hapohapo sasa hivi nalia na Mungu asinipite mwokozi.
Acha kumsema vibaya mama watoto wako..unajitukana na wewe mwenyewe kwani nyie sio mwili mmoja?tuanzie hapo
 
Acha kumsema vibaya mama watoto wako..unajitukana na wewe mwenyewe kwani nyie sio mwili mmoja?tuanzie hapo
Natoa darasa kwa vijana au hujui kama hii mada ni muhimu sana?

Wahenga tunasema kosea vyote ukikosea kuoa umekwisha.

Hayo mambo ya mwili mmoja ukiyaendekeza katika mazingira fulani utadumaa akili, nenda nayo mguu ndani mguu nje. Sawasawa?
 
pole Sana mkuu,
Nikushauri, Ongea na wazaz wake Kwanza ujue MISIMAMO Yao juu ya binti yao.

Ikishindikana, Mpeleke kijeshi uyo.

Sometimes jitoe TU ufahamu kwa mda, Afu utaona matokeo Yake.
Atabadilika vizur Sana.

Acha kabisa kabisa kutoa Ela ya kula,
Mwambie Hukumuoa awe golikipa.

"KWANGU Hakuna kula bure, lazima wote tutafute Mana hii familia Ni yetu sote.
Huwezi kutafuta Rudi kwenu na Ela ya kula sitoi mpk siku utakapobadilika"
Je, akidai haki sawa utamnyima kama hutaki kuhudumia kila kitu?
 
Pole, ni wajibu wako kumtunza mkeo, kama una ushahidi unachapiwa, kawafungulie kesi ya madai wanaokuchapia
Naona huu mtazamo ni wa zamani sana, maisha yamebadilika sana, binafsi mzee alifariki nikiwa na 13 yrs japo nna wadogo 2, na dada aliyenizidi 1.5 yr, home Hanna kilichobadilika, tuliendelea kusoma na maisha kwa ujumla yaliendelea vzuri, kama mama angekuwa na huu mtazamo wa kutunzwa na mumewe, tusingetoboa, kutunzwa kupo, bytheway hapo zamani kutunzwa kulimaanisha chakula (basic), mavazi (basic), na makazi (basic), nadhani hata leo mkioana mime aweze kutoa hayo ya msingi kinachoongezeka hapo liwe jukumu la pamoja, sio mwanamke mshahara wote uishie saluni na duka la nguo, mke ajue anawajibika kwa familia beyond kutoa uroda na kupika, by the way nowadays mpishi ni house girl kwenye nyumba nyinhi
 
Kijana chunga sana mtu unayemuoa. Kuna baadhi yao wanaweza kukuharibia malengo yako. Usifuate wezere tu.

Sasa mwanamke anakuharibiaje? Sema unajiharibia maisha mwenyewe.
Mwanamke wezere muhimu sana ...tena sana.
 
Omba Mungu akupe was kufanana nawe..na mwenye hofu yake.
 
I feel U brother wengi hawaelew unachopitia ila kama alikuwa mchakarikaji mwanzoni naamin ni kuongea nae tu atakaa sawa mkuu
 
Back
Top Bottom