- Thread starter
- #21
Hakuna redio moja iliyoenea nchi nzima bali kuna redio nyingi za jamii (private) ambazo zipo karibu wilaya zote!Kuna redio iliyoenea nchi nzima?
Hakuna redio moja iliyoenea nchi nzima bali kuna redio nyingi za jamii (private) ambazo zipo karibu wilaya zote!Kuna redio iliyoenea nchi nzima?
Upo TFFUwo mkataba upo wapi? Mbona si uoni.
Ni kweli tenda ilitangazwa hadharani lakini iliweka utaratibu wa hovyo kwa kutaka kituo kimoja kitangaze nchi nzima!TFF waliwashirikisha wengi kwani tenda ilitangazwa hadharani TBC ndiye aliyeshinda mbona hamna ubaya.
Ndio ipo hivyo na hawakatazwi kutangaza hii ni biashara wakae na TBC wakubaliane kama ilivyo kwa UFM.Ni kweli tenda ilitangazwa hadharani lakini iliweka utaratibu wa hovyo kwa kutaka kituo kimoja kitangaze nchi nzima!
RFA unaijua? Inashika adi kuzimHakuna redio moja iliyoenea nchi nzima bali kuna redio nyingi za jamii (private) ambazo zipo karibu wilaya zote!
Sawa lakini ni utaratibu mbovu vinginevyo tungeshuhudia redio nyingi zaidi zikishiriki utangazaji!Ndio ipo hivyo na hawakatazwi kutangaza hii ni biashara wakae na TBC wakubaliane kama ilivyo kwa UFM.
Sioni ubovu wowote wa utaratibu sasa mbona UFM wanatangaza ligi kuu ya NBC.Sawa lakini ni utaratibu mbovu vinginevyo tungeshuhudia redio nyingi zaidi zikishiriki utangazaji!
Enhee hizo redio zinaruhusiwa kununua haki za coverage eneo flani TBCHakuna redio moja iliyoenea nchi nzima bali kuna redio nyingi za jamii (private) ambazo zipo karibu wilaya zote!
Kwa nini ziombe kurusha maeneo ambayo TBC haifiki?Enhee hizo redio zinaruhusiwa kununua haki za coverage eneo flani TBC
Hakuna short cut mkuu.... hata wewe ungekuwa TFFna TPBL unatangaza tenda kwa atakayeshinda anachukua ..... ni ngumu ku deal na media ndogo ndogo kwanza hazina msuli wa kipato... hivyo kama una kituo cha matangazo waone TBC wakupe terms then upige kazi... nadhani abood Fm ya morogoro wanatangaza pia.Sawa lakini ni utaratibu mbovu vinginevyo tungeshuhudia redio nyingi zaidi zikishiriki utangazaji!
Kwa kifupi mkataba ule haufai na ni wa kifisadi!Hakuna short cut mkuu.... hata wewe ungekuwa TFFna TPBL unatangaza tenda kwa atakayeshinda anachukua ..... ni ngumu ku deal na media ndogo ndogo kwanza hazina msuli wa kipato... hivyo kama una kituo cha matangazo waone TBC wakupe terms then upige kazi... nadhani abood Fm ya morogoro wanatangaza pia.
Sababu TBC kanunua haki za matangazo....Kwa nini ziombe kurusha maeneo ambayo TBC haifiki?
Ndiyo sababu nikasema ni mkataba wa hovyo!Sababu TBC kanunua haki za matangazo....
We nawe Usitusumbue hapa Uhovyo wake nini?Ndiyo sababu nikasema ni mkataba wa hovyo!
Mpumbavu mkubwa wee! Watu wanapolalamikia sheria haina maana sheria haipo au sheria imevunjwa bali sheria iliyopo ni mbovu!We nawe Usitusumbue hapa Uhovyo wake nini?
Umevunja sheria?
Au sababu redio Jogoo ya kwenu songea haitangazi ndio unaona hovyo?
Mpira ni biashara mlitaka mtangaze bure?
Kuna watu mnakera kwa kweli, hauna hoja ya msingi ila unalalamika.
Panga malalamiko yako vizuri basi daah.
Naona umejidhihirisha ulivyo sasa....Mpumbavu mkubwa wee! Watu wanapolalamikia sheria haina maana sheria haipo au sheria imevunjwa bali sheria iliyopo ni mbovu!
Watu wanaodai katiba mpya haina maana hakuna katiba bali iliyopo ni mbovu wanataka ibadilishwe ili wote wapate haki sawa wanayostahili!
Jaribu kuwa mwerevu usidandie hoja zinazokuzidi maarifa!
Usiige kunya kwa tembo utapasuka msamba! Wahenga walisema.Naona umejidhihirisha ulivyo sasa....
Duniani kote federations huuza haki za matangazo kwanini kwa TFF iwe tabu?
Tabu hasa iko wapi ?
Ni kuuziwa TBC?
Au ni kuuza haki za matangazo?
Heeee....Usiige kunya kwa tembo utapasuka msamba! Wahenga walisema.
Sasa wewe unalinganisha na federations za Ulaya! Huna tofauti na Chief Hagaya anayelinganisha bei ya petroli ya Marekani na Tanzania!
Stupid!
Ndiyo! Shida ipo katika sheria inapaswa kurekebishwa!Heeee....
Shida ipo.
Inatakiwa kuwaje?Ndiyo! Shida ipo katika sheria inapaswa kurekebishwa!