Mkasa wa kweli: ungefanyeje?

Mkasa wa kweli: ungefanyeje?

Ukweli utanisamehe bure ila ya leo ni ya kweli kabisa. Kama nadanganya MUNGU ANIHUKUMU. Watu8 NAKUHESHIMU MNOO.
Una dhambi wewe ndo nini kuwa unatuletea hadithi hewa!!! Mnawaponza wengi wenye uhitaji wa ushauri

jamani ustaarabu ni kitu cha bure kabisa
 
Wanaume tunafeli wapi aisee..
Mwanamke mwenye kibri kama wewe hakika nawewe ningekuacha sikuhiyohoyo kwa utovu wa on dhamu,ukiambiwa kalisha matako kalisha matako kweli..

Kwani wewe ni malaika huna ulichimfanganya
Umetoa mimba ngapi umewahi kumwambia?
Umetiwa na wanaume wangapi umewai kumwambia kama sio umesema wawili tuu

Mtu amekupenda amekupa heshima ya kukaa ndani ya nyumba bado tena unamfata nyuma nyuma shwaini wewe,huyo mke wake wewe anakuhusu nini??

Ndio maana sisi tunaoa wake wanne na wengine BIKIRA 72 wanatusubiri peponi..

Masingle mother wa humu ndani watakushauri uachane na Mume wako jiangalie sana ohooo.
Huyo mume anakupenda tena sana tu kuna ukweli hawezi kukwambia hataki kuona ukiumia ndio mana mambo mengine anayafanya taratibu,sio kwamba hana mpango wa kumpa talaka huyo mwanamke wake wa kwanza..
 
Una dhambi wewe ndo nini kuwa unatuletea hadithi hewa!!! Mnawaponza wengi wenye uhitaji wa ushauri

jamani ustaarabu ni kitu cha bure kabisa
Dada huu ni ukweliii mtupu. Hata namba yangu ya cm naweza kukupatia inbox . Basi tu huko nyuma nilipamba huo Uzi kwamba NI mume wakati ni boy friend tu. Ila ya leo ni zaidi ya u kweli.
 
Ukweli utanisamehe bure ila ya leo ni ya kweli kabisa. Kama nadanganya MUNGU ANIHUKUMU. Watu8 NAKUHESHIMU MNOO.
Anyway tuachane na hilo, nilitaka kujua tu maana kwa wakati huo ulionekana una furaha na maisha ya ndoa...

Kwa hili jipya sina cha ziada zaidi ya kukushauri/kumshauri mwanamke aliye kwenye mkwamo kama huu kuachana na aina hiyo ya mwanaume...

Kupenda sio kuchagua, kuamua kuishi na unayedhani unampenda ni kuchagua...

Hivyo chagua vyema!
 
Dada huu ni ukweliii mtupu. Hata namba yangu ya cm naweza kukupatia inbox . Basi tu huko nyuma nilipamba huo Uzi kwamba NI mume wakati ni boy friend tu. Ila ya leo ni zaidi ya u kweli.
Fresh tu kuwa na amani best
 
Mimi ni mwanamke
Nipo kwenye mahusiano ya kuishi pamoja kupika na kupakua na mwanaume Mwenye miaka 45 kwa muda wa miaka 3 Huku tulipanes Mipango yakuoana. Wakat tunaanza alidai Ana watoto 2 (ke na me) mama tofauti ila hajawaoa. Na mtoto mkubwa anaishi na shangazi yake. Anadai alichelewa kuoa kutokana na ugumu wa maisha aliyokulia na pia alihaso sana hadi Leo kufikia alipo.
Kuna kipindi niliwahi kupata tetesi kwamba améoa ila alikataa katakata. Juzikati alipata msiba wa moja ya mzazi wake ikabidi aende ila alikataa mimi nisiende. Baada yayeye kuondoka nikapanga Safari nikamfwata ila nilipofika stand akanipotezea hakuja kunipokea.
Niliamua kutumia mbinu zangu hadi kufika kwao na kukuta msiba.
Nilishangaa kukuta ameoa tena ndoa ya kanisani. Tulipokaa na kuzungumza alijitetea kwamba walishaachana kwa kuwa hawakuwa na maelewano na ni kama ndoa haikuwepo. Walishasuluhishwa ikashindikana. Ila Bado mwanamke alikuwa hajahamisha Mali zake kutoka kwenye nyumba ya mwanaume (aliikuta alipoolewa).
Pía alijitetea alinificha kwa kuwa aliogopa nitamwacha.
Mipango iliyopo: amesema anatoa talaka kisha mengine yaendelee kama yalivyopangwa.
Sasa wazoefu na wasio wazoefu naomba mnishauri nifanyejee?? Maana siko vizuri.

Nyongeza:
Tuliwekwa kikao mimi yeye mkewe na ndugu zake. Nikamuuliza alikuwa wapi mbona ckuwahi kumsikia Hata cku moja wala kumuona? Mkewe alikiri kutokuwa vizuri na mumewe na pía ashapata mwingine. Na watu wote walikiri kwamba ile ndoa kiuhalisia ilibaki vyeti. Na ndio wakashauri talaka ili kila mtu awe huru.
Bwana ameomba msamaha sana na anatishia Hata kujiua.
Acha ajiue huyo fala, watu wanaotishia kujiua oooh bila wewe siwezi ni upuuzi mtupu kwani maisha lazima yaendelee.

Na wewe si utafute unaeendana nae hata wa miaka 32-36 wanakuwaga ndo wanaoa mara ya kwanza kama hutaki kuwa mke mdogo.
 
Sasa kama waliitishwa kikao na hata ndugu zake wanajua kifatao n kusubir talaka afu uwe mke
 
Dada huu ni ukweliii mtupu. Hata namba yangu ya cm naweza kukupatia inbox . Basi tu huko nyuma nilipamba huo Uzi kwamba NI mume wakati ni boy friend tu. Ila ya leo ni zaidi ya u kweli.

Sasa umpe namba yako aifanyie nini? Tabia zenu za uongo zitawaponza siku nyingine.... watu wanajitutumua kwa kutumia akili zao zote kukupa ushauri wewe unawachora tu kwa drama zako.
 
Tatizo dogo hilo,mwambie akuanzishie mji wako,utaacha wangapi na umri unakimbia;ke ni wengi me ni wachache
 
Yaani wewe unasemaga ukweli mchungu hadi najikuta sikupendi
Ha ha ha ha ha.
Dawa chungu ndio inaponya lakini.
Huwa sipendi mtu kuishi kwa false images wakati reality inaeleweka.
Yaani Yale Mambo ya mtu kazaa na wanawake wanne aafu anakuja kuvunga ana mke mmoja Ni uongo huo.
Ana wake wanne ila anaishi na mmoja!!
Sasa huyu naye atakuwa na false imaginations za kuwa na mume wake peke yake wakati anashinikiza jamaa atoe talaka.
Dingi aliwahi niambia "ukimchoka mke wa ujana wako hama nyumba ukazunguke huko mpaka uchoke"
Ndio maana walikuwa wanaoa zaidi akiona anaokutana nao Ni shida zaidi anarudi zake kwa mke mkubwa.!!
 
Nimeng'ang'ania nn sasa na kiranga changu ni kipii?? Sasa nisingeenda si nisingeujua ukweli
Kwenda tu ni kuonesha jinsi gani sio muelewa ungebaki usingejua na mapenzi yangeendelea ila kuenda sindio kuonesha sio muelewa kinga'nga'anizi ila mwenye kilanga aliliwi waka awekewi matanga jifunze kuwa na ukomo akuna msafi pote ukikatazwa Jambo uwe mwelewa
 
Pole kwa mkasa,,, fanya hivi usimuache saiv maana upo kwenye mshtuko endelea nae huku ukitibu jeraha lako, ukijiona umepona mbwage

mipango hatari....so kwa wakati huo pia akapoze machungu na kamjamaa kingine au sio
 
Ila Kiswahili ni kigumu jamani daah " ila alikataa mimi nisiende"
 
Back
Top Bottom