KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Hivi huko Mtibwa wakati akiwa RAIS si ndiko alipeleka FFU kuwatwanga wafanyakazi wakiwa wamegoma hili waache mgomo?
Huyu Mzee nafikiri inatakiwa asurubiwe tena mbele ya watanzania, hivi si ndiye aliyeleta Netgroup Tanesco na akaweka FFU wawalinde hili waingie ofisini?
Nafikiri huyu mzee alifanya uhalamia wa kutosha, sasa ni zamu ya Watanzania kumsurubu. Mimi nafikiri inatosha. Sheria ichukue mkondo wake, hivi hilo shamba box yake nini? TUsije kukuta pia ni magogoni.
Huyu Mzee nafikiri inatakiwa asurubiwe tena mbele ya watanzania, hivi si ndiye aliyeleta Netgroup Tanesco na akaweka FFU wawalinde hili waingie ofisini?
Nafikiri huyu mzee alifanya uhalamia wa kutosha, sasa ni zamu ya Watanzania kumsurubu. Mimi nafikiri inatosha. Sheria ichukue mkondo wake, hivi hilo shamba box yake nini? TUsije kukuta pia ni magogoni.