na Baaadooooo...nakwambiaa tunawasubiriaa mafisadi wote kwenye uchaguzii ujaoo..piaa...maana tukiona chama kimewapitisha kwenye kura za maoni hapo ndio chama kitapasuka kabisa...hatuwezi kuvumiliaa.......nani mkombozi wa kukinusuru chama na maharamia wanaokiwinda kwa hali yeyote ilee??wahindi ,mafisadi wote wanataka bungeni kuwe ndio sehemu kuficha madhambi yao..na kufanikisha biashara zao za kuifilisi nchi yetu....uzalendo wapi jamani........
justice delay is justice denial, kwahiyo kama hii inchi inafuata utawala wa sheria, basi mstaafu wetu angekuwa amefikishwa kunako husika. Na matatizo haya ya kuchelea kuchukua hatua zifaazo ndizo zinazo changia watu kuchukua sheria mkononi
I MAY BE WRONG BUT I DONT HAVE DAUGHT, KAMA MKOSA BASI KAKUBALI KOSA LAKE, AU NI UKAUZU UNA MSUMBUA.Hivi ukimuuliza mtu kitu akakataa kukujibu wakati analo jibu utamchukuliaje mtu huyo?
Hivi ukimuuliza mtu kitu akakataa kukujibu wakati analo jibu utamchukuliaje mtu huyo?