BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
kwa upande fulani inaweza kuwa kweli ila mie nimejifunza kupotezea issue hizo, maana kama ni kweli huyo mwanamke lazima angekufuata akajiintroduce, akakueleza anavyomfahamu mkeo, na jinsi walivyoanza uhusiano na mumewe as well as kukupa ushahidi. lakini si kukurupuka barabarani, what if amepanga kuwaharibia si unajua kina mama hawachelewi kutibuana?
sababu nyuingine ya kupotezea ni kwamba kuna siku nilienda msibani mahli fulani, akaja mtu mmoja na kung'ang'ania kuwa kuna baa ananiona, eti kuwa najikausha simjui wakati kila siku jioni twaonana, nisione noma niongee nae tu hata kama tupo msibani, yaani yule mtu mpaka alikuwa kero, kila nilivyomwelewesha akajijifanya haelewi, badala ya kuconcentrate na msiba sasa watu wakaconcentrate na sisi, nilivyoona kero nikaamua kuhama na kukaa eneo jingine....ndo maana nasema vichaa wengi siku hizi...
sababu nyuingine ya kupotezea ni kwamba kuna siku nilienda msibani mahli fulani, akaja mtu mmoja na kung'ang'ania kuwa kuna baa ananiona, eti kuwa najikausha simjui wakati kila siku jioni twaonana, nisione noma niongee nae tu hata kama tupo msibani, yaani yule mtu mpaka alikuwa kero, kila nilivyomwelewesha akajijifanya haelewi, badala ya kuconcentrate na msiba sasa watu wakaconcentrate na sisi, nilivyoona kero nikaamua kuhama na kukaa eneo jingine....ndo maana nasema vichaa wengi siku hizi...
Hata ukiminya ndugu yangu...hiyo msg sent and delivererd ila siyo ndogo aisee!!