Uislamu umetangulia mbali sana kimikakati ya uchumi.Kamari haramu kabisa.Watu wafanye kazi sio kudowea dowea.
Museveni nilisikia aliwahi kushtukia ujinga huu.Sijui na yeye aliishia wapi.
Betting hazifai
Uislamu umetangulia mbali sana kimikakati ya uchumi.Kamari haramu kabisa.Watu wafanye kazi sio kudowea dowea.
Museveni nilisikia aliwahi kushtukia ujinga huu.Sijui na yeye aliishia wapi.
Jana nimebet Wasafibet, zile live match, nimechagua zinazoongoza nika stake laki moja kwa Odds 28,
Na saizi Kuna sehemu naelekea nikapate Supu niondoe hangover.
Sasa huu Uzi sijui nauelewa vipi, Kila nikijilazimisha kukubali lakini akili za usiku zinakataa.
Hela inatosha breakfast ya wiki nzima, Petrol ya wiki nzima,na nikitoka narudi na mtungi wa gesi mkubwa mnaniambiaje?
Kwenye betting Kuna terms and conditions, pia kustake kiasi unachomudu , la mwisho na kubwa zaidi UWE NA AKILI TIMAMU
Narudia tena UWE NA AKILI TIMAMU.
Dah nimeumia ukitaja kamari juzi muhindi kanipiga 200k ya parizi shamba gemu ya southamptom vs man city
Kwani ulishasikia betting ipo kwa sababu ya kuendeleza nchi? Tatizo ni kuwa watu mnajaribu kutatua tatizo complex kwa njia rahisi.
Betting kukimbiliwa na vijana wengi ni matokea ya sera na utekelazji mbovu wa serikali kushindwa kufanya kazi. Tatizo litaondoshwa kwa ku-fix tatizo. Hata kama zitawekwa sheria au kuonda kabisa betting leo hii, tatizo litahamia sehemu nyingine na linaweza kuwa kubwa na hatari kuliko betting.
Hata kama wanafanya, hawafanyi kama kazi bali ni burudani tu. Mtoto kashapachikwa wizara ya ardhi mzazi ana presha gani na maisha yake.
Wanaoteseka ni watoto wa maskini maana tajiri hawezi kuruhusu mwanae acheze kamari.
Media zote zimekuwa za hovyo,,sizani kama kuna media ambayo hai-promote huu ujinga.
Linapokuja suala la betting mchezaji anapoteza zaidi ya anavyopata. Mtu yoyote mwenye avarage iq ataliona hilo kupitia set ups za odds, unless hapa unafanya marketing kwa malipo basi jua utapoteza zaidi ya utakachokipata kadri unavyocheza.
Hii michezo haikupaswa kuwa promoted. Ilitakiwa ibaki kuwa burudani tu kwenye maeneo ya starehe.
1. Bahati ya KUUAGA UMASKINI imegonga hodi leo. Njoo ushinde pesa BWELELEE na Tigo Ishi Kistaa sehemu ya Tsh 6,200,000. Tuma neno STAA kwenda 15633 kujiunga.
2. BAHATI YA MTENDE imekuangukia 255XYZXYZXYZ UMOO kwenye DROO ya Tsh 1,500,000 na sehemu ya Tsh 6,000,000. Jiunge CHUKUA USHINDI sasa tuma neno STAA!
Very unfortunate namba inayotuma hizo sms ukijaribu kui-block haiblokiki! Mamlaka husika mtusaidie to get rid of such nonsenses; sio kila mtu anapenda hizo takataka.
Ila makampuni yote yanamilikiwa na Waislamu wenzenu
Huku maredioni ndo uchafu mtupu kila radio station ina tangaza kamari taifa sjui tunaelekea wapi
Ulaya ndio maisha yao yenye pesa za maanaHabari kila mmoja,
Ndugu wapendwa kiuhalisia kama jamii tunaelekea kwenye eneo ambalo sio sahihi hasa jinsi palivyoshamiri michezo hii ya betting au kubahatisha.
Ukiangalia nchi kama china miaka 40 au 30 nyuma haikua na kiwango hiki kikubwa cha uchumi ila serikali na watu wake waliamua kuwekeza kweny uzalishaji na teknolojia kiujumla ili kuweza kwenda mbele,ukija huku kwetu ni tofauti kabisa,sasa hv mpka tv na redio ya serikali inachezesha betting(ajabu kabisa).
Kuna mengi ya kujiuliza hv kweli huku ndo tumeona kama njia sahihi ya kutufikisha kwenye maendeleo ya kweli, jibu ni hapana bali ni kuendelea kuukuza umaskini na kuwanenepesha mabepari!
Jambo hili linasikitisha sana kiuhalisia.
Wanasiasa na viongozi wakubwa ndio wamiliki wa hizo kampuni, usitegemee wala kutarajia kama watajizibia mianya ya riziki zao
Angalia ubaya wake ulivyo.Yaani wewe hukuzalisha chochote.Umekula jasho la wenzako ambao kwa hizi pesa ulizowachukulia wanalia.Jana nimebet Wasafibet, zile live match, nimechagua zinazoongoza nika stake laki moja kwa Odds 28,
Na saizi Kuna sehemu naelekea nikapate Supu niondoe hangover.
Sasa huu Uzi sijui nauelewa vipi, Kila nikijilazimisha kukubali lakini akili za usiku zinakataa.
Hela inatosha breakfast ya wiki nzima, Petrol ya wiki nzima,na nikitoka narudi na mtungi wa gesi mkubwa mnaniambiaje?
Kwenye betting Kuna terms and conditions, pia kustake kiasi unachomudu , la mwisho na kubwa zaidi UWE NA AKILI TIMAMU
Narudia tena UWE NA AKILI TIMAMU.
Wapi duniani wanasiasa wanazidiwa hadhi na wataaluma?Tulipokosea ni pale tulipowapa wanasiasa hadhi kubwa kuliko wataaluma
Ushahidi wa uharamu ni huu.Mhindi kachukua laki mbili zako bila jasho.Laki moja kampa JACK DANIEL amebakiwa na laki 1 anakwenda kula urojo bila kutoka jasho.Dah nimeumia ukitaja kamari juzi muhindi kanipiga 200k ya parizi shamba gemu ya southamptom vs man city