Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,183
- 10,921
Uislamu umetangulia mbali sana kimikakati ya uchumi.Kamari haramu kabisa.Watu wafanye kazi sio kudowea dowea.Habari kila mmoja,
Ndugu wapendwa kiuhalisia kama jamii tunaelekea kwenye eneo ambalo sio sahihi hasa jinsi palivyoshamiri michezo hii ya betting au kubahatisha...
Museveni nilisikia aliwahi kushtukia ujinga huu.Sijui na yeye aliishia wapi.