Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,909
- 2,477
Napenda kuuliza kuhusu jambo hili (Labda linaweza kuwachekesha wengine lakini mimi limenishangaza), katika siku moja kuna mjusi watatu walibanwa na milango 3 tofauti za nyumbani, wote walibanwa katika siku hiyo hiyo moja (Haya hayajawahi kutokea tokea tuanze kuishi katika nyumba hii sasa ni miaka 24).
Milango iliyo wabana mjusi hao ni yajikoni (mlango wa kuingilia jikoni kutokea inje, uwani), na mlango wa kuingilia ndani (Main door) na mlango wa choo cha chumba chetu (master bedroom).
Je hili tukio lina maana yeyote ?
Milango iliyo wabana mjusi hao ni yajikoni (mlango wa kuingilia jikoni kutokea inje, uwani), na mlango wa kuingilia ndani (Main door) na mlango wa choo cha chumba chetu (master bedroom).
Je hili tukio lina maana yeyote ?