Mjue Mungu wa Freemasonry

Mjue Mungu wa Freemasonry

Habari hii ni ndefu Sana ila nitaielezea kwa ufupi kwa kadri nitakavyo weza.

Freemasonry Wana amini nini kuhusu Mungu wa Israel?

Freemasonry Wana amini kwamba Mungu wa Israel yupo na ana nguvu lakini sio Mungu mwenye nguvu zote " the Most High God"

Wao Wanaamini kwamba juu ya Mungu wa Israel Kuna Mungu Mkuu zaidi mwenye Nguvu zaidi ya Mungu wa Israel na ambae ndio Mungu wa ukweli.

Wao wana mrefer Mungu wa Israel Kama Demiurge yani the fashioner of the material world.

Kwamba Mungu wa Israel ni Mungu aliebuni na kutengenezea ulimwengu wa nyama yani ulimwengu unao onekana ( material world ) na sio ulimwengu usio onekana...

Wana sema Mungu wa Israel hana uwezo wa kuumba roho( kwanini? Endelea kusoma )

Mungu wa Israel alitoka wapi?

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Mungu wa Israel alizaliwa na Mungu Sophia ambae alikuwa ni sehemu ya kike ya Mungu mwenye nguvu zote " God the most high" ambae kwa pamoja huitwa Aeon.

Sasa kwa mujibu wa Freemasonry, huyu Aeon ndio Mungu Mkuu ( God the Most High ) ambae ana sehemu mbili , ya kike na kiume, na sehemu ya kike huitwa Sophia.

Wanaendelea kufundisha kwamba Mungu wa Israel ambae wao wana mrefer kwa jina lake Ialdabaoth au Elihom Tzabaoth ( Demiurge ni sifa yake kuu sio jina lake halisi) alizaliwa kimakosa.

Ni kwamba siku moja Sophia alipita katika eneo ambalo lilikuwa la daraja la chini katika ulimwengu huo wa kiroho na matokeo yake sehemu ya kivuli Cha Sophia ikawa reflected na hatimaye kuwa trapped kwenye eneo hilo.

Baada ya kudetect Hali hiyo , Sophia akahitaji kuondoka katika eneo hilo kwa haraka lakini hakuweza kuondoka na sehemu hiyo iliyokuwa Trapped kwa sababu ilikuwa na utukufu wa chini kuliko utukufu wake, so sehemu hiyo ilikatwa na kubaki yenyewe, sehemu hiyo ndio ilio kuja kuwa IALDABAOTH au Mungu wa Israel according to Freemasonry.

Baada ya kuzaliwa sasa Ialdabaoth akawa na uwezo karibu sana na uwezo wa mama ake ambae ni Sophia

Nature ya Ialdabaoth: Ialdabaoth alikuwa na nature kuu mbili. Kwanza nature ya kiroho ambayo ali irithi kwa mama ake ambae ni Sophia na pili ni material nature ambayo ilizaliwa kwake kupitia muunganiko Kati ya sehemu ya mama ake pamoja na sehemu Ile ya daraja la chini kiutukufu ambayo sehemu ya mama ake ilikuwa trapped. Na hii ndio sababu kwanini Ialdabaoth aliamua kuufashion ulimwengu wa nyama. Alitaka kutengenezea kitu chenye kubeba taswira yake inayo onekana.

Ialdabaoth alitumia uwezo wake kufashion na kuumba vitu vyote vyenye mwili na maumbo yani wanyama ,mimea, mito bahari,nyota, mwezi, binadamu nakadhalika.

Vitu vingi alivyo viumba vilikuwa ni roho yeye alicho kifanya ni kuviumba katika ya mwili.

Mfano Jua, lipo Jua katika ulimwengu wa roho " spiritual sun" ila yeye akaumba Jua linalo onekana ambalo lilireflect Jua lisilo onekana. Simba, TEMBO, chui, nakadhalika.

Kwanza alianza kwa kuwaumba watoto wake Saba ambao aliwapa kumiliki na kutawala Sayari Saba ambazo zinaitawala dunia.
BAADAD IALDABAOTH ALIUASI UFALME WA MUNGU MKUU ALIYE JUU KABISA NA KUAZISHA UFALME WAKE MWENYEWE.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry Sayari ya dunia inatawaliwa na Sayari Saba.Kila Sayari inatawala siku moja ya wiki katika Sayari hizo Saba.

Baada ya hapo akaumba vitu vyote vinavyo onekana ( material world ) ambavyo aliviumba kwa nyakati saba tofauti ( wakristu na waislamu wanasema ni siku Saba ila Freemasonry wanasema ni nyakati saba.

Siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka elfu moja kwa binadamu. Ndio maana Freemasonry wana ziita nyakati ) # halafu majina ya siku kwa mujibu wa Masonic calendar ni tofauti na watu wa Imani zingine.

Kwenye calendar yao hakuna jumamosi wala jumapili.

Kwanza miezi yao Ina siku 28 hakuna mwezi wenye siku 30 Wala 31 pili hawana jumamosi wala jumapili wao wana siku ya Kwanza Hadi siku ya Saba na kila siku Ina jina lake maalumu kulingana na tukio ambalo Ialdabaoth alifanya katika siku hiyo.

Kwa mfano siku ambayo Ninyi mna iita Ijumaa wao Wana iita SIKU YA FAIDA NA THAMANI ambayo kwa mujibu wa calendar yao ni SIKU YA TATU, siku mnayo iita JUMATANO wao ni SIKU YA KWANZA ambayo ni SIKU YA NURU na siku mnayo iita JUMAPILI wao ni SIKU YA TANO ambayo Wana iita SIKU YA MAMBO MAKUBWA. Na kwa mujibu wa mafundisho yao, hii ni SIKU AMBAYO MUNGU Ialdabaoth ALIUMBA VITU VIKUBWA VIKUBWA NA WANYAMA WAKUBWA WAKUBWA MFANO WANYAMA KAMA NYANGUMI WA BAHARINI NA TEMBO WA NCHI KAVU WALIUMBWA KATIKA SIKU HII.

Ialdabaoth alimuumba mtu kwa kutumia raw materials kutoka kwenye ardhi ya kwenye sayari hii hii ya dunia( NA SIO KWAMBA ALIMUUMBA MTU KWA UDONGO 100% HELL NO. ALIMUUMBA KWA KUTUMIA MALIGHAFI ZILIZO TOKA KWENYE ARDHI)

Mfano wa MALIGHAFI hizo ni pamoja na aina ya mwamba (rock) huo mwamba umetumika kufashion ama kutengenezea mifupa na meno (KATIKA FREEMASONRY AINA HII YA KWAMBA INAJULIKANA NA WATU WACHACHE SANA TENA WALE WALIO KATIKA DEGREES ZA JUU)

Wanasema Mwamba huu una nguvu za ajabu Sana na unatumika na Mambo mazito mazito. ( KWA WANAO JUA NGUVU YA GEMSTONES WANAWEZA KUJUA NAZUNGUMZIA KITU GANI HAPA)

Mwamba huu wanasema umetolewa hapa hapa duniani.

MALIGHAFI nyingine ni baadhi ya majani (grassess) kwa mfano nywele za binadamu zime kuwa fashioned kutokana na aina Fulani ya majani ambayo inakulikana kwa members wa Freemasonry walio katika madaraja ya juu pekee.

Hayo ni majani ya aina na viwango tofauti tofauti ndio maana Kuna different hair textures kwa waafrika, wazungu, waarabu etc

Ni majani yenye nguvu Sana na ndio hutumiwa na wachawi wa madaraja ya juu kuwaroga waja kwa kutumia nywele.

Hiyo ni mifano michache ya raw materials zilizo tumika kumtengeneza binadamu.

Kwa hiyo Ialdabaoth aka tengeneza mtu kwa sura na mfano wake. Hata hivyo mtu huyo hakuweza kuwa na roho kwa sababu kwa mujibu wa Freemasonry, Ialdabaoth hakuwa na uwezo wa kuumba roho

However, Ialdabaoth alitambua kwamba amerithi pumzi ya uhai " roho" kutoka kwa mama yake na kwamba anaweza kutransmit hiyo pumzi kutoka kwake kwenda katika kiumbe kingine.

So Ialdabaoth akampulizia mtu huyo sehemu ya pumzi yake ambayo ali irithi kutoka kwa mama yake.

Kwa maana nyingine hiyo pumzi aliyopuliziwa binadamu ilikuwa pumzi kutoka kwa Sophia ambae ni mama wa Mungu.
Ialdabaoth hapa alitumika Kama daraja la kupitisha pumzi kutoka kwa Sophia kwenda kwa ADAMU.

Hapo ndipo alipo patikana binadamu.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Ialdabaoth alipata wazo la kumuumba binadamu katika nyakati ya sita.

Siku hiyo Ialdabaoth alipita karibu na bahari na akiwa mahali hapo alipata kutazama kwenye uso wa bahari na kujiona yeye mwenyewe.

Maandiko yao yanasema kwamba Ialdabaoth alipendezwa Sana na.alicho kiona na akadhamiria kwamba ni lazima atengeneze kiumbe chenye sura na taswira yake.

So Ialdabaoth alikipulizia kiumbe hicho pumzi ya uhai ambao aliurithi kutoka kwa mama yake ambae ni Sophia.

So kivuli hicho cha Ialdabaoth baada ya kupuliziwa pumzi kilitokea na kuanza kuishi.

Kiumbe hicho Freemasonry hukiita Divinely Adam au Skyman yani Adamu wa Mbinguni.

Kiumbe hicho kiliishi na kutawala pamoja na Ialdabaoth huko juu Mbinguni kwenye makao makuu ya Ufalme " Throne" wa Ialdabaoth.

( Dhana hii inafanana na mafundisho ya baadhi ya dini kwa mfano baadhi ya madhehebu ya kikristo na waislamu Wana amini kwamba bustani ya Edeni ilikuwa Mbinguni na kwamba Adamu alishushwa duniani baada ya kumuasi Muumba wake )

KIUMBE KINAMUHASI IALDABAOTH

Kwa sababu kiumbe hiki kilikuwa na sura na taswira ya Ialdabaoth, nguvu zake zilikuwa sawa sawa na nguvu za Muumba wake. Baada ya kujitambua kiumbe hiki kilimuasi Muumba wake kwa kutokutii Tena amri za Muumba wake kwa sababu kilijiona kipo sawa sawa na Muumba wake.

Jambo Hili lilimkasirisha sana Ialdabaoth na akaapa kukiteketeza kiumbe hicho.

SOPHIA ANAINGILIA KATI MPANGO WA IALDABAOTH KUKITEKETEZA KIUMBE CHAKE

Hata hivyo Sophia baada ya kuditect kwamba Ialdabaoth anataka kummaliza ADAMU WA MBINGUNI, ANAINGILIA KATI na kumkinga ADAMU WA MBINGUNI dhidi ya MPANGO wa Muumba wake.

Sophia alifanya hivyo kwa sababu ADAMU WA MBINGUNI alikuwa na pumzi ya uhai ambao unatoka kwake Sophia. Roho ya ADAMU WA MBINGUNI ilikuwa direct connected na Sophia mwenyewe. PILI ADAMU wa Mbinguni hakuwa na kosa lolote . Na Sophia alikuwa Mungu wa Upendo.

Sophia hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinateketezwa.

Ialdabaoth alipojaribu kumteketeza Adamu wa Mbinguni alishindwa kwa sababu kiumbe huyu alikuwa amebeba pumzi ya uhai kutoka kwa Sophia .

In addition to that, Sophia alisimama na Adamu wa Mbinguni.

So baada ya kugundua kwamba Hana mamlaka ya kumteketeza Adamu wa Mbinguni na kwamba Sophia alikuwa ana mkingia kifua Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth alipatwa na dhadhabu kuu...

Taswira ya ghadhabu ya Ialdabaoth ilifika Hadi duniani baharini na kuwa reflected kwenye bahari.

Taswira hiyo ya ghadhabu ikawa trapped kwenye bahari na kutokea kiumbe kilicho jitegemea ambacho kuliitwa Lucifer ambae ndio huyu mnamuita shetani. Kiumbe hiki kiliweka Makazi yake katika sehemu ya dunia chini ya bahari ambayo Ninyi mnaiita kuzimu.

Umbali kutoka duniani na kuzimu ni.kilometa sifuri.

Maana yake ni kwamba umbali wa kutoka hapo ulipo Hadi kuzimu ni kilo meta sifuri.

MUNGU IALDABAOTH ANAMSHUSHA DUNIANI ADAMU WA MBINGUNI..

Baada ya kuona kwamba hawezi kumteketeza Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth anaamua kumshusha duniani.

Kwa sababu wakati ana fashion ulimwengu wa vitu " material world" , Ialdabaoth alifashion pia kanuni za asili za ku uguide ulimwengu wa vitu/ nyama ambazo zilikuwa zina m-bind Hadi yeye mwenyewe ( ZILIKUWA ZINA MBIND HADI YEYE MWENYEWE KWA SABABU NAZO PIA ALIZI COPY KUTOKA ULIMWENGU WA ROHONI AMBAKO NDIKO ASILI YAKE ) ilikuwa ni lazima Ialdabaoth atengeneze mwili kwa kutumia raw materials za hapa hapa duniani

So baada ya kuumba mwili Ialdabaoth alimchukua Adamu wa Mbinguni ( ambae alikuwa ni roho Kama malaika ) na kuupulizia mwili alio ubumba.

Hapo ndipo Adamu wa duniani alipo patikana.

LENGO LA KUMUUMBA ADAMU WA DUNIANI

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Lengo la Ialdabaoth kumuumba Adamu wa duniani ilikuwa ni kumuweka mbali na Ufalme wake .

So Kama nimewaelewa vizuri Freemasonry hapa Wana maanisha kwamba, Adamu aliletwa duniani ili asilete usumbufu kwenye Ufalme wa Mungu huko Mbinguni ( ni Kama madikteta wa Afrika wanavyo wapiga ubalozi wa nchi za mbali watu WANAO onekana threat kwao)

Mwili wa duniani ulitumika Kama gereza la kumfunga Adamu wa Mbinguni na kumsahaulisha asili yake na uwezo wake..

Adamu angeishi miaka yake yote bila KUJUA nini kilitokea Mbinguni.

Akiwa duniani Adamu alikuwa "bribed " kwa kupewa Ufalme wa duniani na mamlaka ya kutawala vitu vyote. Yote hiyo ni kumsahaulisha asili yake...

Pamoja na kwamba Adamu alikuwa roho ya Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High) iliyokuwa Trapped kwenye mwili lakini hakuwa anajua kinacho endelea katika maisha yake ya ROHONI licha ya kupewa ujuzi wa Mambo yote ya mwilini. Ndio maana Adamu alikuwa uchi wa mnyama sawa na wanyama lakini alikuwa hajui Kama Upo uchi. Alijiona yupo sawa na wanyama alio kuwa anawatawala.

SOPHIA ANAINGILIA KATI KWA MARA YA PILI

SOPHIA = NDIE ALIE UMBA ROHO YA ADAMU.

IALDABAOTH = HAKUUMBA ROHO ILA ALIUMBA MWILI. YEYE PIA ALIZALIWA NA SOPHIA AKIWA NA ROHO AMA PUMZI YA UHAI KUTOKA KWA SOPHIA NA NDIO HIYO HIYO ALIMPULIZIA ADAMU..

Haya twende Kazi.

Sophia baada ya kugundua mchezo alio fanyiwa Adamu bado hakupendezwa na suala la roho inayotoka kwake kufungwa kwenye mwili wa kiumbe wa nyama na kunyimwa utashi wa kiungu ambao ungekifanya kiumbe hicho kufurahia maisha ya kiungu hapa duniani. So ana amua kukikomboa kiumbe hicho kutoka kwenye kutokujitambua..

Ikumbukwe kuwa Ialdabaoth baada ya kumuumba Adamu alimpa masharti kadha wa kadha Kama vile kutokutumia baadhi ya miti... Kumbe miti aliyo katazwa kutumia ndio ilikuwa na nguvu na uwezo wa kumfungua minyororo aliyo fungwa ..

Sophia anakuja mwenyewe duniani kwa umbo la nyoka kwa ajili ya kumfungua Adamu

Kupitia nyoka huyo Sophia anamletea Adamu ujumbe kwamba, Muumba wako hataki ule tunda la mti huo kwa sababu anajua ukifanya hivyo utakuwa Kama yeye.

Ndio maana baada ya Adam Kula tunda la.mti ule wa KUJUA mema na mabaya, Ialdabaoth anasema katika.kitabu Cha MWANZO 3:22 " TAZAMA MTU HUYU AMEKUWA KAMA MMOJA WETU NA SASA ASIJE AKANYOOSHA MKONO WAKE JUU AKALA TUNDA LA MTI WA UZIMA AKAISHI MILELE"

Kwa mujibu wa Freemasonry, Hinduism etc nyoka ni kiumbe mtakatifu.

Hata katika dini za kiyahudi Nyoka ni muungu. Soma vizuri habari ya Mussa na Wana wa Israel pale Ialdabaoth mwenyewe alipo waambia Wana wa Israel wachonge sanamu ya nyoka na kuisujudu na walipo fanya hivyo wakapona. ( Kwa mujibu wa Freemasonry, hapo Ialdabaoth mwenyewe aliamua kuwa link up Wana wa Israel na Mungu mkuu mwenyewe ( God the Most High ) ambae ndie ALIUMBA roho zao.

Hata katika Ukristo nyoka ni mnyama mtakarifu .Or is it not in ur Bible where Jesus is telling his Desciples " IWENI WAPOLE KAMA HUA NA WEREVU KAMA NYOKA" ?

Wanasema Alama ya Nyoka ni Alama ya Mungu Mkuu " God the Most High".

Yesu anapo waambia kuweni WEREVU kama nyoka ana maanisha kuweni na hekima Kama Sophia . Sophia hujulikana pia Kama Mama wa Hekima" .
NI nyoka huyu huyu ndio aliekuja kumkomboa Binadamu.

Lengo la Ialdabaoth halikuwa Binadamu kujitambua.

Freemasonry Wana amini kwamba, malaika wa Mungu mkuu kabisa wanaishi katika Constellations ambazo ukiziunganishan zina umbo Kama la nyoka na zinaa jongea Kama nyoka.

Snake is a very very powerful being. Yapo maajabu 40 ya kiroho ya Nyoka ambayo yatakustaajabisha Sana ( this will be a topic for another day ).

BAADA YA ADAMU WA DUNIANI KUMUASI MUUMBA WAKE.

IALDABAOTH anashuka duniani,kinyume na alivyo panga kwamba Adamu asijitambue yeye ni Nani, anamkuta Adamu anae jitambua .

Ialdabaoth ana amua kuachia laana kwa ADAMU na uzao wake wote .

SOPHIA HAPENDEZWI NA UAMUZI WA IALDABAOTH KUTOA LAANA KWA ADAMU NA UZAO WAKE.

Kwa sababu hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinawekwa chini ya laana, Sophia anaamua kuja kukikomboa kiumbe hicho kwa Mara nyingine.

Tatizo linakuja Sophia yeye yupo katika roho tu na sio katika mwili. Na mwanadamu ni roho iliyo fungwa kwenye mwili lakini haijitambui Kama ni roho. " IF TWO QUALITIES CANNOT MEET IN SUBSTANCE, THEY CAN BE BROUGHT TOGETHER ONLY BY EXTENSION"

SO Ili mission yake ikamilike lazima awe katika ulimwengu wa nyama. Na ili mission yake ikamilike Kazi lazima ifanywe na mtoto wake wa KWANZA ambae aliitwa CHRISTOS. Huyu Christos aliishi Mbinguni pamoja na SOPHIA & AEON na.ndio alikuwa mtoto wa pekee wa SOPHIA na AEON. Hawa ndio waliunda utatu mtakatifu yani MUNGU BABA = AEON, MUNGU MWANA = CHRISTOS na MUNGU ROHO MTAKATIFU = SOPHIA.

So Sophia ana re incarnated duniani in the person of MARY THE VIRGIN ( wakatoliki wanavyo komaaga na Bikira Maria msiwaone wamepotea. According to Freemasonry Bikira Maria was the re incarnation of the Holy Spirit of God the Most High.. wao wenyewe wana conjuration zao kuhusu Mary the mother of Jesus ambazo zipo very very powerful... Hii habari ya watoto wa Fatima ni ukweli na Rozary Ina nguvu kweli..

Ndio maana waislamu bila KUJUA , wamempa Hadi sura kwenye kitabu Chao kitakatifu " SURATUL MARIAM". NA SURATUL MARIAM NI MOJA LATI YA SURA ZENYE NGUVU ZA AJABU SANA. KWA MUISLAMU WA KAWAIDA UKIMUULIZA SURA GANI YENYE NGUVU KATIKA.QUR'AAN ATAKWAMBIA " SURATUL YASSIN" BUT AMINI NAKWAMBIA. SURATUL MARIAM IS SOMETHING ELSE. WEKA MAZOEA YA KUWA UNA RECITE SURATUL MARIAM KWA WINGI KILA SIKU USIKU. U WILL THANK ME LATER.)

So Sophia Re incarnated as Mary the Mother Jesus and gave birth to his son CHRISTOS who re incaranate as JESUS.

Huko Mbinguni CHRISTOS ndio aliepewa Kazi ya kufanya uumbaji wa vitu vyote katika ulimwengu wa roho.. hakuna chochote katika ulimwengu wa roho ambacho kiliweza kuwako pasipo huyo Christo.

( IALDABAUTH YEYE ALIUMBA ULIMWENGU WA NYAMA YANI MATERIAL WORLD/ ULIMWENGU WA VITU VINAVYO ONEKANA)

Ndio maana Yesu alisema UFALME WAKE SIO UFALME WA DUNIANI, UFALME WAKE NI WA MBINGUNI.

HAPO ALIMAANISHA LWAMBA YEYE UFALME WAKE SIO UFALME WA MATERIAL WORLD BALI UFALME WA SPIRITUAL WORLD.

ACCORDING TO FREEMASONRY, WHAT WAS THE REAL MISSION OF CHRIST TO THE WORLD. DID HE COME TO DIE FOR OUR SINS?
Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Hell No. Yesu hakuja duniani kwa ajili ya kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu.

Wanasema Yesu alikuja duniani kwa ajili ya kutusanua. Yani kutukumbusha asili yetu kwamba sisi ni Roho kwa Mungu Mkuu Kabisa " God the Most High" na kwamba hapa duniani sio kwetu. Roho zetu zimefungwa kwenye miili ya nyama na damu ili kutusahaulisha kule tunatoka. Kwamba sisi si sawa na N'gombe, Simba nakadhalika.

ANOTHER MISSION OF CHRIST JESUS WAS TO PERMANENTLY DELETE FROM OUR DNAs , INFORMATION ABOUT PHYSICAL DEATH OF WHICH HE FIRST DID TO HIMSELF WHEN HE BEAT THE PHYSICAL DEATH BY RESURRECTION.

(They if u truly blv in Christ Jesus about his real mission to human race u will for sure not die)

Ili tuweze kurudi kwenye asili yetu lazima tuishinde miili yetu kwa maana matendo ya miili yetu yanaweza kuchafua roho zetu na roho zilizo chafua haziwezi kupokelewa Mbinguni. Ukifa na roho yenye dhambi utazaliwa Tena duniani mpaka hapo utakapo jitambua wewe ni Nani na kutenda matendo yakupasayo ili ukifa uende Mbinguni.

Unaweza kuushinda mwili na Mambo ya duniani kwa kufuata amri kuu mpya aliyo itoa Yesu ambayo ni upendo...

Mafundisho ya Yesu yalikuwa ya kipekee Sana na yalikuwa tofauti na mafundisho ya manabii walio pita

Ukiyatazama vizuri mafundisho ya Yesu utagundua kwamba Mungu wa Agano la kale ( Ialdabaoth) na Mungu wa Agano jipya (Sophia/ Aeon) ni miungu wawili tofauti ambao walikuwa na mission mbili tofauti

Mungu wa Agano la kale alikuwa Mungu wa Haki (Just God/ Sharia/ jino kwa jino)

Mungu wa Agano jipya ni MUNGU WA UPENDO NA AMANI.

Infact Masonry wanasema Ialdabaoth anajua kwamba uwezekano wa Binadamu kumjua Mungu wao halisi ( Sophia/Aeon) NI mkubwa ndio maana aliwaambia " MIMI NDIMI BWANA MUNGU WAKO USIABUDU MIUNGU WENGINE)

BAADA YA MAFUNDISHO YA KRISTO YESU KUHUSU UFALME WA MUNGU KUSAMBAA, IALDABAOTH ANAAGIZA WATU WAKE WAMUUE YESU KWA SABABU ALIJUA KWAMBA KAMA YESU ANGE ACHWA HAI BASI ANGEIBADILISHA DUNIA YOTE NA KUWAFANYA WATU WOTE KUJITAMBUA WAO ASILI YAO NI WAPI.

Mafundisho Kama vile : Mimi na Mungu tu kitu kimoja.. watakao amini jina langu watafanyika kuwa Wana wa Mungu Alie juu Mbinguni. Kwamba mkiaminj mnaweza kufanya kuliko Yale niliyo yafanya Mimi Kama vile kufufuka.etc yalimkera Ialdabaoth kwa kuona watu alio waweka mateka Sasa wanaenda kufunguliwa.

( Siku zote Ialdabaoth hataki Binadamu kujitambua wao NI kina Nani. Ndio maana wakati wa Mnara wa Babeli aliwatawanyisha. Ule haukuwa Mnara Kama Mnara Bali watu walikutana na kuunganisha maarifa yao ili wawe na uwezo Kama wa Ialdabaoth na Ialdabaoth aliona wanaelekea kufanikiwa ndio maana akawatawanyisha.. na hii ndio sababu kina dini na madhehebu mengi duniani. Lengo ni kuwafanya wanadamu msiwe na umoja ili msije kujua asili yenu na hatimaye kujua uwezo wenu )

Baada ya mwili wa Yesu kuachana na Roho yake alienda kuzimu zilikokuwa zinashikiliwa roho za watu walio kufa duniani wakiwa hawajitambui wao NI kina Nani na kuzihubiria habari za ukweli kuhusu asili yao.

Yesu anarejea duniani Kama ishara ya kuwaambia wanadamu kwamba hata wao WANAWEZA kukishinda kifo Kama alivyo kishinda yeye.

Then anapaa Mbinguni

ITAENDELEA...

Coming next: kwanini ibada za mizimu zina nguvu Sana? Majibu Yana uhusiano na habari ya asili ya roho ya mwanadamu

2. Kwanini ahlul badr Ina nguvu Sana? Majibu yanahusiana na nguvu ya ibada ya mizimu


UPDATE: UFAFANUZI KUHUSU SUALA LA KIVULI CHA SOPHIA KUWA REFLECTED & TRAPPED KWENYE ENEO LA UTUKUFU WA CHINI NA HATIMAYE KUTOKEA IALDABAOTH..

Baadhi ya watu hawajaelewa kipengele hiki, ngoja niki break down kwa lugha nyepesi na mifano rahisi.

Ni hivi Mungu Sophia ambae ni sehemu ya kike ya DUALITY ya uungu ( SOPHIA & AEON ) , bila ridhaa wala ruhusu ya sehemu yake ya kiume ( AEON ) alipita katika eneo lenye utukufu wa chini . Akiwa katika eneo hilo la utukufu wa chini, kivuli chake kikawa reflected mahali hapo na alama za kivuli chake zikawa trapped katika eneo hilo na matokeo yake akatokea IALDAAOTH.

Mfano wake ni kama huu. Mungu ashuke juu mbinguni aje duniani, akiwa duniani, akanyage juu ya jiwe, kwenye jiwe hilo zibaki alama za nyayo za Mwenyezi Mungu, kisha juu ya alama hizo za nyayo za Mungu kitokee kiumbe.

Au Mungu ashuke duniani, halafu kivuli chake kiakisiwe ( kiwe reflected ) kwenye ardhi ya dunia. Kwa sababu ya nguvu za kiungu za Mungu, kivuli cha Mungu kiwe trapped kwenye ardhi ya duniani na mwisho wa siku hicho kivuli kibadilike kiwe kiumbe.

Au wewe binadamu upite karibu na mto au ziwa , kivuli chako kiwe reflected kwenye mto huo au ziwa hilo, halafu kwa sababu labda una nguvu fulani za ziada kile kivuli chako kigeuke na kuwa kiumbe hai...


Mfano wa chini kabisa : Hujawahi kusikia mtu kaenda sehemu fulani kufanya tukio la uhalifu , akaacha alama za vidole vyake kwa kushika kifaa katika eneo hilo halafu baadae wataalamu wa mambo ya forensic waka trace alama za vidole za mtu huyo na mwisho wa siku wakamkamata mtu huyo? Kama wewe binadamu kwa sababu ya nguvu kidogo ulizo nazo, unaweza kupita sehemu ukaacha alama zako za vidole, vipi kuhusu Mungu Sophia ?


UFAFANUZI ZAIDI.

Baada ya kiumbe hicho ( IALDABAOUTH ) kupatikana stillbado kilikuwa attached na Mungu Sophia kupitia kitu kinaitwa Electrol Chords ama kamba za moto ambazo ni Electro Magnetic by nature. Maana yake ni kwamba Mungu Sophia ange co-exist na kiumbe hiki kipya, kiumbe kilicho zaliwa ama patikana kinyume na mipango ya MUNGU MKUU KABISA ( GOD THE MOST HIGH ambae anaundwa na MUNGU SOPHIA (KE) na MUNGU AEON(ME)

Kwa sababu hiyo basi Mungu Sophia aliamua kuki -detach ( kukikiondoa kiumbe/kivuli hicho kwenye sehemu yake ) na kukitupa mahali pengine ambako ni mbali kabisa na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High )

KWANINI HAKUKIUA ? KWA SABABU MUNGU SOPHIA NI MUNGU WA UPENDO.

Hakukitupa hivi hivi, alikitengenezea THRONE ( Ufalme wake ). So wakati anakitupa kiumbe hicho kwenye space ya mbali alikitupa kikiwa na afalme wake.


MAISHA YA IALDABAOTH BAADA YA KUTUPWA KWENYE SPACE ( UFALME WAKE )

IALDABAOTH anajikuta tayari yupo kwenye ufalme wake akiwa na uwezo mkubwa sana ambao hajui umetoka wapi wala yeye mwenyewe hajui ametoka wapi. ( HII NDIO SABABU KATIKA BAADHI YA DINI, IALDABAOTH ana nukuliwa akisema " MIMI SIJAZAA WALA SIJAZALIWA . WALA SIJAUMBWA, SINA MWANZO WALA SINA MWISHO) sababu hasa ya yeye kusema hivyo ni hii.

KWANINI IALDABAOTH ANASEMA HAKUZALIWA WALA HAKUUMBWA ( KWA MUJIBU WA MAFUNDISHO YA FREE MASONRY )

Sababu ni kwamba, baada ya yeye kuzaliwa/kutokea, mama yake ( Mungu Sophia ) alimtengenezea ufalme, akampa nguvu kubwa za kiungu kisha akaenda kumtupa katika anga la mbali sana na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High ) na kisha kuvunja connection nae. IALDABAOTH anajitambua tayari akiwa na nguvu na uwezo wa kufanya mambo makubwa, ambayo ana amini kwamba hakuna awezae kufanya mambo makubwa kama yeye isipokuwa yeye mwenyewe.

MFANO WA KIBINADAMU : Yani ni sawa na mke wa mtu achepuke mahali wakati mumewe yupo safarini kisha apate ujauzito then azaliwe mtoto. Katika kukwepa fedheha ya kupata mtoto nje ya ndoa, mama huyo baada ya mtoto huyo kuzaliwa, amchukue mtoto huyo lets say kutoka Tanzania kisha ampeleke AUSTRALIA na ampe, nguvu na ufalme( mali n.k ) na kuvunja nae connection. Mtoto akikua anaweza asijue mahali anapotoka.

So Freemasons wanasema kwamba, IALDABAOTH ndio baba wa ATHEISM kwa sababu yeye mwenyewe hakubali wala haamini kama amezaliwa au ameumbwa au anatokana na kitu chenye nguvu kuliko yeye.. Uliwahi kujiuliza kwa nini Rapper Jay Z hujiita Young Hova) ( Hova = Jehova )

Binadamu wana maswali mengi sana ambayo hayana majibu yake. Wengi hawajui wametoka wapi, kwanini wapo hapa duniani, wakifa wataenda wapi, uovu umetoka wapi, kwanini kuna mateso na matatizo duniani n.k, kupitia mfululizo wa makala haya tutayajibu yote hayo kulingana na mafundisho ya freemasonry )



Baadae nitaendelea na SEHEMU YA PILI NA KUENDELEA NA KILA SEHEMU ITAKUWA NA PAGE YAKE.

Last emperor Babyzuh let the caged bird sings Msanii fearlessfighter JOHNGERVAS Ramo Lucky Star sala na kazi Mzee Wa Tairi @




View attachment 1827652
Romans 1:22‭-‬24 SUV

"Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika; wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo. Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao."
 
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.

Vipi kuhusu hao walio waona binti za wanadamu ni wazuri na waka zaa nao?
 
Ibada ya Freemasonry ni lazima utoe kafara.... nguvu utakazozipata ni pamoja na ubora wa kafara yenyewe - bila kafara hakuna nguvu yoyote ya ombi lako utapata !!

Kafara zinazolipa ni kuua Mke, Mme - ingawa kafara ya mtoto ndiyo bora zaidi.

Ogopa sana ibada zenye kutumia damu !!
Nitajie mifano ya hizo nguvu unazoweza kuzipata
 
Habari hii ni ndefu Sana ila nitaielezea kwa ufupi kwa kadri nitakavyo weza.

Freemasonry Wana amini nini kuhusu Mungu wa Israel?

Freemasonry Wana amini kwamba Mungu wa Israel yupo na ana nguvu lakini sio Mungu mwenye nguvu zote " the Most High God"

Wao Wanaamini kwamba juu ya Mungu wa Israel Kuna Mungu Mkuu zaidi mwenye Nguvu zaidi ya Mungu wa Israel na ambae ndio Mungu wa ukweli.

Wao wana mrefer Mungu wa Israel Kama Demiurge yani the fashioner of the material world.

Kwamba Mungu wa Israel ni Mungu aliebuni na kutengenezea ulimwengu wa nyama yani ulimwengu unao onekana ( material world ) na sio ulimwengu usio onekana...

Wana sema Mungu wa Israel hana uwezo wa kuumba roho( kwanini? Endelea kusoma )

Mungu wa Israel alitoka wapi?

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Mungu wa Israel alizaliwa na Mungu Sophia ambae alikuwa ni sehemu ya kike ya Mungu mwenye nguvu zote " God the most high" ambae kwa pamoja huitwa Aeon.

Sasa kwa mujibu wa Freemasonry, huyu Aeon ndio Mungu Mkuu ( God the Most High ) ambae ana sehemu mbili , ya kike na kiume, na sehemu ya kike huitwa Sophia.

Wanaendelea kufundisha kwamba Mungu wa Israel ambae wao wana mrefer kwa jina lake Ialdabaoth au Elihom Tzabaoth ( Demiurge ni sifa yake kuu sio jina lake halisi) alizaliwa kimakosa.

Ni kwamba siku moja Sophia alipita katika eneo ambalo lilikuwa la daraja la chini katika ulimwengu huo wa kiroho na matokeo yake sehemu ya kivuli Cha Sophia ikawa reflected na hatimaye kuwa trapped kwenye eneo hilo.

Baada ya kudetect Hali hiyo , Sophia akahitaji kuondoka katika eneo hilo kwa haraka lakini hakuweza kuondoka na sehemu hiyo iliyokuwa Trapped kwa sababu ilikuwa na utukufu wa chini kuliko utukufu wake, so sehemu hiyo ilikatwa na kubaki yenyewe, sehemu hiyo ndio ilio kuja kuwa IALDABAOTH au Mungu wa Israel according to Freemasonry.

Baada ya kuzaliwa sasa Ialdabaoth akawa na uwezo karibu sana na uwezo wa mama ake ambae ni Sophia

Nature ya Ialdabaoth: Ialdabaoth alikuwa na nature kuu mbili. Kwanza nature ya kiroho ambayo ali irithi kwa mama ake ambae ni Sophia na pili ni material nature ambayo ilizaliwa kwake kupitia muunganiko Kati ya sehemu ya mama ake pamoja na sehemu Ile ya daraja la chini kiutukufu ambayo sehemu ya mama ake ilikuwa trapped. Na hii ndio sababu kwanini Ialdabaoth aliamua kuufashion ulimwengu wa nyama. Alitaka kutengenezea kitu chenye kubeba taswira yake inayo onekana.

Ialdabaoth alitumia uwezo wake kufashion na kuumba vitu vyote vyenye mwili na maumbo yani wanyama ,mimea, mito bahari,nyota, mwezi, binadamu nakadhalika.

Vitu vingi alivyo viumba vilikuwa ni roho yeye alicho kifanya ni kuviumba katika ya mwili.

Mfano Jua, lipo Jua katika ulimwengu wa roho " spiritual sun" ila yeye akaumba Jua linalo onekana ambalo lilireflect Jua lisilo onekana. Simba, TEMBO, chui, nakadhalika.

Kwanza alianza kwa kuwaumba watoto wake Saba ambao aliwapa kumiliki na kutawala Sayari Saba ambazo zinaitawala dunia.
BAADAD IALDABAOTH ALIUASI UFALME WA MUNGU MKUU ALIYE JUU KABISA NA KUAZISHA UFALME WAKE MWENYEWE.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry Sayari ya dunia inatawaliwa na Sayari Saba.Kila Sayari inatawala siku moja ya wiki katika Sayari hizo Saba.

Baada ya hapo akaumba vitu vyote vinavyo onekana ( material world ) ambavyo aliviumba kwa nyakati saba tofauti ( wakristu na waislamu wanasema ni siku Saba ila Freemasonry wanasema ni nyakati saba.

Siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka elfu moja kwa binadamu. Ndio maana Freemasonry wana ziita nyakati ) # halafu majina ya siku kwa mujibu wa Masonic calendar ni tofauti na watu wa Imani zingine.

Kwenye calendar yao hakuna jumamosi wala jumapili.

Kwanza miezi yao Ina siku 28 hakuna mwezi wenye siku 30 Wala 31 pili hawana jumamosi wala jumapili wao wana siku ya Kwanza Hadi siku ya Saba na kila siku Ina jina lake maalumu kulingana na tukio ambalo Ialdabaoth alifanya katika siku hiyo.

Kwa mfano siku ambayo Ninyi mna iita Ijumaa wao Wana iita SIKU YA FAIDA NA THAMANI ambayo kwa mujibu wa calendar yao ni SIKU YA TATU, siku mnayo iita JUMATANO wao ni SIKU YA KWANZA ambayo ni SIKU YA NURU na siku mnayo iita JUMAPILI wao ni SIKU YA TANO ambayo Wana iita SIKU YA MAMBO MAKUBWA. Na kwa mujibu wa mafundisho yao, hii ni SIKU AMBAYO MUNGU Ialdabaoth ALIUMBA VITU VIKUBWA VIKUBWA NA WANYAMA WAKUBWA WAKUBWA MFANO WANYAMA KAMA NYANGUMI WA BAHARINI NA TEMBO WA NCHI KAVU WALIUMBWA KATIKA SIKU HII.

Ialdabaoth alimuumba mtu kwa kutumia raw materials kutoka kwenye ardhi ya kwenye sayari hii hii ya dunia( NA SIO KWAMBA ALIMUUMBA MTU KWA UDONGO 100% HELL NO. ALIMUUMBA KWA KUTUMIA MALIGHAFI ZILIZO TOKA KWENYE ARDHI)

Mfano wa MALIGHAFI hizo ni pamoja na aina ya mwamba (rock) huo mwamba umetumika kufashion ama kutengenezea mifupa na meno (KATIKA FREEMASONRY AINA HII YA KWAMBA INAJULIKANA NA WATU WACHACHE SANA TENA WALE WALIO KATIKA DEGREES ZA JUU)

Wanasema Mwamba huu una nguvu za ajabu Sana na unatumika na Mambo mazito mazito. ( KWA WANAO JUA NGUVU YA GEMSTONES WANAWEZA KUJUA NAZUNGUMZIA KITU GANI HAPA)

Mwamba huu wanasema umetolewa hapa hapa duniani.

MALIGHAFI nyingine ni baadhi ya majani (grassess) kwa mfano nywele za binadamu zime kuwa fashioned kutokana na aina Fulani ya majani ambayo inakulikana kwa members wa Freemasonry walio katika madaraja ya juu pekee.

Hayo ni majani ya aina na viwango tofauti tofauti ndio maana Kuna different hair textures kwa waafrika, wazungu, waarabu etc

Ni majani yenye nguvu Sana na ndio hutumiwa na wachawi wa madaraja ya juu kuwaroga waja kwa kutumia nywele.

Hiyo ni mifano michache ya raw materials zilizo tumika kumtengeneza binadamu.

Kwa hiyo Ialdabaoth aka tengeneza mtu kwa sura na mfano wake. Hata hivyo mtu huyo hakuweza kuwa na roho kwa sababu kwa mujibu wa Freemasonry, Ialdabaoth hakuwa na uwezo wa kuumba roho

However, Ialdabaoth alitambua kwamba amerithi pumzi ya uhai " roho" kutoka kwa mama yake na kwamba anaweza kutransmit hiyo pumzi kutoka kwake kwenda katika kiumbe kingine.

So Ialdabaoth akampulizia mtu huyo sehemu ya pumzi yake ambayo ali irithi kutoka kwa mama yake.

Kwa maana nyingine hiyo pumzi aliyopuliziwa binadamu ilikuwa pumzi kutoka kwa Sophia ambae ni mama wa Mungu.
Ialdabaoth hapa alitumika Kama daraja la kupitisha pumzi kutoka kwa Sophia kwenda kwa ADAMU.

Hapo ndipo alipo patikana binadamu.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Ialdabaoth alipata wazo la kumuumba binadamu katika nyakati ya sita.

Siku hiyo Ialdabaoth alipita karibu na bahari na akiwa mahali hapo alipata kutazama kwenye uso wa bahari na kujiona yeye mwenyewe.

Maandiko yao yanasema kwamba Ialdabaoth alipendezwa Sana na.alicho kiona na akadhamiria kwamba ni lazima atengeneze kiumbe chenye sura na taswira yake.

So Ialdabaoth alikipulizia kiumbe hicho pumzi ya uhai ambao aliurithi kutoka kwa mama yake ambae ni Sophia.

So kivuli hicho cha Ialdabaoth baada ya kupuliziwa pumzi kilitokea na kuanza kuishi.

Kiumbe hicho Freemasonry hukiita Divinely Adam au Skyman yani Adamu wa Mbinguni.

Kiumbe hicho kiliishi na kutawala pamoja na Ialdabaoth huko juu Mbinguni kwenye makao makuu ya Ufalme " Throne" wa Ialdabaoth.

( Dhana hii inafanana na mafundisho ya baadhi ya dini kwa mfano baadhi ya madhehebu ya kikristo na waislamu Wana amini kwamba bustani ya Edeni ilikuwa Mbinguni na kwamba Adamu alishushwa duniani baada ya kumuasi Muumba wake )

KIUMBE KINAMUHASI IALDABAOTH

Kwa sababu kiumbe hiki kilikuwa na sura na taswira ya Ialdabaoth, nguvu zake zilikuwa sawa sawa na nguvu za Muumba wake. Baada ya kujitambua kiumbe hiki kilimuasi Muumba wake kwa kutokutii Tena amri za Muumba wake kwa sababu kilijiona kipo sawa sawa na Muumba wake.

Jambo Hili lilimkasirisha sana Ialdabaoth na akaapa kukiteketeza kiumbe hicho.

SOPHIA ANAINGILIA KATI MPANGO WA IALDABAOTH KUKITEKETEZA KIUMBE CHAKE

Hata hivyo Sophia baada ya kuditect kwamba Ialdabaoth anataka kummaliza ADAMU WA MBINGUNI, ANAINGILIA KATI na kumkinga ADAMU WA MBINGUNI dhidi ya MPANGO wa Muumba wake.

Sophia alifanya hivyo kwa sababu ADAMU WA MBINGUNI alikuwa na pumzi ya uhai ambao unatoka kwake Sophia. Roho ya ADAMU WA MBINGUNI ilikuwa direct connected na Sophia mwenyewe. PILI ADAMU wa Mbinguni hakuwa na kosa lolote . Na Sophia alikuwa Mungu wa Upendo.

Sophia hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinateketezwa.

Ialdabaoth alipojaribu kumteketeza Adamu wa Mbinguni alishindwa kwa sababu kiumbe huyu alikuwa amebeba pumzi ya uhai kutoka kwa Sophia .

In addition to that, Sophia alisimama na Adamu wa Mbinguni.

So baada ya kugundua kwamba Hana mamlaka ya kumteketeza Adamu wa Mbinguni na kwamba Sophia alikuwa ana mkingia kifua Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth alipatwa na dhadhabu kuu...

Taswira ya ghadhabu ya Ialdabaoth ilifika Hadi duniani baharini na kuwa reflected kwenye bahari.

Taswira hiyo ya ghadhabu ikawa trapped kwenye bahari na kutokea kiumbe kilicho jitegemea ambacho kuliitwa Lucifer ambae ndio huyu mnamuita shetani. Kiumbe hiki kiliweka Makazi yake katika sehemu ya dunia chini ya bahari ambayo Ninyi mnaiita kuzimu.

Umbali kutoka duniani na kuzimu ni.kilometa sifuri.

Maana yake ni kwamba umbali wa kutoka hapo ulipo Hadi kuzimu ni kilo meta sifuri.

MUNGU IALDABAOTH ANAMSHUSHA DUNIANI ADAMU WA MBINGUNI..

Baada ya kuona kwamba hawezi kumteketeza Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth anaamua kumshusha duniani.

Kwa sababu wakati ana fashion ulimwengu wa vitu " material world" , Ialdabaoth alifashion pia kanuni za asili za ku uguide ulimwengu wa vitu/ nyama ambazo zilikuwa zina m-bind Hadi yeye mwenyewe ( ZILIKUWA ZINA MBIND HADI YEYE MWENYEWE KWA SABABU NAZO PIA ALIZI COPY KUTOKA ULIMWENGU WA ROHONI AMBAKO NDIKO ASILI YAKE ) ilikuwa ni lazima Ialdabaoth atengeneze mwili kwa kutumia raw materials za hapa hapa duniani

So baada ya kuumba mwili Ialdabaoth alimchukua Adamu wa Mbinguni ( ambae alikuwa ni roho Kama malaika ) na kuupulizia mwili alio ubumba.

Hapo ndipo Adamu wa duniani alipo patikana.

LENGO LA KUMUUMBA ADAMU WA DUNIANI

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Lengo la Ialdabaoth kumuumba Adamu wa duniani ilikuwa ni kumuweka mbali na Ufalme wake .

So Kama nimewaelewa vizuri Freemasonry hapa Wana maanisha kwamba, Adamu aliletwa duniani ili asilete usumbufu kwenye Ufalme wa Mungu huko Mbinguni ( ni Kama madikteta wa Afrika wanavyo wapiga ubalozi wa nchi za mbali watu WANAO onekana threat kwao)

Mwili wa duniani ulitumika Kama gereza la kumfunga Adamu wa Mbinguni na kumsahaulisha asili yake na uwezo wake..

Adamu angeishi miaka yake yote bila KUJUA nini kilitokea Mbinguni.

Akiwa duniani Adamu alikuwa "bribed " kwa kupewa Ufalme wa duniani na mamlaka ya kutawala vitu vyote. Yote hiyo ni kumsahaulisha asili yake...

Pamoja na kwamba Adamu alikuwa roho ya Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High) iliyokuwa Trapped kwenye mwili lakini hakuwa anajua kinacho endelea katika maisha yake ya ROHONI licha ya kupewa ujuzi wa Mambo yote ya mwilini. Ndio maana Adamu alikuwa uchi wa mnyama sawa na wanyama lakini alikuwa hajui Kama Upo uchi. Alijiona yupo sawa na wanyama alio kuwa anawatawala.

SOPHIA ANAINGILIA KATI KWA MARA YA PILI

SOPHIA = NDIE ALIE UMBA ROHO YA ADAMU.

IALDABAOTH = HAKUUMBA ROHO ILA ALIUMBA MWILI. YEYE PIA ALIZALIWA NA SOPHIA AKIWA NA ROHO AMA PUMZI YA UHAI KUTOKA KWA SOPHIA NA NDIO HIYO HIYO ALIMPULIZIA ADAMU..

Haya twende Kazi.

Sophia baada ya kugundua mchezo alio fanyiwa Adamu bado hakupendezwa na suala la roho inayotoka kwake kufungwa kwenye mwili wa kiumbe wa nyama na kunyimwa utashi wa kiungu ambao ungekifanya kiumbe hicho kufurahia maisha ya kiungu hapa duniani. So ana amua kukikomboa kiumbe hicho kutoka kwenye kutokujitambua..

Ikumbukwe kuwa Ialdabaoth baada ya kumuumba Adamu alimpa masharti kadha wa kadha Kama vile kutokutumia baadhi ya miti... Kumbe miti aliyo katazwa kutumia ndio ilikuwa na nguvu na uwezo wa kumfungua minyororo aliyo fungwa ..

Sophia anakuja mwenyewe duniani kwa umbo la nyoka kwa ajili ya kumfungua Adamu

Kupitia nyoka huyo Sophia anamletea Adamu ujumbe kwamba, Muumba wako hataki ule tunda la mti huo kwa sababu anajua ukifanya hivyo utakuwa Kama yeye.

Ndio maana baada ya Adam Kula tunda la.mti ule wa KUJUA mema na mabaya, Ialdabaoth anasema katika.kitabu Cha MWANZO 3:22 " TAZAMA MTU HUYU AMEKUWA KAMA MMOJA WETU NA SASA ASIJE AKANYOOSHA MKONO WAKE JUU AKALA TUNDA LA MTI WA UZIMA AKAISHI MILELE"

Kwa mujibu wa Freemasonry, Hinduism etc nyoka ni kiumbe mtakatifu.

Hata katika dini za kiyahudi Nyoka ni muungu. Soma vizuri habari ya Mussa na Wana wa Israel pale Ialdabaoth mwenyewe alipo waambia Wana wa Israel wachonge sanamu ya nyoka na kuisujudu na walipo fanya hivyo wakapona. ( Kwa mujibu wa Freemasonry, hapo Ialdabaoth mwenyewe aliamua kuwa link up Wana wa Israel na Mungu mkuu mwenyewe ( God the Most High ) ambae ndie ALIUMBA roho zao.

Hata katika Ukristo nyoka ni mnyama mtakarifu .Or is it not in ur Bible where Jesus is telling his Desciples " IWENI WAPOLE KAMA HUA NA WEREVU KAMA NYOKA" ?

Wanasema Alama ya Nyoka ni Alama ya Mungu Mkuu " God the Most High".

Yesu anapo waambia kuweni WEREVU kama nyoka ana maanisha kuweni na hekima Kama Sophia . Sophia hujulikana pia Kama Mama wa Hekima" .
NI nyoka huyu huyu ndio aliekuja kumkomboa Binadamu.

Lengo la Ialdabaoth halikuwa Binadamu kujitambua.

Freemasonry Wana amini kwamba, malaika wa Mungu mkuu kabisa wanaishi katika Constellations ambazo ukiziunganishan zina umbo Kama la nyoka na zinaa jongea Kama nyoka.

Snake is a very very powerful being. Yapo maajabu 40 ya kiroho ya Nyoka ambayo yatakustaajabisha Sana ( this will be a topic for another day ).

BAADA YA ADAMU WA DUNIANI KUMUASI MUUMBA WAKE.

IALDABAOTH anashuka duniani,kinyume na alivyo panga kwamba Adamu asijitambue yeye ni Nani, anamkuta Adamu anae jitambua .

Ialdabaoth ana amua kuachia laana kwa ADAMU na uzao wake wote .

SOPHIA HAPENDEZWI NA UAMUZI WA IALDABAOTH KUTOA LAANA KWA ADAMU NA UZAO WAKE.

Kwa sababu hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinawekwa chini ya laana, Sophia anaamua kuja kukikomboa kiumbe hicho kwa Mara nyingine.

Tatizo linakuja Sophia yeye yupo katika roho tu na sio katika mwili. Na mwanadamu ni roho iliyo fungwa kwenye mwili lakini haijitambui Kama ni roho. " IF TWO QUALITIES CANNOT MEET IN SUBSTANCE, THEY CAN BE BROUGHT TOGETHER ONLY BY EXTENSION"

SO Ili mission yake ikamilike lazima awe katika ulimwengu wa nyama. Na ili mission yake ikamilike Kazi lazima ifanywe na mtoto wake wa KWANZA ambae aliitwa CHRISTOS. Huyu Christos aliishi Mbinguni pamoja na SOPHIA & AEON na.ndio alikuwa mtoto wa pekee wa SOPHIA na AEON. Hawa ndio waliunda utatu mtakatifu yani MUNGU BABA = AEON, MUNGU MWANA = CHRISTOS na MUNGU ROHO MTAKATIFU = SOPHIA.

So Sophia ana re incarnated duniani in the person of MARY THE VIRGIN ( wakatoliki wanavyo komaaga na Bikira Maria msiwaone wamepotea. According to Freemasonry Bikira Maria was the re incarnation of the Holy Spirit of God the Most High.. wao wenyewe wana conjuration zao kuhusu Mary the mother of Jesus ambazo zipo very very powerful... Hii habari ya watoto wa Fatima ni ukweli na Rozary Ina nguvu kweli..

Ndio maana waislamu bila KUJUA , wamempa Hadi sura kwenye kitabu Chao kitakatifu " SURATUL MARIAM". NA SURATUL MARIAM NI MOJA LATI YA SURA ZENYE NGUVU ZA AJABU SANA. KWA MUISLAMU WA KAWAIDA UKIMUULIZA SURA GANI YENYE NGUVU KATIKA.QUR'AAN ATAKWAMBIA " SURATUL YASSIN" BUT AMINI NAKWAMBIA. SURATUL MARIAM IS SOMETHING ELSE. WEKA MAZOEA YA KUWA UNA RECITE SURATUL MARIAM KWA WINGI KILA SIKU USIKU. U WILL THANK ME LATER.)

So Sophia Re incarnated as Mary the Mother Jesus and gave birth to his son CHRISTOS who re incaranate as JESUS.

Huko Mbinguni CHRISTOS ndio aliepewa Kazi ya kufanya uumbaji wa vitu vyote katika ulimwengu wa roho.. hakuna chochote katika ulimwengu wa roho ambacho kiliweza kuwako pasipo huyo Christo.

( IALDABAUTH YEYE ALIUMBA ULIMWENGU WA NYAMA YANI MATERIAL WORLD/ ULIMWENGU WA VITU VINAVYO ONEKANA)

Ndio maana Yesu alisema UFALME WAKE SIO UFALME WA DUNIANI, UFALME WAKE NI WA MBINGUNI.

HAPO ALIMAANISHA LWAMBA YEYE UFALME WAKE SIO UFALME WA MATERIAL WORLD BALI UFALME WA SPIRITUAL WORLD.

ACCORDING TO FREEMASONRY, WHAT WAS THE REAL MISSION OF CHRIST TO THE WORLD. DID HE COME TO DIE FOR OUR SINS?
Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Hell No. Yesu hakuja duniani kwa ajili ya kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu.

Wanasema Yesu alikuja duniani kwa ajili ya kutusanua. Yani kutukumbusha asili yetu kwamba sisi ni Roho kwa Mungu Mkuu Kabisa " God the Most High" na kwamba hapa duniani sio kwetu. Roho zetu zimefungwa kwenye miili ya nyama na damu ili kutusahaulisha kule tunatoka. Kwamba sisi si sawa na N'gombe, Simba nakadhalika.

ANOTHER MISSION OF CHRIST JESUS WAS TO PERMANENTLY DELETE FROM OUR DNAs , INFORMATION ABOUT PHYSICAL DEATH OF WHICH HE FIRST DID TO HIMSELF WHEN HE BEAT THE PHYSICAL DEATH BY RESURRECTION.

(They if u truly blv in Christ Jesus about his real mission to human race u will for sure not die)

Ili tuweze kurudi kwenye asili yetu lazima tuishinde miili yetu kwa maana matendo ya miili yetu yanaweza kuchafua roho zetu na roho zilizo chafua haziwezi kupokelewa Mbinguni. Ukifa na roho yenye dhambi utazaliwa Tena duniani mpaka hapo utakapo jitambua wewe ni Nani na kutenda matendo yakupasayo ili ukifa uende Mbinguni.

Unaweza kuushinda mwili na Mambo ya duniani kwa kufuata amri kuu mpya aliyo itoa Yesu ambayo ni upendo...

Mafundisho ya Yesu yalikuwa ya kipekee Sana na yalikuwa tofauti na mafundisho ya manabii walio pita

Ukiyatazama vizuri mafundisho ya Yesu utagundua kwamba Mungu wa Agano la kale ( Ialdabaoth) na Mungu wa Agano jipya (Sophia/ Aeon) ni miungu wawili tofauti ambao walikuwa na mission mbili tofauti

Mungu wa Agano la kale alikuwa Mungu wa Haki (Just God/ Sharia/ jino kwa jino)

Mungu wa Agano jipya ni MUNGU WA UPENDO NA AMANI.

Infact Masonry wanasema Ialdabaoth anajua kwamba uwezekano wa Binadamu kumjua Mungu wao halisi ( Sophia/Aeon) NI mkubwa ndio maana aliwaambia " MIMI NDIMI BWANA MUNGU WAKO USIABUDU MIUNGU WENGINE)

BAADA YA MAFUNDISHO YA KRISTO YESU KUHUSU UFALME WA MUNGU KUSAMBAA, IALDABAOTH ANAAGIZA WATU WAKE WAMUUE YESU KWA SABABU ALIJUA KWAMBA KAMA YESU ANGE ACHWA HAI BASI ANGEIBADILISHA DUNIA YOTE NA KUWAFANYA WATU WOTE KUJITAMBUA WAO ASILI YAO NI WAPI.

Mafundisho Kama vile : Mimi na Mungu tu kitu kimoja.. watakao amini jina langu watafanyika kuwa Wana wa Mungu Alie juu Mbinguni. Kwamba mkiaminj mnaweza kufanya kuliko Yale niliyo yafanya Mimi Kama vile kufufuka.etc yalimkera Ialdabaoth kwa kuona watu alio waweka mateka Sasa wanaenda kufunguliwa.

( Siku zote Ialdabaoth hataki Binadamu kujitambua wao NI kina Nani. Ndio maana wakati wa Mnara wa Babeli aliwatawanyisha. Ule haukuwa Mnara Kama Mnara Bali watu walikutana na kuunganisha maarifa yao ili wawe na uwezo Kama wa Ialdabaoth na Ialdabaoth aliona wanaelekea kufanikiwa ndio maana akawatawanyisha.. na hii ndio sababu kina dini na madhehebu mengi duniani. Lengo ni kuwafanya wanadamu msiwe na umoja ili msije kujua asili yenu na hatimaye kujua uwezo wenu )

Baada ya mwili wa Yesu kuachana na Roho yake alienda kuzimu zilikokuwa zinashikiliwa roho za watu walio kufa duniani wakiwa hawajitambui wao NI kina Nani na kuzihubiria habari za ukweli kuhusu asili yao.

Yesu anarejea duniani Kama ishara ya kuwaambia wanadamu kwamba hata wao WANAWEZA kukishinda kifo Kama alivyo kishinda yeye.

Then anapaa Mbinguni

ITAENDELEA...

Coming next: kwanini ibada za mizimu zina nguvu Sana? Majibu Yana uhusiano na habari ya asili ya roho ya mwanadamu

2. Kwanini ahlul badr Ina nguvu Sana? Majibu yanahusiana na nguvu ya ibada ya mizimu


UPDATE: UFAFANUZI KUHUSU SUALA LA KIVULI CHA SOPHIA KUWA REFLECTED & TRAPPED KWENYE ENEO LA UTUKUFU WA CHINI NA HATIMAYE KUTOKEA IALDABAOTH..

Baadhi ya watu hawajaelewa kipengele hiki, ngoja niki break down kwa lugha nyepesi na mifano rahisi.

Ni hivi Mungu Sophia ambae ni sehemu ya kike ya DUALITY ya uungu ( SOPHIA & AEON ) , bila ridhaa wala ruhusu ya sehemu yake ya kiume ( AEON ) alipita katika eneo lenye utukufu wa chini . Akiwa katika eneo hilo la utukufu wa chini, kivuli chake kikawa reflected mahali hapo na alama za kivuli chake zikawa trapped katika eneo hilo na matokeo yake akatokea IALDAAOTH.

Mfano wake ni kama huu. Mungu ashuke juu mbinguni aje duniani, akiwa duniani, akanyage juu ya jiwe, kwenye jiwe hilo zibaki alama za nyayo za Mwenyezi Mungu, kisha juu ya alama hizo za nyayo za Mungu kitokee kiumbe.

Au Mungu ashuke duniani, halafu kivuli chake kiakisiwe ( kiwe reflected ) kwenye ardhi ya dunia. Kwa sababu ya nguvu za kiungu za Mungu, kivuli cha Mungu kiwe trapped kwenye ardhi ya duniani na mwisho wa siku hicho kivuli kibadilike kiwe kiumbe.

Au wewe binadamu upite karibu na mto au ziwa , kivuli chako kiwe reflected kwenye mto huo au ziwa hilo, halafu kwa sababu labda una nguvu fulani za ziada kile kivuli chako kigeuke na kuwa kiumbe hai...


Mfano wa chini kabisa : Hujawahi kusikia mtu kaenda sehemu fulani kufanya tukio la uhalifu , akaacha alama za vidole vyake kwa kushika kifaa katika eneo hilo halafu baadae wataalamu wa mambo ya forensic waka trace alama za vidole za mtu huyo na mwisho wa siku wakamkamata mtu huyo? Kama wewe binadamu kwa sababu ya nguvu kidogo ulizo nazo, unaweza kupita sehemu ukaacha alama zako za vidole, vipi kuhusu Mungu Sophia ?


UFAFANUZI ZAIDI.

Baada ya kiumbe hicho ( IALDABAOUTH ) kupatikana stillbado kilikuwa attached na Mungu Sophia kupitia kitu kinaitwa Electrol Chords ama kamba za moto ambazo ni Electro Magnetic by nature. Maana yake ni kwamba Mungu Sophia ange co-exist na kiumbe hiki kipya, kiumbe kilicho zaliwa ama patikana kinyume na mipango ya MUNGU MKUU KABISA ( GOD THE MOST HIGH ambae anaundwa na MUNGU SOPHIA (KE) na MUNGU AEON(ME)

Kwa sababu hiyo basi Mungu Sophia aliamua kuki -detach ( kukikiondoa kiumbe/kivuli hicho kwenye sehemu yake ) na kukitupa mahali pengine ambako ni mbali kabisa na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High )

KWANINI HAKUKIUA ? KWA SABABU MUNGU SOPHIA NI MUNGU WA UPENDO.

Hakukitupa hivi hivi, alikitengenezea THRONE ( Ufalme wake ). So wakati anakitupa kiumbe hicho kwenye space ya mbali alikitupa kikiwa na afalme wake.


MAISHA YA IALDABAOTH BAADA YA KUTUPWA KWENYE SPACE ( UFALME WAKE )

IALDABAOTH anajikuta tayari yupo kwenye ufalme wake akiwa na uwezo mkubwa sana ambao hajui umetoka wapi wala yeye mwenyewe hajui ametoka wapi. ( HII NDIO SABABU KATIKA BAADHI YA DINI, IALDABAOTH ana nukuliwa akisema " MIMI SIJAZAA WALA SIJAZALIWA . WALA SIJAUMBWA, SINA MWANZO WALA SINA MWISHO) sababu hasa ya yeye kusema hivyo ni hii.

KWANINI IALDABAOTH ANASEMA HAKUZALIWA WALA HAKUUMBWA ( KWA MUJIBU WA MAFUNDISHO YA FREE MASONRY )

Sababu ni kwamba, baada ya yeye kuzaliwa/kutokea, mama yake ( Mungu Sophia ) alimtengenezea ufalme, akampa nguvu kubwa za kiungu kisha akaenda kumtupa katika anga la mbali sana na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High ) na kisha kuvunja connection nae. IALDABAOTH anajitambua tayari akiwa na nguvu na uwezo wa kufanya mambo makubwa, ambayo ana amini kwamba hakuna awezae kufanya mambo makubwa kama yeye isipokuwa yeye mwenyewe.

MFANO WA KIBINADAMU : Yani ni sawa na mke wa mtu achepuke mahali wakati mumewe yupo safarini kisha apate ujauzito then azaliwe mtoto. Katika kukwepa fedheha ya kupata mtoto nje ya ndoa, mama huyo baada ya mtoto huyo kuzaliwa, amchukue mtoto huyo lets say kutoka Tanzania kisha ampeleke AUSTRALIA na ampe, nguvu na ufalme( mali n.k ) na kuvunja nae connection. Mtoto akikua anaweza asijue mahali anapotoka.

So Freemasons wanasema kwamba, IALDABAOTH ndio baba wa ATHEISM kwa sababu yeye mwenyewe hakubali wala haamini kama amezaliwa au ameumbwa au anatokana na kitu chenye nguvu kuliko yeye.. Uliwahi kujiuliza kwa nini Rapper Jay Z hujiita Young Hova) ( Hova = Jehova )

Binadamu wana maswali mengi sana ambayo hayana majibu yake. Wengi hawajui wametoka wapi, kwanini wapo hapa duniani, wakifa wataenda wapi, uovu umetoka wapi, kwanini kuna mateso na matatizo duniani n.k, kupitia mfululizo wa makala haya tutayajibu yote hayo kulingana na mafundisho ya freemasonry )



Baadae nitaendelea na SEHEMU YA PILI NA KUENDELEA NA KILA SEHEMU ITAKUWA NA PAGE YAKE.

Last emperor Babyzuh let the caged bird sings Msanii fearlessfighter JOHNGERVAS Ramo Lucky Star sala na kazi Mzee Wa Tairi @




View attachment 1827652
Wakristo mukuje huku kutudadavulia kuhusu huyu malkia wa mbinguni ni nani na wanadamu walimfahamu je hata kuanza kumuabudu kwa kumtolea kafara na dhabihu.
Jambo hili limefanya Mungu kuwalaumu watu hawa na kuwapa onyo dhidi ya kitendo hicho.
Watu wa dini chukueni hatua za kufafanua kabla ya freemasonry kuendelea kutiririka.

Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.
.
Yeremia 44:17-19
[17]Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya.
[18]Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa.
[19]Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimfanyizia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mamiminiko, waume zetu wasipokuwapo?
.
Yeremia 44:17-19,25
[17]Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya.
[18]Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa.
[19]Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimfanyizia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mamiminiko, waume zetu wasipokuwapo?
[25]BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Ninyi na wake zenu mmenena kwa vinywa vyenu, na kutimiza kwa mikono yenu, mkisema, Bila shaka tutazitimiza nadhiri zetu tulizoziweka, na kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji; basi, zithibitisheni nadhiri zenu, zitimizeni nadhiri zenu.
.
Ufunuo wa Yohana 18:7-8
[7]Kwa kadiri alivyojitukuza na kufanya anasa, mpeni maumivu na huzuni kadiri iyo hiyo. Kwa kuwa husema moyoni mwake, Nimeketi malkia, wala si mjane, wala sitaona huzuni kamwe.
[8]Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu.
.
PIA ITAPENDEZA KUWEKA SAWA UHUSIANO WA KAFARA ZA DAMU NA ONDOLEO LA DHAMBI AU NGUVU KAMA WAPENDAVYO KUZIITA FREEMASONRY. MAANA MSIPODADAVUA KATIKA HALI YA KUELEWEKA WAKAENDELEA NA KAFARA ZAO MTADAIWA DAMU ZAO MIKONONI MWENU WATU WA MUNGU YULE ALIYE JUU SANA.
.
Waebrania 9:15-22
[15]Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.
[16]Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya.
[17]Kwa maana agano la urithi lina nguvu palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina nguvu kabisa, akiwa yu hai yeye aliyelifanya.
[18]Kwa hiyo hata lile la kwanza halikuanzwa pasipo damu.
[19]Maana kila amri ilipokwisha kunenwa na Musa kwa hao watu wote, kama ilivyoamuru sheria, aliitwaa damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja na maji na sufu nyekundu na hisopo, akakinyunyizia kitabu chenyewe, na watu wote,
[20]akisema, Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu.
[21]Na ile hema nayo na vyombo vyote vya ibada alivinyunyizia damu vivyo hivyo.
[22]Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo.
 

Attachments

  • IMG_20211222_120000.JPG
    IMG_20211222_120000.JPG
    61.5 KB · Views: 41
Wakristo mukuje huku kutudadavulia kuhusu huyu malkia wa mbinguni ni nani na wanadamu walimfahamu je hata kuanza kumuabudu kwa kumtolea kafara na dhabihu.
Jambo hili limefanya Mungu kuwalaumu watu hawa na kuwapa onyo dhidi ya kitendo hicho.
Watu wa dini chukueni hatua za kufafanua kabla ya freemasonry kuendelea kutiririka.

Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.
.
Yeremia 44:17-19
[17]Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya.
[18]Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa.
[19]Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimfanyizia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mamiminiko, waume zetu wasipokuwapo?
.
Yeremia 44:17-19,25
[17]Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya.
[18]Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa.
[19]Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimfanyizia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mamiminiko, waume zetu wasipokuwapo?
[25]BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Ninyi na wake zenu mmenena kwa vinywa vyenu, na kutimiza kwa mikono yenu, mkisema, Bila shaka tutazitimiza nadhiri zetu tulizoziweka, na kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji; basi, zithibitisheni nadhiri zenu, zitimizeni nadhiri zenu.
.
Ufunuo wa Yohana 18:7-8
[7]Kwa kadiri alivyojitukuza na kufanya anasa, mpeni maumivu na huzuni kadiri iyo hiyo. Kwa kuwa husema moyoni mwake, Nimeketi malkia, wala si mjane, wala sitaona huzuni kamwe.
[8]Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu.
.
PIA ITAPENDEZA KUWEKA SAWA UHUSIANO WA KAFARA ZA DAMU NA ONDOLEO LA DHAMBI AU NGUVU KAMA WAPENDAVYO KUZIITA FREEMASONRY. MAANA MSIPODADAVUA KATIKA HALI YA KUELEWEKA WAKAENDELEA NA KAFARA ZAO MTADAIWA DAMU ZAO MIKONONI MWENU WATU WA MUNGU YULE ALIYE JUU SANA.
.
Waebrania 9:15-22
[15]Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.
[16]Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya.
[17]Kwa maana agano la urithi lina nguvu palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina nguvu kabisa, akiwa yu hai yeye aliyelifanya.
[18]Kwa hiyo hata lile la kwanza halikuanzwa pasipo damu.
[19]Maana kila amri ilipokwisha kunenwa na Musa kwa hao watu wote, kama ilivyoamuru sheria, aliitwaa damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja na maji na sufu nyekundu na hisopo, akakinyunyizia kitabu chenyewe, na watu wote,
[20]akisema, Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu.
[21]Na ile hema nayo na vyombo vyote vya ibada alivinyunyizia damu vivyo hivyo.
[22]Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo.

Sasa hapa kuna nini chakujiuliza katika kipenge chote cha kwanza huku umeshajijibu tiyari. Ufunuo wa yohane 18:7-8 umetoa maana ya yote yale uliyo-quote kuwa MALKIA ni SHETANI yule joka la zamani a.k.a MWONGO.

Na hapa pia ambitions zake ni hizo hizo kukuzubaisha kuwa ni SOPHIA= WISDOM/HEKIMA mara ngapi amekuwa akidanganya wafuasi wake kuwa kumfuata yeye ni KUPATA ZAWADI YA KUWA NA UPEO NJE YA TULIONAO,

Kumbuka huyu jamaa yeye siku zote ufanya kinyume na MUNGU yaani huyu akiwakilishwa kama mwanaume basi yeye ujinasibisha kama mwanamke, huyu akikataa ushoga yeye u-support, huyu akikataa ibada za sanamu yeye u-support,huyu akikataa mwanadamu asijiushishe na ushirikina au maruweruwe(illuminate) mwenzie ndo kwanza anaubiri tujue nguvu tulizonazo natujikweze kuwa tuko sawa au zaidi ya Baba yetu(Mungu)
Je, si kwa kosa hili yalimshinda na akachapika huko mbinguni mpaka akashushwa huku?

Pia tabia nyingine nikubadili sifa za Mungu au kughushi ukweli wa maandiko na kuubadili kuwa uongo coz huyu ndiye baba wa uongo na Yesu ashatoa tahadhari kuwa atawapekecha kama bua la muhindi lifanywavyo na mchwa lisibakie hata moja limesimama kwani atadanganya ulimwengu mzima (sawa na neno la ufunuo la mwanamke kahaba aliyezini na watawala wote wa dunia akilewa damu ya watu wa Mungu kwenye kikombe cha machukizo)

Pia Mungu asema na watu wake akiwatahadharisha juu ya hila au uongo wa huyu bwana hata kwa wale wakizazi cha tatu na cha nne wasiomfahamu, sasa hapa utajiuliza kizazi hicho kinachozungumzwa ni chakina nani.

Kuhusu damu au kafara (ishara ya kifo au kuondoa uhai wa kiumbe) kama kiungo muhimu kwa ajili ya ukombozi wa binadamu na upatanisho na Mungu mie binafsi silikubali hili na wala si sahihi labda tu kama katika enzi hizo damu ilichukuliwa kama ishara ya agano la Mungu na watu wake ili kuonesha their commitment to him kinyume na hapo nikughushi maandiko nakuyachanganya na upagani hili kuwafanya wafuasi wa imani waloose battle kwa kujiona njia wanayoifatisha ni batili.

(Ndiyo maana waamini tunafananishwa na kondoo katika maandiko daima tunaamini nakufuata mwongozo au anayetuongoza hata kama tunapopelekwa ni katika njia ya machinjioni/mauti)

Binafsi sina imani na biblia yote kuwa haijaghushiwa na huyu shetani na wafuasi wake ikiwa yeye ni mshawishi, mtawala wa ulimwengu huu na kwa asilimia kubwa kwa kutumia akili ya kawaida tu ni dhahiri ana mchango mkubwa katika kuruhusu maudhui haya yatufikie, sasa inawezekaneje akajikaanga mwenyewe?

Huoni kama kuna possibility yale macontradiction waliyaongezea kwenye biblia kimakusudi lengo ni hili hili la kuja kujitetea kupitia ujinga waliouanzisha wenyewe na mtawaamini sawa na walivyowadanganya mwanzo kwenye bustani ile, Yesu anapoonya na kutia msisitizo juu ya atakayeyabadili maandiko hata nukta kutokuwa na msamaha wa Mungu unadhani hajui kama haya yatawakumba waja wake?

Na Je kama maandiko yameghushiwa kidogo au kwa asilimia kubwa nani wakuthibitisha kuwa biblia nitimilifu ikiwa wote hatukuhusishwa au kushika kalamu kuandika wakati maandishi haya yakiifadhiwa?
 
Sasa hapa kuna nini chakujiuliza katika kipenge chote cha kwanza huku umeshajijibu tiyari. Ufunuo wa yohane 18:7-8 umetoa maana ya yote yale uliyo-quote kuwa MALKIA ni SHETANI yule joka la zamani a.k.a MWONGO.

Na hapa pia ambitions zake ni hizo hizo kukuzubaisha kuwa ni SOPHIA= WISDOM/HEKIMA mara ngapi amekuwa akidanganya wafuasi wake kuwa kumfuata yeye ni KUPATA ZAWADI YA KUWA NA UPEO NJE YA TULIONAO,

Kumbuka huyu jamaa yeye siku zote ufanya kinyume na MUNGU yaani huyu akiwakilishwa kama mwanaume basi yeye ujinasibisha kama mwanamke, huyu akikataa ushoga yeye u-support, huyu akikataa ibada za sanamu yeye u-support,huyu akikataa mwanadamu asijiushishe na ushirikina au maruweruwe(illuminate) mwenzie ndo kwanza anaubiri tujue nguvu tulizonazo natujikweze kuwa tuko sawa au zaidi ya Baba yetu(Mungu)
Je, si kwa kosa hili yalimshinda na akachapika huko mbinguni mpaka akashushwa huku?

Pia tabia nyingine nikubadili sifa za Mungu au kughushi ukweli wa maandiko na kuubadili kuwa uongo coz huyu ndiye baba wa uongo na Yesu ashatoa tahadhari kuwa atawapekecha kama bua la muhindi lifanywavyo na mchwa lisibakie hata moja limesimama kwani atadanganya ulimwengu mzima (sawa na neno la ufunuo la mwanamke kahaba aliyezini na watawala wote wa dunia akilewa damu ya watu wa Mungu kwenye kikombe cha machukizo)

Pia Mungu asema na watu wake akiwatahadharisha juu ya hila au uongo wa huyu bwana hata kwa wale wakizazi cha tatu na cha nne wasiomfahamu, sasa hapa utajiuliza kizazi hicho kinachozungumzwa ni chakina nani.

Kuhusu damu au kafara (ishara ya kifo au kuondoa uhai wa kiumbe) kama kiungo muhimu kwa ajili ya ukombozi wa binadamu na upatanisho na Mungu mie binafsi silikubali hili na wala si sahihi labda tu kama katika enzi hizo damu ilichukuliwa kama ishara ya agano la Mungu na watu wake ili kuonesha their commitment to him kinyume na hapo nikughushi maandiko nakuyachanganya na upagani hili kuwafanya wafuasi wa imani waloose battle kwa kujiona njia wanayoifatisha ni batili.

(Ndiyo maana waamini tunafananishwa na kondoo katika maandiko daima tunaamini nakufuata mwongozo au anayetuongoza hata kama tunapopelekwa ni katika njia ya machinjioni/mauti)

Binafsi sina imani na biblia yote kuwa haijaghushiwa na huyu shetani na wafuasi wake ikiwa yeye ni mshawishi, mtawala wa ulimwengu huu na kwa asilimia kubwa kwa kutumia akili ya kawaida tu ni dhahiri ana mchango mkubwa katika kuruhusu maudhui haya yatufikie, sasa inawezekaneje akajikaanga mwenyewe?

Huoni kama kuna possibility yale macontradiction waliyaongezea kwenye biblia kimakusudi lengo ni hili hili la kuja kujitetea kupitia ujinga waliouanzisha wenyewe na mtawaamini sawa na walivyowadanganya mwanzo kwenye bustani ile, Yesu anapoonya na kutia msisitizo juu ya atakayeyabadili maandiko hata nukta kutokuwa na msamaha wa Mungu unadhani hajui kama haya yatawakumba waja wake?

Na Je kama maandiko yameghushiwa kidogo au kwa asilimia kubwa nani wakuthibitisha kuwa biblia nitimilifu ikiwa wote hatukuhusishwa au kushika kalamu kuandika wakati maandishi haya yakiifadhiwa?
Mkuu Undava nimekusoma na nimekuelewa vyema. Nia yako ni njema katika kuitetea imani ya Mungu muumba wa mbingu na nchi ila ulipotia shaka juu ya baadhi ya maandiko ya bibilia hapo ndio panaleta hojanyingine.
Kwanza cha kujiuliza katika maudhui ya kitabu ni ukombozi wa mtu aliye anguka. Halafu huyu aliyeanguka anguko lake halikubaki kuwa juu yake peke yake bali na kizazi cha uzao wake baada yake. Hili limesababisha binadamu azaliwapo na mwanamke kuwe na sharti la kuzaliwa mara ya pili ili kukidhi kigezo cha kuurithi ufalme wa Mungu. Sasa anguko lake alianguka kutoka wapi na kwa njia ipi? Usipoweka kituo hapa na kutafakari kwa kina utampa adui nafasi ya kuja na tafsiri iliyopotoahwa maana nia yake ni kuzidi kuwashikilia aliyokwisha wapotosha tayari. Agano la kale ni kivuli cha mambo mema yaliyokuwa yaje nayo ni agano jipya yaani Yesu kristo.
Ondoleo la dhambi halikuweza kuondolewa na chochote ila damu katika agano la sheria. Na ili tendo hilo litendeke ni lazima kuwe na kiumbe( mnyama) aliyepoteza uhai. Why? Ni la kutafakari pia.
Kanisa la Mungu limefananishwa kama mwanamke(bibi arusi wa Kristo).
Ufunuo wa Yohana 21:2
[2]Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.
Sasa shetani akijua fika kwamba kuna bibi arusi wa Kristo na yeye katika kuposha anamtengeneza wake. Tumeona huyu anaeitwa mwanamke sii mwanamke katika umbo la kiasili bali ni kusanyiko lenye watu wa jinsia zote. Hivyo kuna makusanyiko mawili moja la Mungu lililo takatifu na jingine ovu lililopotoshwa na shetani.
Shaka langu kwako Undava ni hili la kuhofia kuhusu matoleo ya dhabihu za kafara ya damu. Je hukubaliani na Yesu kuwa kondoo wa sadaka ya toleo la damu ya kafara?
Waebrania 10:5-10
[5]Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka,
Lakini mwili uliniwekea tayari;
[6]Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi hukupendezwa nazo;
[7]Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika gombo la chuo nimeandikiwa)
Niyafanye mapenzi yako, Mungu.
[8]Hapo juu asemapo, Dhabihu na matoleo na sadaka za kuteketezwa na hizo za dhambi hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo (zitolewazo kama ilivyoamuru torati),
[9]ndipo aliposema, Tazama, nimekuja niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza, ili kusudi alisimamishe la pili.
[10]Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja tu.
Waebrania 10:6-10
SWALIAMBALO NAPENDA KULIACHA NI HILI, IKIWA MUNGU NI MWENYE UWEZO WOTE NA MMILIKI WA YOTE (HATA SHETANI) KUSUDI LAKE LA KUMWACHA ADAM AANGUKE NA KUANZA RASMI MPANGO WA KUMKOMBOA LILIKUWA NI NINI?
Zingatia uwezo wa kuzuia hilo lisitendeke anao na upo ndani ya mamlaka yake .
 
Mkuu Undava nimekusoma na nimekuelewa vyema. Nia yako ni njema katika kuitetea imani ya Mungu muumba wa mbingu na nchi ila ulipotia shaka juu ya baadhi ya maandiko ya bibilia hapo ndio panaleta hojanyingine.
Kwanza cha kujiuliza katika maudhui ya kitabu ni ukombozi wa mtu aliye anguka. Halafu huyu aliyeanguka anguko lake halikubaki kuwa juu yake peke yake bali na kizazi cha uzao wake baada yake. Hili limesababisha binadamu azaliwapo na mwanamke kuwe na sharti la kuzaliwa mara ya pili ili kukidhi kigezo cha kuurithi ufalme wa Mungu. Sasa anguko lake alianguka kutoka wapi na kwa njia ipi? Usipoweka kituo hapa na kutafakari kwa kina utampa adui nafasi ya kuja na tafsiri iliyopotoahwa maana nia yake ni kuzidi kuwashikilia aliyokwisha wapotosha tayari. Agano la kale ni kivuli cha mambo mema yaliyokuwa yaje nayo ni agano jipya yaani Yesu kristo.
Ondoleo la dhambi halikuweza kuondolewa na chochote ila damu katika agano la sheria. Na ili tendo hilo litendeke ni lazima kuwe na kiumbe( mnyama) aliyepoteza uhai. Why? Ni la kutafakari pia.
Kanisa la Mungu limefananishwa kama mwanamke(bibi arusi wa Kristo).
Ufunuo wa Yohana 21:2
[2]Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.
Sasa shetani akijua fika kwamba kuna bibi arusi wa Kristo na yeye katika kuposha anamtengeneza wake. Tumeona huyu anaeitwa mwanamke sii mwanamke katika umbo la kiasili bali ni kusanyiko lenye watu wa jinsia zote. Hivyo kuna makusanyiko mawili moja la Mungu lililo takatifu na jingine ovu lililopotoshwa na shetani.
Shaka langu kwako Undava ni hili la kuhofia kuhusu matoleo ya dhabihu za kafara ya damu. Je hukubaliani na Yesu kuwa kondoo wa sadaka ya toleo la damu ya kafara?
Waebrania 10:5-10
[5]Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka,
Lakini mwili uliniwekea tayari;
[6]Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi hukupendezwa nazo;
[7]Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika gombo la chuo nimeandikiwa)
Niyafanye mapenzi yako, Mungu.
[8]Hapo juu asemapo, Dhabihu na matoleo na sadaka za kuteketezwa na hizo za dhambi hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo (zitolewazo kama ilivyoamuru torati),
[9]ndipo aliposema, Tazama, nimekuja niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza, ili kusudi alisimamishe la pili.
[10]Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja tu.
Waebrania 10:6-10
SWALIAMBALO NAPENDA KULIACHA NI HILI, IKIWA MUNGU NI MWENYE UWEZO WOTE NA MMILIKI WA YOTE (HATA SHETANI) KUSUDI LAKE LA KUMWACHA ADAM AANGUKE NA KUANZA RASMI MPANGO WA KUMKOMBOA LILIKUWA NI NINI?
Zingatia uwezo wa kuzuia hilo lisitendeke anao na upo ndani ya mamlaka yake .

Unajua, tulivo fundishwa wakristo kuhusu utendaji kazi wa utatu mtakatifu ni kuwa

Mungu Baba anaweza toa agizo , Mungu mwana ana fanya ku-design Hilo jambo kiroho na Roho mtakatifu analizaa jambo Hilo yaani analisababisha jambo Hilo kuwepo.

Ndio maana hata wao ,wamekubali mambo yote kristo yesu alihusika Katika uhumbaji.

Kwa wakristo,
Kuhusu
Roho mtakatifu ndie anayemza mtu Huyo upya,Kwa Mara ya pili,pindi mtu atapomuamini YESU kristo mwana wa Mungu Baba

Kuhusu mambo ya jinsia ya Roho mtakatifu sijui,

Ukweli mwingine utaujua tukifika huko mbinguni
 
Mkuu Undava nimekusoma na nimekuelewa vyema. Nia yako ni njema katika kuitetea imani ya Mungu muumba wa mbingu na nchi ila ulipotia shaka juu ya baadhi ya maandiko ya bibilia hapo ndio panaleta hojanyingine.
Kwanza cha kujiuliza katika maudhui ya kitabu ni ukombozi wa mtu aliye anguka. Halafu huyu aliyeanguka anguko lake halikubaki kuwa juu yake peke yake bali na kizazi cha uzao wake baada yake. Hili limesababisha binadamu azaliwapo na mwanamke kuwe na sharti la kuzaliwa mara ya pili ili kukidhi kigezo cha kuurithi ufalme wa Mungu. Sasa anguko lake alianguka kutoka wapi na kwa njia ipi? Usipoweka kituo hapa na kutafakari kwa kina utampa adui nafasi ya kuja na tafsiri iliyopotoahwa maana nia yake ni kuzidi kuwashikilia aliyokwisha wapotosha tayari. Agano la kale ni kivuli cha mambo mema yaliyokuwa yaje nayo ni agano jipya yaani Yesu kristo.
Ondoleo la dhambi halikuweza kuondolewa na chochote ila damu katika agano la sheria. Na ili tendo hilo litendeke ni lazima kuwe na kiumbe( mnyama) aliyepoteza uhai. Why? Ni la kutafakari pia.
Kanisa la Mungu limefananishwa kama mwanamke(bibi arusi wa Kristo).
Ufunuo wa Yohana 21:2
[2]Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.
Sasa shetani akijua fika kwamba kuna bibi arusi wa Kristo na yeye katika kuposha anamtengeneza wake. Tumeona huyu anaeitwa mwanamke sii mwanamke katika umbo la kiasili bali ni kusanyiko lenye watu wa jinsia zote. Hivyo kuna makusanyiko mawili moja la Mungu lililo takatifu na jingine ovu lililopotoshwa na shetani.
Shaka langu kwako Undava ni hili la kuhofia kuhusu matoleo ya dhabihu za kafara ya damu. Je hukubaliani na Yesu kuwa kondoo wa sadaka ya toleo la damu ya kafara?
Waebrania 10:5-10
[5]Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka,
Lakini mwili uliniwekea tayari;
[6]Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi hukupendezwa nazo;
[7]Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika gombo la chuo nimeandikiwa)
Niyafanye mapenzi yako, Mungu.
[8]Hapo juu asemapo, Dhabihu na matoleo na sadaka za kuteketezwa na hizo za dhambi hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo (zitolewazo kama ilivyoamuru torati),
[9]ndipo aliposema, Tazama, nimekuja niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza, ili kusudi alisimamishe la pili.
[10]Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja tu.
Waebrania 10:6-10
SWALIAMBALO NAPENDA KULIACHA NI HILI, IKIWA MUNGU NI MWENYE UWEZO WOTE NA MMILIKI WA YOTE (HATA SHETANI) KUSUDI LAKE LA KUMWACHA ADAM AANGUKE NA KUANZA RASMI MPANGO WA KUMKOMBOA LILIKUWA NI NINI?
Zingatia uwezo wa kuzuia hilo lisitendeke anao na upo ndani ya mamlaka yake .

Unajua, tulivo fundishwa wakristo kuhusu utendaji kazi wa utatu mtakatifu ni kuwa

Mungu Baba anaweza toa agizo , Mungu mwana ana fanya ku-design Hilo jambo kiroho na Roho mtakatifu analizaa jambo Hilo yaani analisababisha jambo Hilo kuwepo.

Ndio maana hata wao ,wamekubali mambo yote kristo yesu alihusika Katika uhumbaji.

Kwa wakristo,
Kuhusu
Roho mtakatifu ndie anayemza mtu Huyo upya,Kwa Mara ya pili,pindi mtu atapomuamini YESU kristo mwana wa Mungu Baba

Kuhusu mambo ya jinsia ya Roho mtakatifu sijui,

Ukweli mwingine utaujua tukifika huko mbinguni
 
Unajua, tulivo fundishwa wakristo kuhusu utendaji kazi wa utatu mtakatifu ni kuwa

Mungu Baba anaweza toa agizo , Mungu mwana ana fanya ku-design Hilo jambo kiroho na Roho mtakatifu analizaa jambo Hilo yaani analisababisha jambo Hilo kuwepo.

Ndio maana hata wao ,wamekubali mambo yote kristo yesu alihusika Katika uhumbaji.

Kwa wakristo,
Kuhusu
Roho mtakatifu ndie anayemza mtu Huyo upya,Kwa Mara ya pili,pindi mtu atapomuamini YESU kristo mwana wa Mungu Baba

Kuhusu mambo ya jinsia ya Roho mtakatifu sijui,

Ukweli mwingine utaujua tukifika huko mbinguni
Katika ukristo swala la utatu lipo na halikwepeki. Tatizo linaibuka pale huu utatu unapofanywa kuwa nafsi tatu tofauti ambalo haliwezi kuthibitika kimaandiko. Jambo hili litafanya tuwe na mungu zaidi ya mmjo wanaokubaliana katika jambo moja kinyume na biblia.
Kumbukumbu la Torati 6:4
[4]Sikiza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja.
 
Habari hii ni ndefu Sana ila nitaielezea kwa ufupi kwa kadri nitakavyo weza.

Freemasonry Wana amini nini kuhusu Mungu wa Israel?

Freemasonry Wana amini kwamba Mungu wa Israel yupo na ana nguvu lakini sio Mungu mwenye nguvu zote " the Most High God"

Wao Wanaamini kwamba juu ya Mungu wa Israel Kuna Mungu Mkuu zaidi mwenye Nguvu zaidi ya Mungu wa Israel na ambae ndio Mungu wa ukweli.

Wao wana mrefer Mungu wa Israel Kama Demiurge yani the fashioner of the material world.

Kwamba Mungu wa Israel ni Mungu aliebuni na kutengenezea ulimwengu wa nyama yani ulimwengu unao onekana ( material world ) na sio ulimwengu usio onekana...

Wana sema Mungu wa Israel hana uwezo wa kuumba roho( kwanini? Endelea kusoma )

Mungu wa Israel alitoka wapi?

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Mungu wa Israel alizaliwa na Mungu Sophia ambae alikuwa ni sehemu ya kike ya Mungu mwenye nguvu zote " God the most high" ambae kwa pamoja huitwa Aeon.

Sasa kwa mujibu wa Freemasonry, huyu Aeon ndio Mungu Mkuu ( God the Most High ) ambae ana sehemu mbili , ya kike na kiume, na sehemu ya kike huitwa Sophia.

Wanaendelea kufundisha kwamba Mungu wa Israel ambae wao wana mrefer kwa jina lake Ialdabaoth au Elihom Tzabaoth ( Demiurge ni sifa yake kuu sio jina lake halisi) alizaliwa kimakosa.

Ni kwamba siku moja Sophia alipita katika eneo ambalo lilikuwa la daraja la chini katika ulimwengu huo wa kiroho na matokeo yake sehemu ya kivuli Cha Sophia ikawa reflected na hatimaye kuwa trapped kwenye eneo hilo.

Baada ya kudetect Hali hiyo , Sophia akahitaji kuondoka katika eneo hilo kwa haraka lakini hakuweza kuondoka na sehemu hiyo iliyokuwa Trapped kwa sababu ilikuwa na utukufu wa chini kuliko utukufu wake, so sehemu hiyo ilikatwa na kubaki yenyewe, sehemu hiyo ndio ilio kuja kuwa IALDABAOTH au Mungu wa Israel according to Freemasonry.

Baada ya kuzaliwa sasa Ialdabaoth akawa na uwezo karibu sana na uwezo wa mama ake ambae ni Sophia

Nature ya Ialdabaoth: Ialdabaoth alikuwa na nature kuu mbili. Kwanza nature ya kiroho ambayo ali irithi kwa mama ake ambae ni Sophia na pili ni material nature ambayo ilizaliwa kwake kupitia muunganiko Kati ya sehemu ya mama ake pamoja na sehemu Ile ya daraja la chini kiutukufu ambayo sehemu ya mama ake ilikuwa trapped. Na hii ndio sababu kwanini Ialdabaoth aliamua kuufashion ulimwengu wa nyama. Alitaka kutengenezea kitu chenye kubeba taswira yake inayo onekana.

Ialdabaoth alitumia uwezo wake kufashion na kuumba vitu vyote vyenye mwili na maumbo yani wanyama ,mimea, mito bahari,nyota, mwezi, binadamu nakadhalika.

Vitu vingi alivyo viumba vilikuwa ni roho yeye alicho kifanya ni kuviumba katika ya mwili.

Mfano Jua, lipo Jua katika ulimwengu wa roho " spiritual sun" ila yeye akaumba Jua linalo onekana ambalo lilireflect Jua lisilo onekana. Simba, TEMBO, chui, nakadhalika.

Kwanza alianza kwa kuwaumba watoto wake Saba ambao aliwapa kumiliki na kutawala Sayari Saba ambazo zinaitawala dunia.
BAADAD IALDABAOTH ALIUASI UFALME WA MUNGU MKUU ALIYE JUU KABISA NA KUAZISHA UFALME WAKE MWENYEWE.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry Sayari ya dunia inatawaliwa na Sayari Saba.Kila Sayari inatawala siku moja ya wiki katika Sayari hizo Saba.

Baada ya hapo akaumba vitu vyote vinavyo onekana ( material world ) ambavyo aliviumba kwa nyakati saba tofauti ( wakristu na waislamu wanasema ni siku Saba ila Freemasonry wanasema ni nyakati saba.

Siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka elfu moja kwa binadamu. Ndio maana Freemasonry wana ziita nyakati ) # halafu majina ya siku kwa mujibu wa Masonic calendar ni tofauti na watu wa Imani zingine.

Kwenye calendar yao hakuna jumamosi wala jumapili.

Kwanza miezi yao Ina siku 28 hakuna mwezi wenye siku 30 Wala 31 pili hawana jumamosi wala jumapili wao wana siku ya Kwanza Hadi siku ya Saba na kila siku Ina jina lake maalumu kulingana na tukio ambalo Ialdabaoth alifanya katika siku hiyo.

Kwa mfano siku ambayo Ninyi mna iita Ijumaa wao Wana iita SIKU YA FAIDA NA THAMANI ambayo kwa mujibu wa calendar yao ni SIKU YA TATU, siku mnayo iita JUMATANO wao ni SIKU YA KWANZA ambayo ni SIKU YA NURU na siku mnayo iita JUMAPILI wao ni SIKU YA TANO ambayo Wana iita SIKU YA MAMBO MAKUBWA. Na kwa mujibu wa mafundisho yao, hii ni SIKU AMBAYO MUNGU Ialdabaoth ALIUMBA VITU VIKUBWA VIKUBWA NA WANYAMA WAKUBWA WAKUBWA MFANO WANYAMA KAMA NYANGUMI WA BAHARINI NA TEMBO WA NCHI KAVU WALIUMBWA KATIKA SIKU HII.

Ialdabaoth alimuumba mtu kwa kutumia raw materials kutoka kwenye ardhi ya kwenye sayari hii hii ya dunia( NA SIO KWAMBA ALIMUUMBA MTU KWA UDONGO 100% HELL NO. ALIMUUMBA KWA KUTUMIA MALIGHAFI ZILIZO TOKA KWENYE ARDHI)

Mfano wa MALIGHAFI hizo ni pamoja na aina ya mwamba (rock) huo mwamba umetumika kufashion ama kutengenezea mifupa na meno (KATIKA FREEMASONRY AINA HII YA KWAMBA INAJULIKANA NA WATU WACHACHE SANA TENA WALE WALIO KATIKA DEGREES ZA JUU)

Wanasema Mwamba huu una nguvu za ajabu Sana na unatumika na Mambo mazito mazito. ( KWA WANAO JUA NGUVU YA GEMSTONES WANAWEZA KUJUA NAZUNGUMZIA KITU GANI HAPA)

Mwamba huu wanasema umetolewa hapa hapa duniani.

MALIGHAFI nyingine ni baadhi ya majani (grassess) kwa mfano nywele za binadamu zime kuwa fashioned kutokana na aina Fulani ya majani ambayo inakulikana kwa members wa Freemasonry walio katika madaraja ya juu pekee.

Hayo ni majani ya aina na viwango tofauti tofauti ndio maana Kuna different hair textures kwa waafrika, wazungu, waarabu etc

Ni majani yenye nguvu Sana na ndio hutumiwa na wachawi wa madaraja ya juu kuwaroga waja kwa kutumia nywele.

Hiyo ni mifano michache ya raw materials zilizo tumika kumtengeneza binadamu.

Kwa hiyo Ialdabaoth aka tengeneza mtu kwa sura na mfano wake. Hata hivyo mtu huyo hakuweza kuwa na roho kwa sababu kwa mujibu wa Freemasonry, Ialdabaoth hakuwa na uwezo wa kuumba roho

However, Ialdabaoth alitambua kwamba amerithi pumzi ya uhai " roho" kutoka kwa mama yake na kwamba anaweza kutransmit hiyo pumzi kutoka kwake kwenda katika kiumbe kingine.

So Ialdabaoth akampulizia mtu huyo sehemu ya pumzi yake ambayo ali irithi kutoka kwa mama yake.

Kwa maana nyingine hiyo pumzi aliyopuliziwa binadamu ilikuwa pumzi kutoka kwa Sophia ambae ni mama wa Mungu.
Ialdabaoth hapa alitumika Kama daraja la kupitisha pumzi kutoka kwa Sophia kwenda kwa ADAMU.

Hapo ndipo alipo patikana binadamu.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Ialdabaoth alipata wazo la kumuumba binadamu katika nyakati ya sita.

Siku hiyo Ialdabaoth alipita karibu na bahari na akiwa mahali hapo alipata kutazama kwenye uso wa bahari na kujiona yeye mwenyewe.

Maandiko yao yanasema kwamba Ialdabaoth alipendezwa Sana na.alicho kiona na akadhamiria kwamba ni lazima atengeneze kiumbe chenye sura na taswira yake.

So Ialdabaoth alikipulizia kiumbe hicho pumzi ya uhai ambao aliurithi kutoka kwa mama yake ambae ni Sophia.

So kivuli hicho cha Ialdabaoth baada ya kupuliziwa pumzi kilitokea na kuanza kuishi.

Kiumbe hicho Freemasonry hukiita Divinely Adam au Skyman yani Adamu wa Mbinguni.

Kiumbe hicho kiliishi na kutawala pamoja na Ialdabaoth huko juu Mbinguni kwenye makao makuu ya Ufalme " Throne" wa Ialdabaoth.

( Dhana hii inafanana na mafundisho ya baadhi ya dini kwa mfano baadhi ya madhehebu ya kikristo na waislamu Wana amini kwamba bustani ya Edeni ilikuwa Mbinguni na kwamba Adamu alishushwa duniani baada ya kumuasi Muumba wake )

KIUMBE KINAMUHASI IALDABAOTH

Kwa sababu kiumbe hiki kilikuwa na sura na taswira ya Ialdabaoth, nguvu zake zilikuwa sawa sawa na nguvu za Muumba wake. Baada ya kujitambua kiumbe hiki kilimuasi Muumba wake kwa kutokutii Tena amri za Muumba wake kwa sababu kilijiona kipo sawa sawa na Muumba wake.

Jambo Hili lilimkasirisha sana Ialdabaoth na akaapa kukiteketeza kiumbe hicho.

SOPHIA ANAINGILIA KATI MPANGO WA IALDABAOTH KUKITEKETEZA KIUMBE CHAKE

Hata hivyo Sophia baada ya kuditect kwamba Ialdabaoth anataka kummaliza ADAMU WA MBINGUNI, ANAINGILIA KATI na kumkinga ADAMU WA MBINGUNI dhidi ya MPANGO wa Muumba wake.

Sophia alifanya hivyo kwa sababu ADAMU WA MBINGUNI alikuwa na pumzi ya uhai ambao unatoka kwake Sophia. Roho ya ADAMU WA MBINGUNI ilikuwa direct connected na Sophia mwenyewe. PILI ADAMU wa Mbinguni hakuwa na kosa lolote . Na Sophia alikuwa Mungu wa Upendo.

Sophia hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinateketezwa.

Ialdabaoth alipojaribu kumteketeza Adamu wa Mbinguni alishindwa kwa sababu kiumbe huyu alikuwa amebeba pumzi ya uhai kutoka kwa Sophia .

In addition to that, Sophia alisimama na Adamu wa Mbinguni.

So baada ya kugundua kwamba Hana mamlaka ya kumteketeza Adamu wa Mbinguni na kwamba Sophia alikuwa ana mkingia kifua Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth alipatwa na dhadhabu kuu...

Taswira ya ghadhabu ya Ialdabaoth ilifika Hadi duniani baharini na kuwa reflected kwenye bahari.

Taswira hiyo ya ghadhabu ikawa trapped kwenye bahari na kutokea kiumbe kilicho jitegemea ambacho kuliitwa Lucifer ambae ndio huyu mnamuita shetani. Kiumbe hiki kiliweka Makazi yake katika sehemu ya dunia chini ya bahari ambayo Ninyi mnaiita kuzimu.

Umbali kutoka duniani na kuzimu ni.kilometa sifuri.

Maana yake ni kwamba umbali wa kutoka hapo ulipo Hadi kuzimu ni kilo meta sifuri.

MUNGU IALDABAOTH ANAMSHUSHA DUNIANI ADAMU WA MBINGUNI..

Baada ya kuona kwamba hawezi kumteketeza Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth anaamua kumshusha duniani.

Kwa sababu wakati ana fashion ulimwengu wa vitu " material world" , Ialdabaoth alifashion pia kanuni za asili za ku uguide ulimwengu wa vitu/ nyama ambazo zilikuwa zina m-bind Hadi yeye mwenyewe ( ZILIKUWA ZINA MBIND HADI YEYE MWENYEWE KWA SABABU NAZO PIA ALIZI COPY KUTOKA ULIMWENGU WA ROHONI AMBAKO NDIKO ASILI YAKE ) ilikuwa ni lazima Ialdabaoth atengeneze mwili kwa kutumia raw materials za hapa hapa duniani

So baada ya kuumba mwili Ialdabaoth alimchukua Adamu wa Mbinguni ( ambae alikuwa ni roho Kama malaika ) na kuupulizia mwili alio ubumba.

Hapo ndipo Adamu wa duniani alipo patikana.

LENGO LA KUMUUMBA ADAMU WA DUNIANI

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Lengo la Ialdabaoth kumuumba Adamu wa duniani ilikuwa ni kumuweka mbali na Ufalme wake .

So Kama nimewaelewa vizuri Freemasonry hapa Wana maanisha kwamba, Adamu aliletwa duniani ili asilete usumbufu kwenye Ufalme wa Mungu huko Mbinguni ( ni Kama madikteta wa Afrika wanavyo wapiga ubalozi wa nchi za mbali watu WANAO onekana threat kwao)

Mwili wa duniani ulitumika Kama gereza la kumfunga Adamu wa Mbinguni na kumsahaulisha asili yake na uwezo wake..

Adamu angeishi miaka yake yote bila KUJUA nini kilitokea Mbinguni.

Akiwa duniani Adamu alikuwa "bribed " kwa kupewa Ufalme wa duniani na mamlaka ya kutawala vitu vyote. Yote hiyo ni kumsahaulisha asili yake...

Pamoja na kwamba Adamu alikuwa roho ya Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High) iliyokuwa Trapped kwenye mwili lakini hakuwa anajua kinacho endelea katika maisha yake ya ROHONI licha ya kupewa ujuzi wa Mambo yote ya mwilini. Ndio maana Adamu alikuwa uchi wa mnyama sawa na wanyama lakini alikuwa hajui Kama Upo uchi. Alijiona yupo sawa na wanyama alio kuwa anawatawala.

SOPHIA ANAINGILIA KATI KWA MARA YA PILI

SOPHIA = NDIE ALIE UMBA ROHO YA ADAMU.

IALDABAOTH = HAKUUMBA ROHO ILA ALIUMBA MWILI. YEYE PIA ALIZALIWA NA SOPHIA AKIWA NA ROHO AMA PUMZI YA UHAI KUTOKA KWA SOPHIA NA NDIO HIYO HIYO ALIMPULIZIA ADAMU..

Haya twende Kazi.

Sophia baada ya kugundua mchezo alio fanyiwa Adamu bado hakupendezwa na suala la roho inayotoka kwake kufungwa kwenye mwili wa kiumbe wa nyama na kunyimwa utashi wa kiungu ambao ungekifanya kiumbe hicho kufurahia maisha ya kiungu hapa duniani. So ana amua kukikomboa kiumbe hicho kutoka kwenye kutokujitambua..

Ikumbukwe kuwa Ialdabaoth baada ya kumuumba Adamu alimpa masharti kadha wa kadha Kama vile kutokutumia baadhi ya miti... Kumbe miti aliyo katazwa kutumia ndio ilikuwa na nguvu na uwezo wa kumfungua minyororo aliyo fungwa ..

Sophia anakuja mwenyewe duniani kwa umbo la nyoka kwa ajili ya kumfungua Adamu

Kupitia nyoka huyo Sophia anamletea Adamu ujumbe kwamba, Muumba wako hataki ule tunda la mti huo kwa sababu anajua ukifanya hivyo utakuwa Kama yeye.

Ndio maana baada ya Adam Kula tunda la.mti ule wa KUJUA mema na mabaya, Ialdabaoth anasema katika.kitabu Cha MWANZO 3:22 " TAZAMA MTU HUYU AMEKUWA KAMA MMOJA WETU NA SASA ASIJE AKANYOOSHA MKONO WAKE JUU AKALA TUNDA LA MTI WA UZIMA AKAISHI MILELE"

Kwa mujibu wa Freemasonry, Hinduism etc nyoka ni kiumbe mtakatifu.

Hata katika dini za kiyahudi Nyoka ni muungu. Soma vizuri habari ya Mussa na Wana wa Israel pale Ialdabaoth mwenyewe alipo waambia Wana wa Israel wachonge sanamu ya nyoka na kuisujudu na walipo fanya hivyo wakapona. ( Kwa mujibu wa Freemasonry, hapo Ialdabaoth mwenyewe aliamua kuwa link up Wana wa Israel na Mungu mkuu mwenyewe ( God the Most High ) ambae ndie ALIUMBA roho zao.

Hata katika Ukristo nyoka ni mnyama mtakarifu .Or is it not in ur Bible where Jesus is telling his Desciples " IWENI WAPOLE KAMA HUA NA WEREVU KAMA NYOKA" ?

Wanasema Alama ya Nyoka ni Alama ya Mungu Mkuu " God the Most High".

Yesu anapo waambia kuweni WEREVU kama nyoka ana maanisha kuweni na hekima Kama Sophia . Sophia hujulikana pia Kama Mama wa Hekima" .
NI nyoka huyu huyu ndio aliekuja kumkomboa Binadamu.

Lengo la Ialdabaoth halikuwa Binadamu kujitambua.

Freemasonry Wana amini kwamba, malaika wa Mungu mkuu kabisa wanaishi katika Constellations ambazo ukiziunganishan zina umbo Kama la nyoka na zinaa jongea Kama nyoka.

Snake is a very very powerful being. Yapo maajabu 40 ya kiroho ya Nyoka ambayo yatakustaajabisha Sana ( this will be a topic for another day ).

BAADA YA ADAMU WA DUNIANI KUMUASI MUUMBA WAKE.

IALDABAOTH anashuka duniani,kinyume na alivyo panga kwamba Adamu asijitambue yeye ni Nani, anamkuta Adamu anae jitambua .

Ialdabaoth ana amua kuachia laana kwa ADAMU na uzao wake wote .

SOPHIA HAPENDEZWI NA UAMUZI WA IALDABAOTH KUTOA LAANA KWA ADAMU NA UZAO WAKE.

Kwa sababu hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinawekwa chini ya laana, Sophia anaamua kuja kukikomboa kiumbe hicho kwa Mara nyingine.

Tatizo linakuja Sophia yeye yupo katika roho tu na sio katika mwili. Na mwanadamu ni roho iliyo fungwa kwenye mwili lakini haijitambui Kama ni roho. " IF TWO QUALITIES CANNOT MEET IN SUBSTANCE, THEY CAN BE BROUGHT TOGETHER ONLY BY EXTENSION"

SO Ili mission yake ikamilike lazima awe katika ulimwengu wa nyama. Na ili mission yake ikamilike Kazi lazima ifanywe na mtoto wake wa KWANZA ambae aliitwa CHRISTOS. Huyu Christos aliishi Mbinguni pamoja na SOPHIA & AEON na.ndio alikuwa mtoto wa pekee wa SOPHIA na AEON. Hawa ndio waliunda utatu mtakatifu yani MUNGU BABA = AEON, MUNGU MWANA = CHRISTOS na MUNGU ROHO MTAKATIFU = SOPHIA.

So Sophia ana re incarnated duniani in the person of MARY THE VIRGIN ( wakatoliki wanavyo komaaga na Bikira Maria msiwaone wamepotea. According to Freemasonry Bikira Maria was the re incarnation of the Holy Spirit of God the Most High.. wao wenyewe wana conjuration zao kuhusu Mary the mother of Jesus ambazo zipo very very powerful... Hii habari ya watoto wa Fatima ni ukweli na Rozary Ina nguvu kweli..

Ndio maana waislamu bila KUJUA , wamempa Hadi sura kwenye kitabu Chao kitakatifu " SURATUL MARIAM". NA SURATUL MARIAM NI MOJA LATI YA SURA ZENYE NGUVU ZA AJABU SANA. KWA MUISLAMU WA KAWAIDA UKIMUULIZA SURA GANI YENYE NGUVU KATIKA.QUR'AAN ATAKWAMBIA " SURATUL YASSIN" BUT AMINI NAKWAMBIA. SURATUL MARIAM IS SOMETHING ELSE. WEKA MAZOEA YA KUWA UNA RECITE SURATUL MARIAM KWA WINGI KILA SIKU USIKU. U WILL THANK ME LATER.)

So Sophia Re incarnated as Mary the Mother Jesus and gave birth to his son CHRISTOS who re incaranate as JESUS.

Huko Mbinguni CHRISTOS ndio aliepewa Kazi ya kufanya uumbaji wa vitu vyote katika ulimwengu wa roho.. hakuna chochote katika ulimwengu wa roho ambacho kiliweza kuwako pasipo huyo Christo.

( IALDABAUTH YEYE ALIUMBA ULIMWENGU WA NYAMA YANI MATERIAL WORLD/ ULIMWENGU WA VITU VINAVYO ONEKANA)

Ndio maana Yesu alisema UFALME WAKE SIO UFALME WA DUNIANI, UFALME WAKE NI WA MBINGUNI.

HAPO ALIMAANISHA LWAMBA YEYE UFALME WAKE SIO UFALME WA MATERIAL WORLD BALI UFALME WA SPIRITUAL WORLD.

ACCORDING TO FREEMASONRY, WHAT WAS THE REAL MISSION OF CHRIST TO THE WORLD. DID HE COME TO DIE FOR OUR SINS?
Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Hell No. Yesu hakuja duniani kwa ajili ya kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu.

Wanasema Yesu alikuja duniani kwa ajili ya kutusanua. Yani kutukumbusha asili yetu kwamba sisi ni Roho kwa Mungu Mkuu Kabisa " God the Most High" na kwamba hapa duniani sio kwetu. Roho zetu zimefungwa kwenye miili ya nyama na damu ili kutusahaulisha kule tunatoka. Kwamba sisi si sawa na N'gombe, Simba nakadhalika.

ANOTHER MISSION OF CHRIST JESUS WAS TO PERMANENTLY DELETE FROM OUR DNAs , INFORMATION ABOUT PHYSICAL DEATH OF WHICH HE FIRST DID TO HIMSELF WHEN HE BEAT THE PHYSICAL DEATH BY RESURRECTION.

(They if u truly blv in Christ Jesus about his real mission to human race u will for sure not die)

Ili tuweze kurudi kwenye asili yetu lazima tuishinde miili yetu kwa maana matendo ya miili yetu yanaweza kuchafua roho zetu na roho zilizo chafua haziwezi kupokelewa Mbinguni. Ukifa na roho yenye dhambi utazaliwa Tena duniani mpaka hapo utakapo jitambua wewe ni Nani na kutenda matendo yakupasayo ili ukifa uende Mbinguni.

Unaweza kuushinda mwili na Mambo ya duniani kwa kufuata amri kuu mpya aliyo itoa Yesu ambayo ni upendo...

Mafundisho ya Yesu yalikuwa ya kipekee Sana na yalikuwa tofauti na mafundisho ya manabii walio pita

Ukiyatazama vizuri mafundisho ya Yesu utagundua kwamba Mungu wa Agano la kale ( Ialdabaoth) na Mungu wa Agano jipya (Sophia/ Aeon) ni miungu wawili tofauti ambao walikuwa na mission mbili tofauti

Mungu wa Agano la kale alikuwa Mungu wa Haki (Just God/ Sharia/ jino kwa jino)

Mungu wa Agano jipya ni MUNGU WA UPENDO NA AMANI.

Infact Masonry wanasema Ialdabaoth anajua kwamba uwezekano wa Binadamu kumjua Mungu wao halisi ( Sophia/Aeon) NI mkubwa ndio maana aliwaambia " MIMI NDIMI BWANA MUNGU WAKO USIABUDU MIUNGU WENGINE)

BAADA YA MAFUNDISHO YA KRISTO YESU KUHUSU UFALME WA MUNGU KUSAMBAA, IALDABAOTH ANAAGIZA WATU WAKE WAMUUE YESU KWA SABABU ALIJUA KWAMBA KAMA YESU ANGE ACHWA HAI BASI ANGEIBADILISHA DUNIA YOTE NA KUWAFANYA WATU WOTE KUJITAMBUA WAO ASILI YAO NI WAPI.

Mafundisho Kama vile : Mimi na Mungu tu kitu kimoja.. watakao amini jina langu watafanyika kuwa Wana wa Mungu Alie juu Mbinguni. Kwamba mkiaminj mnaweza kufanya kuliko Yale niliyo yafanya Mimi Kama vile kufufuka.etc yalimkera Ialdabaoth kwa kuona watu alio waweka mateka Sasa wanaenda kufunguliwa.

( Siku zote Ialdabaoth hataki Binadamu kujitambua wao NI kina Nani. Ndio maana wakati wa Mnara wa Babeli aliwatawanyisha. Ule haukuwa Mnara Kama Mnara Bali watu walikutana na kuunganisha maarifa yao ili wawe na uwezo Kama wa Ialdabaoth na Ialdabaoth aliona wanaelekea kufanikiwa ndio maana akawatawanyisha.. na hii ndio sababu kina dini na madhehebu mengi duniani. Lengo ni kuwafanya wanadamu msiwe na umoja ili msije kujua asili yenu na hatimaye kujua uwezo wenu )

Baada ya mwili wa Yesu kuachana na Roho yake alienda kuzimu zilikokuwa zinashikiliwa roho za watu walio kufa duniani wakiwa hawajitambui wao NI kina Nani na kuzihubiria habari za ukweli kuhusu asili yao.

Yesu anarejea duniani Kama ishara ya kuwaambia wanadamu kwamba hata wao WANAWEZA kukishinda kifo Kama alivyo kishinda yeye.

Then anapaa Mbinguni

ITAENDELEA...

Coming next: kwanini ibada za mizimu zina nguvu Sana? Majibu Yana uhusiano na habari ya asili ya roho ya mwanadamu

2. Kwanini ahlul badr Ina nguvu Sana? Majibu yanahusiana na nguvu ya ibada ya mizimu


UPDATE: UFAFANUZI KUHUSU SUALA LA KIVULI CHA SOPHIA KUWA REFLECTED & TRAPPED KWENYE ENEO LA UTUKUFU WA CHINI NA HATIMAYE KUTOKEA IALDABAOTH..

Baadhi ya watu hawajaelewa kipengele hiki, ngoja niki break down kwa lugha nyepesi na mifano rahisi.

Ni hivi Mungu Sophia ambae ni sehemu ya kike ya DUALITY ya uungu ( SOPHIA & AEON ) , bila ridhaa wala ruhusu ya sehemu yake ya kiume ( AEON ) alipita katika eneo lenye utukufu wa chini . Akiwa katika eneo hilo la utukufu wa chini, kivuli chake kikawa reflected mahali hapo na alama za kivuli chake zikawa trapped katika eneo hilo na matokeo yake akatokea IALDAAOTH.

Mfano wake ni kama huu. Mungu ashuke juu mbinguni aje duniani, akiwa duniani, akanyage juu ya jiwe, kwenye jiwe hilo zibaki alama za nyayo za Mwenyezi Mungu, kisha juu ya alama hizo za nyayo za Mungu kitokee kiumbe.

Au Mungu ashuke duniani, halafu kivuli chake kiakisiwe ( kiwe reflected ) kwenye ardhi ya dunia. Kwa sababu ya nguvu za kiungu za Mungu, kivuli cha Mungu kiwe trapped kwenye ardhi ya duniani na mwisho wa siku hicho kivuli kibadilike kiwe kiumbe.

Au wewe binadamu upite karibu na mto au ziwa , kivuli chako kiwe reflected kwenye mto huo au ziwa hilo, halafu kwa sababu labda una nguvu fulani za ziada kile kivuli chako kigeuke na kuwa kiumbe hai...


Mfano wa chini kabisa : Hujawahi kusikia mtu kaenda sehemu fulani kufanya tukio la uhalifu , akaacha alama za vidole vyake kwa kushika kifaa katika eneo hilo halafu baadae wataalamu wa mambo ya forensic waka trace alama za vidole za mtu huyo na mwisho wa siku wakamkamata mtu huyo? Kama wewe binadamu kwa sababu ya nguvu kidogo ulizo nazo, unaweza kupita sehemu ukaacha alama zako za vidole, vipi kuhusu Mungu Sophia ?


UFAFANUZI ZAIDI.

Baada ya kiumbe hicho ( IALDABAOUTH ) kupatikana stillbado kilikuwa attached na Mungu Sophia kupitia kitu kinaitwa Electrol Chords ama kamba za moto ambazo ni Electro Magnetic by nature. Maana yake ni kwamba Mungu Sophia ange co-exist na kiumbe hiki kipya, kiumbe kilicho zaliwa ama patikana kinyume na mipango ya MUNGU MKUU KABISA ( GOD THE MOST HIGH ambae anaundwa na MUNGU SOPHIA (KE) na MUNGU AEON(ME)

Kwa sababu hiyo basi Mungu Sophia aliamua kuki -detach ( kukikiondoa kiumbe/kivuli hicho kwenye sehemu yake ) na kukitupa mahali pengine ambako ni mbali kabisa na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High )

KWANINI HAKUKIUA ? KWA SABABU MUNGU SOPHIA NI MUNGU WA UPENDO.

Hakukitupa hivi hivi, alikitengenezea THRONE ( Ufalme wake ). So wakati anakitupa kiumbe hicho kwenye space ya mbali alikitupa kikiwa na afalme wake.


MAISHA YA IALDABAOTH BAADA YA KUTUPWA KWENYE SPACE ( UFALME WAKE )

IALDABAOTH anajikuta tayari yupo kwenye ufalme wake akiwa na uwezo mkubwa sana ambao hajui umetoka wapi wala yeye mwenyewe hajui ametoka wapi. ( HII NDIO SABABU KATIKA BAADHI YA DINI, IALDABAOTH ana nukuliwa akisema " MIMI SIJAZAA WALA SIJAZALIWA . WALA SIJAUMBWA, SINA MWANZO WALA SINA MWISHO) sababu hasa ya yeye kusema hivyo ni hii.

KWANINI IALDABAOTH ANASEMA HAKUZALIWA WALA HAKUUMBWA ( KWA MUJIBU WA MAFUNDISHO YA FREE MASONRY )

Sababu ni kwamba, baada ya yeye kuzaliwa/kutokea, mama yake ( Mungu Sophia ) alimtengenezea ufalme, akampa nguvu kubwa za kiungu kisha akaenda kumtupa katika anga la mbali sana na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High ) na kisha kuvunja connection nae. IALDABAOTH anajitambua tayari akiwa na nguvu na uwezo wa kufanya mambo makubwa, ambayo ana amini kwamba hakuna awezae kufanya mambo makubwa kama yeye isipokuwa yeye mwenyewe.

MFANO WA KIBINADAMU : Yani ni sawa na mke wa mtu achepuke mahali wakati mumewe yupo safarini kisha apate ujauzito then azaliwe mtoto. Katika kukwepa fedheha ya kupata mtoto nje ya ndoa, mama huyo baada ya mtoto huyo kuzaliwa, amchukue mtoto huyo lets say kutoka Tanzania kisha ampeleke AUSTRALIA na ampe, nguvu na ufalme( mali n.k ) na kuvunja nae connection. Mtoto akikua anaweza asijue mahali anapotoka.

So Freemasons wanasema kwamba, IALDABAOTH ndio baba wa ATHEISM kwa sababu yeye mwenyewe hakubali wala haamini kama amezaliwa au ameumbwa au anatokana na kitu chenye nguvu kuliko yeye.. Uliwahi kujiuliza kwa nini Rapper Jay Z hujiita Young Hova) ( Hova = Jehova )

Binadamu wana maswali mengi sana ambayo hayana majibu yake. Wengi hawajui wametoka wapi, kwanini wapo hapa duniani, wakifa wataenda wapi, uovu umetoka wapi, kwanini kuna mateso na matatizo duniani n.k, kupitia mfululizo wa makala haya tutayajibu yote hayo kulingana na mafundisho ya freemasonry )



Baadae nitaendelea na SEHEMU YA PILI NA KUENDELEA NA KILA SEHEMU ITAKUWA NA PAGE YAKE.

Last emperor Babyzuh let the caged bird sings Msanii fearlessfighter JOHNGERVAS Ramo Lucky Star sala na kazi Mzee Wa Tairi @




View attachment 1827652

Lete muendelezo
 
Mungu mbona harudi km alivo agiza? miaka mingapi leo tunapigika!?.......Lkn Shetani simwanae???........sasa inakuwaje wewe ka-mwanadamu uliyeumbwa kwa dongo, mla vihepe!! umchukie mtoto wa Boss wako??

tena basi wale Shetani na Mungu!! wanapiga story sana mpaka leo! si uankumbuka kisa cha Ayubu???!! na huyo shetani anaijua hiyo biblia balaa!!!........sasa weye kajamba nani unamponda mtu na babae?? tenawaliwahi ishi nyumba moja? una akili kweli???

hivi nani anatamani mwanae ambae ni kibaka, changu doa! jambazi auawe? hata kaka yako tu hupendi!! sasa km weye mwanadamu uko ivo Mungu je?...si ni huruma zaidi??? mara ngapi umeiba mboga. kalamu shuleni, vitabu vya shule lkn Mungu amekusamehe???

still weye mwizi unatamani devil afe !! ! mweee!
 
Source ya content na madini ni wapi yaani umetufungua macho.Tumedanganjwa sana. Freemasonry sio watu wabaya sana
Tumelishwa matango pori.Alafu Mungu wa Israel nae afya kuabudiliwa. Nae Mungu Roho mtakatifu
 
Back
Top Bottom