Mjue Mungu wa Freemasonry

Mjue Mungu wa Freemasonry

Kama hawatangazi wewe na wengine wameijuaje? Pia wao hufaidika nini wasipoitangaza?
Wana hodhi the real power. Wana amini wao ndio Wana maarifa sahihi " True knowledge" and according to them the true knowledge will help u to acquire 3 things and 3 things only:

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power.


Haya maarifa waliyo rahusu watu WENGINE wayapate ni kivuli tu " mere shadow" Cha maarifa yenyewe...

Wao ndio Wana hodhi maarifa sahihi ambayo ndio hayo memba akiyafahamu halafu akatoa Siri anauwawa

So hawataki laymen wajue kuhusu Siri cause they want to protect their power
 
9
Wana hodhi the real power. Wana amini wao ndio Wana maarifa sahihi " True knowledge" and according to them the true knowledge will help u to acquire 3 things and 3 things only:

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power.


Haya maarifa waliyo rahusu watu WENGINE wayapate ni kivuli tu " mere shadow" Cha maarifa yenyewe...

Wao ndio Wana hodhi maarifa sahihi ambayo ndio hayo memba akiyafahamu halafu akatoa Siri anauwawa

So hawataki laymen wajue kuhusu Siri cause they want to protect their power
now that's selfish na ina contradict wanachokiamini,huyo the most high wanayemuamin especialy the feminine part ambaye ni sophia kama ulivyosema yeye ni full of love,sasa hapo where is the love?
 
9

now that's selfish na ina contradict wanachokiamini,huyo the most high wanayemuamin especialy the feminine part ambaye ni sophia kama ulivyosema yeye ni full of love,sasa hapo where is the loveTatizo ati
Kwa habari ya uselfish, Tatizo halipo kwa AinSoph. Tatizo lipo kwao... Ain Soph ni Mwanga Mkuu " The Great and Ineaffable Light" Tabia/sifa za Mwanga/NURU unazijua?
9

now that's selfish na ina contradict wanachokiamini,huyo the most high wanayemuamin especialy the feminine part ambaye ni sophia kama ulivyosema yeye ni full of love,sasa hapo where is the love?
 
Dini ya kiislamu ilianzishwa na Vatican.
Kweli mkuu, upapa wa Rumi ndiyo ulibuni na kuianzisha dini hii, kama vile ambavyo wazo la kuianzisha BAKWATA lilivyoasisiwa na ukatoliki hapa nchini.

Ufunuo wa Yohana 13:2
"Mnyama huyu alionekana kama chui, miguu yake ilikuwa kama ya dubu. Mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Joka akampa huyo mnyama uweza wake"

Mfumo wa kidini utakaoenda kuuanzisha utawala wa mpinga Kristo utarasimiwa na Vatican kwa kupitia usimamizi wa mafundisho ya dini ya Kiislamu (miguu ya dubu yenye asili ya Umedi na Uajemi), mafundisho ya dini za kipagani (mdomo wa Simba unenavyo kama imani ya utawala wa Babeli) muonekano ukiwa mfano wa chui (mfumo wa kidini za Kizungu ndani ya falsafa, sera na theolojia za Kiyunani) ili kutoa mamlaka ya mtu kuchukua mamlaka ya kiroho ya kimungu (mfano wa utawala wa kipapa) kiongozi wa kiroho apate kuabudiwa chini ya kivuli cha ibilisi (joka).
 
Unaingia kisha unatoka, uweleweki yani unachanganya mno madesa, sasa ngoja nikuelezee kwa hii story yako utaokota wasioijua Bible tu ila kwa wanaojua maandiko uwapati ng'o kwa sababu kuna sehemu aueleweki, na kwa stahili hii Freemasons wamepotea ila nimefurahi kumtambua masihi mwanamume wa wanaume huyo ndio habari ya ulimwengu, na ukiwaona hao madeval warship waambie Yesu ndie njia kweli na uzima....

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
yeah ukisoma vizur nimeainisha tatizo liko kwao,ndo nkahoji mbna wanaenda kinyume na Mungu wao?

Mkuu hujaelezea hawa alitokeaje kwa mujibu hiyo dini.
Na adamu baada ya kutupwa duniani alikua peke yake au alikua na Hawa.??
Umesema Hawa alikua mtoto wa Adam, Adamu si wa kiume alimzaaje Hawa sasa??
Leo saa tatu usiku Hadi saa tano nitatoa maelezo ambayo yatatoa majibu yako yote
 
Unaingia kisha unatoka, uweleweki yani unachanganya mno madesa, sasa ngoja nikuelezee kwa hii story yako utaokota wasioijua Bible tu ila kwa wanaojua maandiko uwapati ng'o kwa sababu kuna sehemu aueleweki, na kwa stahili hii Freemasons wamepotea ila nimefurahi kumtambua masihi mwanamume wa wanaume huyo ndio habari ya ulimwengu, na ukiwaona hao madeval warship waambie Yesu ndie njia kweli na uzima....

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ur still a learner
 
Back
Top Bottom