Lameck Masanja
Senior Member
- Aug 5, 2011
- 154
- 238
Daaaah. Nimepata shida sana ya kifikra hapo Ialdabaoth alipomlaani nyoka pale Eden. Kimsingi alimlaani mama yake, na mpaka leo laana ile inaishi kwa sababu mama yake hadi leo anatembelea tumbo na kula mavumbi. So sad
Lakini pia Ialdabaoth aliweka uadui kati ya nyoka na Eva. Kwa sababu Eva ni reincarnation ya Sophia, hivyo Ialdabaoth aliweka uadui kati ya Sophia na Sophia, yaani kati ya mama yake na mama yake!
Balaa sana.
Lakini pia Ialdabaoth aliweka uadui kati ya nyoka na Eva. Kwa sababu Eva ni reincarnation ya Sophia, hivyo Ialdabaoth aliweka uadui kati ya Sophia na Sophia, yaani kati ya mama yake na mama yake!
Balaa sana.
