MJUE Lowasa

Mkapa aliwaita watu kama nyie: wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo.

Huyo Lowassa kama ana hizo nguvu angeacha kujiuzulu uwaziri mkuu!!

Mlishaambiwa Richmond ni nani! Ila hamtaki sasa tuwafanyeje enyi wadanganyika?

Ndo maana nawaambiaga Chadema hata wafanyeje kwa wapiga kura kama mwanzisha mada na muunga mkono! Kamwe hawaingii ikulu.

Maanani ni mbilikimo wa mawazo na wavivu wa kufikiri.
 
Mkapa aliwaita watu kama nyie: wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo.

Huyo Lowassa kama ana hizo nguvu angeacha kujiuzulu uwaziri mkuu!!

Mlishaambiwa Richmond ni nani! Ila hamtaki sasa tuwafanyeje enyi wadanganyika?

Ndo maana nawaambiaga Chadema hata wafanyeje kwa wapiga kura kama mwanzisha mada na muunga mkono! Kamwe hawaingii ikulu.

Maanani ni mbilikimo wa mawazo na wavivu wa kufikiri.
Hebu nisaidie Ikulu kwako unaielewaje?.Maana naona mawazo yako yote yako IKULU.
 
Kila jaamii huongozwa na yule ambae yuko best kwa yale ambayo jamii husika huyafanya...

jamii ya waadilifu huongozwa na muadilifu kuliko wote

jamii ya wezi huongozwa na mwizi kuliko wote

jamaa ya majambazi na watoa rushwa..huongozwa na the best among them.....

Nimecheka sana lakini mwisho nikagundua nimecheka kilofa!!!
 
Kila jaamii huongozwa na yule ambae yuko best kwa yale ambayo jamii husika huyafanya...

jamii ya waadilifu huongozwa na muadilifu kuliko wote

jamii ya wezi huongozwa na mwizi kuliko wote

jamaa ya majambazi na watoa rushwa..huongozwa na the best among them.....



Umetisha Boss.
 
Sio mdini.

lowasa_monduli_na_waislamu_p1_560_416_c1.jpg

Ni mtu hatari sana kwa kusambaza hela chafu kwa ukristo na uislamu kwa ajili ya kuupata urais. Watch his steps!
 
masuala magumu tunayatolea majibu mepesi sana,watanzania ni waoga sana kutoa ushaidi mbele ya mahakama kama kweli lowassa ni fisadi peleka ushaidi wako mahakamani.yale yalikuwa ni masuala ya kibunge yaliamuliwa kibunge na yeye mwenyewe kujiuzulu wadhifa wake sasa hii habari kila siku ya fisadi inatoka wapi? Ni vema tukawaambia wale waliomtuhumu wapeleke vielelezo hiyvo mahakamani,kitu ambacho ni kinyume taratibu kwa mujibu wa katiba juu ya mihimili hii.sioni sababu yoyote ya sisi ambao hatuna ushaidi wowote kulizungumzia suala hili kwani ni hatari sana.kingine ni kuwa kama haumfahamu mtu vizuri si vema kumzumgumzia maana utajaa sumu bure na kuzeeka mapema.

Hongera kwa kumsafisha. Lakini hata utumie vim hawezi kutakata.
 
..... Umeleta mada ambayo inaonyesha chuki binafsi yako binafsi na Mh. EL, ki msingi kila mtu ana uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa hii inamaanisha anatumia haki yake kama M TZ, isitoshe nyinyi ambao mko safi jitokezeni mgombee watanzania watakuwa na uamuzi wa nini kifanyike,.... na kama atashinda hajichagui yeye mwenyewe bali.....wananchi wapiga kura ndio wanaochagua...... swala la kujiandaa kwa ajili ya kugombea urais ni la mapema... kama anajipanga kwa kutumia rushwa ..... jamani si takukuru wapo? kwani kazi ya takukuru ni nini... mi nasema Mh. EL aendelee na mikakati yake ya kujipanga..... na kama mwanasiasa mkomavu hataogopa manene kwani hata kwenye kanga yapo...........
 
We Pilau acha kudandia hoja zawenzako wewe humfahamu huyo fisadi,tena sitaki hata kusikia habari zake mamvi aende zake Monduli,naongezea sifa nyingine ni mwizi wa ng'ombe wamasai wanalijua hilo waulize tu.Unaongelea takukuru ambayo alikwisha ilambisha mikwanja.Achahako kazee kazeeke vibaya,Eti mbunge asiyechangia Vicoba anyimwe kura jimboni kwake,Je kanajua kila Mbunge kashawaibia wananchi hivyo anamapesa ya bure ya kugawa kila kona ya mguu.Mwacheni yeye aendelee kugawa siku zikiisha atafyaata.
 
kuwa mmeru siyo issue. hata hivyo wameru-wamasai ni wengi mno. nenda arusha kafanye utafiti. hata hivyo hakuwahi kuuonyesha umeru wake kwa wamasai. wamasai wanalijua umeru-wake na wala siyo issue kwao kwa vile alichowasidia wamasai huko kwao kinatambulika. hata hivyo wameru na wamasi wanakaribiana.
 
The Boss umenena vyema,
tatizo la nchi yetu ni kubwa sana kwasababu ni la kimfumo.


Tunahitaji kiongozi wa aina yake, anaichukizwa na uchafu wa rushwa, uzembe, udini, uzinzi, ulevi na ukosefu wa maadili uliojaa ktk jamii.


Kiongozi msafi kwa matendo yake na asiehusika kwa vyovyote na uchafu huo ili awe na ujasiri wa kuukemea na kupambana nao.

Baada ya Mwl.Nyerere..., hajatokea, hayupo na wala hatotekea mwenye sifa izo ndani ya Nchi hii ya Tanzania labda ashuke Malaika kuingoza.!!!
 
ukiwa na chaguo lako kichwani la mgombea urais na ukataka watu wamuunge mkono hakika EL atakunyima usingizi na atakutia baridi utabaki unatunga ngonjera za uongo na kujifurahisha nafsi. EL songa mbele timiza malengo yako.
 
Mbona mazuri yake hujayaweka hapa. Ni waziri mkuu pekee aliyewahi kufanya maamuzi yanayoonekana kufanywa na kiongozi wa nchi. Big up EL!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom