Hebu nisaidie Ikulu kwako unaielewaje?.Maana naona mawazo yako yote yako IKULU.Mkapa aliwaita watu kama nyie: wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo.
Huyo Lowassa kama ana hizo nguvu angeacha kujiuzulu uwaziri mkuu!!
Mlishaambiwa Richmond ni nani! Ila hamtaki sasa tuwafanyeje enyi wadanganyika?
Ndo maana nawaambiaga Chadema hata wafanyeje kwa wapiga kura kama mwanzisha mada na muunga mkono! Kamwe hawaingii ikulu.
Maanani ni mbilikimo wa mawazo na wavivu wa kufikiri.
Kila jaamii huongozwa na yule ambae yuko best kwa yale ambayo jamii husika huyafanya...
jamii ya waadilifu huongozwa na muadilifu kuliko wote
jamii ya wezi huongozwa na mwizi kuliko wote
jamaa ya majambazi na watoa rushwa..huongozwa na the best among them.....
Kila jaamii huongozwa na yule ambae yuko best kwa yale ambayo jamii husika huyafanya...
jamii ya waadilifu huongozwa na muadilifu kuliko wote
jamii ya wezi huongozwa na mwizi kuliko wote
jamaa ya majambazi na watoa rushwa..huongozwa na the best among them.....
Sio mdini.
masuala magumu tunayatolea majibu mepesi sana,watanzania ni waoga sana kutoa ushaidi mbele ya mahakama kama kweli lowassa ni fisadi peleka ushaidi wako mahakamani.yale yalikuwa ni masuala ya kibunge yaliamuliwa kibunge na yeye mwenyewe kujiuzulu wadhifa wake sasa hii habari kila siku ya fisadi inatoka wapi? Ni vema tukawaambia wale waliomtuhumu wapeleke vielelezo hiyvo mahakamani,kitu ambacho ni kinyume taratibu kwa mujibu wa katiba juu ya mihimili hii.sioni sababu yoyote ya sisi ambao hatuna ushaidi wowote kulizungumzia suala hili kwani ni hatari sana.kingine ni kuwa kama haumfahamu mtu vizuri si vema kumzumgumzia maana utajaa sumu bure na kuzeeka mapema.
The Boss umenena vyema,
tatizo la nchi yetu ni kubwa sana kwasababu ni la kimfumo.
Tunahitaji kiongozi wa aina yake, anaichukizwa na uchafu wa rushwa, uzembe, udini, uzinzi, ulevi na ukosefu wa maadili uliojaa ktk jamii.
Kiongozi msafi kwa matendo yake na asiehusika kwa vyovyote na uchafu huo ili awe na ujasiri wa kuukemea na kupambana nao.