Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Ila wapwa hawanufaiki....wapo DRC na wanataka kurudi......
Wanaonufaika ni wana ukoo wateule.
 
Okay okay nimekupata mkuu.

Bonge aweke ulinzi imara naona hali ya sasa si shwari kabisa na leo ndio tutaona uhalisia wa wenye nia ovu wakoje japo hili haliwezi kuwa kwa leo pekee ila ujumbe utatumwa.
Kila la kheri mkuu tuko pamoja.
Bonge lubumbashi kamwaga wanajeshi wengi kuliko hata raia jinsi anaogopa
 
Watu wafupi hamumuwezi mjomba ni mafia sana mshaingiziwa king mpaka mawazili wako ndani ya nyumba kulwa
 
Una ushahidi?. Mbona washukiwa wa Prof mwaikusa walikamatwa?. Halafu mtikila alifariki kwa ajali Tena akiwahi interview star tv. Tatizo mnajifanya kujua mambo ya Rwanda wakati ya kwenu humu ndani yanawashinda. Punguzeni unafiki
Kwani kuhusu Prof. Mwaikusa na Rev.Mtikila ni ya kwetu au ya Rwanda? Ni kwavile ya kwetu ndio maana tuna uhakika nayo!!
Kwani hao maharamia hawawezi kustage accident ya gari kufanikisha azma yao?
 
Nahisi siku za mjomba kuishi zimefika mwisho,akifa yatatokea yale ya 1994
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…