Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Tanzania imeizidi karibia kila kitu Rwanda.
 
Ni kweli kama huyo wa ijumaa aliedakwa na familia yake hapapa,nimesikitika sana!katuchafua wakati sisi waswahili ndio tulimlea na kumuingiza hapo alipo!

Kwanini anatudhalilisha aiseh!!?
LIe
 
Mkuu uhuru upi.......wa mjomba kujitawaza mfalme na kuwawinda watu wafupi wasichukue madaraka...
Anyway sishangai......hata Babu yetu.....aliwaambia wabelgiji kua hii nchi ni ya watu warefu.
Mbona unaongea kiuoga jirani?????
Unamuogopa BANGUBANGU???
Hajui alisemalo huyo,muambie siku akivuka rusumo akifika kicukiro tu pale aanze kutaja maovu ya pk kama hajaenda kufia gitarama
 
Na teknolojia imebadilika Mr. Pres
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…