Mjomba akauliza: Jamani Nyumba hii hapaliwi?

Mjomba akauliza: Jamani Nyumba hii hapaliwi?

Siwezi vumilia njaa usiku asee

Ntahesabu mno dakika na masaa
 
Evolution ya watu wa mjini ni kula kula ila volume kiduchu. Bara wao wanatandika msosi kama wako kwenye mashindano ya ndondi.

Ila kumwacha mgeni aondoke kwa sababu ya msosi ni aibu kwa familia!
 
hivi Zinduna anazungumzia chakula gani hasa cha usiku? najaribu kufikiria kwa 3D
 
Last edited by a moderator:
Hiki ndiyo kitu kinachonifanya mm nisiende Dar kwa dada yangu!Wakazi wa Dar chakula chao ni very light na sisi qatubwa Bara hatuwezi vumilia aina hii ya maisha!How come uende kulala baada ya kunywa chai na mkate?Utapata kweli usingizi?

Mm nimezoea kabla ya kulala.niuchape wali na maharagwe na nyama-mwitu ya Digidigi nishushie na home made togwa!

Then kuna ile mboga kinyakyusa tunaiita 'ibheju" yale matembele nilishangaa sana Dar kuwa mboga wakati Kyela huwa ni chakula cha ng'ombe!
 
Hahahaha hata Mimi nisingeweza kukaa hapo!

Lakini kwanini mlimuacha uncle aondoke kisa chakula?
 
Kusema kweli ukanda wa pwani wanapenda kujibana sana hasa kwenye chakula!
 
Kusema kweli ukanda wa pwani wanapenda kujibana sana hasa kwenye chakula!

nikiwa dar kwa ndugu na jamaa huwa mida ya jioni najitokea zangu naingia kitaaa ...nashindila zangu nikirudi home ni kujazia mashimo tu...maana msosi huwa wa kiaina sana
 
uncle aliogopa performance itashuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom