MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Tangu mji wa Foco ulipoanzishwa karne ya 6, na baaadaye kulibadilisha badilisha hadi kubakia F*cking, sasa wakazi mji wa wakazi huo wameamua kubadilisha jina.
Hivi karibuni jina la mji huo limekuwa kivutio upande mmoja na matusi kwa upande wa pili, kiasi wakazi wake wahafidhina wanataka jina libadilishwe, wakati watu wa "mzaha" wanashikilia jina libaki.
Gonga F*cking, Austria Wants a Name Change kwa habari zaidi.
Hivi karibuni jina la mji huo limekuwa kivutio upande mmoja na matusi kwa upande wa pili, kiasi wakazi wake wahafidhina wanataka jina libadilishwe, wakati watu wa "mzaha" wanashikilia jina libaki.
Gonga F*cking, Austria Wants a Name Change kwa habari zaidi.