Tronics guru
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 7,924
- 7,392
Never say never😁😁😁😁
Never say never😁😁😁😁
Ila unajua kupaza sauti, upewe ukatibu mwenezi wa chamaSasa aibu gan? Mwenzio anaishi ndani ya uhalisia wa hitaji la hisia zake. Na yupo happy with peaceful.
Jameni baba G anaitwa muddy??? Sio francis tena????Kuna watu hawaujui mji huu!
Dada alihisi akiolewa wataachana kumbe walaaa!kwenye msiba wa Jasiri mpk kukumbatiana juuu!!
Ila kaka angu Mohammed Chiza aka baba G anatudhalilisha sana ndugu zake!!!
Inasikitisha sana....😔😔Huu uzi unasikitisha na kuumiza sana. Wenye watoto wa kiume mtanielewa
Ladies and gentlemen 😂😂😂Uyo sio mwanamke boss jinsia ya tatu iyo
Yamekuja kutoa thread kwenye ubuyu, yameanza kutafutiana watu wa kula miknd na kujipigia promo maneeenahMbona kama na kwenye huu uzi kuna machoko!
Khaaaaaaa jamani!!! Nlikua sijui hiiHeee, ulikuwa wapi? Soma codes bibie. Defao analiwawaga miaka mingi aisee kwani hujui? Alikujaga bongo hapa mbona inafahamika sana miaka ya 2000 alipiga show akakaa muda sana hapa akafulia kumbe alikuwa ameletwa na mapapaa na alikuwa analiwa na Mattqqqqqq wa shirika la kupaa.
Sasa jiongeze kujua huyo jamaa alikuwa Nani codes zipo wazi humu
Af iv kisaa cha kuachana nn?Ncha Kali amezaa na Dina Marios yule mtoto wake!kwa sasa wameachana...!!!
Ila unajua kupaza sauti, upewe ukatibu mwenezi wa chama



sio mjumbe muhamasishaji? Ila wee dea mchokozi.Huyo wancy ni mwanaume?Dunia ina mambo imagine jamaa kaapiiteen kumgonga shemeji yake![]()
ChokostikiPepsistic
Mirindastic
Fantastic
Gaddemit
Chibukustic![]()
Habari ya defao, enzi global publishers wako kwenye chati mbona hii ilikuwa wazi hata wakina sisi tukaipata, upikuwa wapi eve? Bado ulikuwa mboondole nini mshikaji wangu!?Khaaaaaaa jamani!!! Nlikua sijui hii

Chokostiki



na mnateseka kwa kweli, mtafka sku ya kifo mko hoe hae, watu wanakula maisha tyuuh, weuweeeeeeeeeh 





Hahah!anaitwa Mohammed Rashid Sizyaa...kwao kusini alibadili dini baada ya kufika mjini dyadyaa ndo maana ndoa yake na Lulu ilikua na mikingamo maana wazazi wake woote waislam baba ake kwa sasa marehemu mzee Sizya hua anaendaga san kwao amejenga nyumba nzuri sana nafikir kwa pale kijijini hana mpinzani...Jameni baba G anaitwa muddy??? Sio francis tena????
Watafika wamechoka sana!hawatainjoi mbinguni kwa husda zaona mnateseka kwa kweli, mtafka sku ya kifo mko hoe hae, watu wanakula maisha tyuuh, weuweeeeeeeeeh
![]()




We mbona kama unatetea mavikwan ushoga n jambo la ajabu? Au watu baadhi ndo wanaona ajabu? Mbna n maisha ya watu fulan ambao wala hawan tabu na mtu.
Bro mbona unatetea sanaaHakna anayekataa ktk upingaji wa ushoga, ila mbinu na hoja bado hazijitishelezi, maadili yapi hayo? Wanyama wepi hao? Au kna ushahidi upi kuwa wanyama hawafany hivyo? Na kitu kutofanywa na wanyama ndo kiwe upotovu wa maadili?
kna mashoga wengne hawaamini ktk dini/iman, au hawaamini kbsa uwepo wa Mungu, vipi hawa wanaokolewa vipi?
Na Jasiri ndo nanii...?Alishindwana na jasiri basi akamkataa ndo akapotea mazima!usukani wake akaanza shika mwasiti kwa jasiri
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app