Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,993
- 11,859
wwuweeee apewe had azimie kitandan, km yule msanii wa Congo na aliyekua boss wetu wa shirika la ndege, RIP him, uwiiiiiiiiii


sasa hapo nani alizimia Kati ya msanii na boss?wwuweeee apewe had azimie kitandan, km yule msanii wa Congo na aliyekua boss wetu wa shirika la ndege, RIP him, uwiiiiiiiiii


sasa hapo nani alizimia Kati ya msanii na boss?Huyo boss wa shirika letu la the wing of KILIMANJARO ni yupi huyo?
Huyo Hadi kuzimia ilikuwa vumbi la congo labda




vumbi la Congo wakat huo lilikuwepo? Ni nguvu asilia za jamaa.Huwa muoga ana mhaho hatari ka anaumwa na siafu macho juu juunliwaah kumuona pale city mall nje, yaan hakua na aman kbsa sjui alikua anamsubir nan, aliegemea gari huku ana chat chat,
Msanii alipigwa ukuni had kukata moto na kupelekwa kulazwa hospital.sasa hapo nani alizimia Kati ya msanii na boss?





Hatari sana aisee ndio maana hapendagi wanawake huyo Mr. Poritician




yey mwenyew anajitosheleza kimahitaji.Msanii alipigwa ukuni had kukata moto na kupelekwa kulazwa hospital.![]()


hatari na nusu.Yaan nkiona matashtiti yake ktk shughuri za mastar bas mie hoi.Huwa muoga ana mhaho hatari ka anaumwa na siafu macho juu juu




Msanii alipigwa ukuni had kukata moto na kupelekwa kulazwa hospital.![]()

hakuwa mzoefu huyoHao kule Zenji wanaitwa askari kanzuKwan na wataachana sasa? Ila mwanasiasa nae anacheza pande zote, golikipa na anacheza ndani pia![]()

Mbona rahisi sanaWapuuzi wataifungua hii codi na kuiweka nje
Code ibaki kuwa code
This is JF
that's our culture
Halafu sasa alivyo huyo msanii huwez mzania, pandikiz la mtu ila alinyooshwa na mshedede na kuwa mdogo km kidonge cha priton.hakuwa mzoefu huyo






Nadhani vile huko Kuna watu waliotoka hizo nchi huwahadaa na some work favors, since hao watu Wana mi connection mkubwa kwenye taasisi kubwaKitu ninachojiuliza huwa wanakazimishwa kwa kutishiwa kufutwa Kazi au inakuwa je?
Kuna jamaa moja ana mke mzuri na watoto lakini tayari watu washafumua vitu huko UN
Hao kule Zenji wanaitwa askari kanzu![]()



mbavu zangu mie, huku bara wanaitwa mchicha mwiba.Sasa huyo rappa anaemkamua mwanasiasa, nadhan hata politie mwenyew huwa anang'ata mto, maan alivyo tyuuh kwa muonekano wake show zake n konkiiii.Jamaa wake ana mridhisha ndio maana




Sasa huyo rappa anaemkamua mwanasiasa, nadhan hata politie mwenyew huwa anang'ata mto, maan alivyo tyuuh kwa muonekano wake show zake n konkiiii.![]()




Huyo jamaa nakuambia hakosi kwenye mikutano ya kimataifa kila nchi yupo. Labda hiyo connection ndio ilimfikisha huko?Nadhani vile huko Kuna watu waliotoka hizo nchi huwahadaa na some work favors, since hao watu Wana mi connection mkubwa kwenye taasisi kubwa
Oooh mbna sasa n shdaaah lolNajaribu kukuwekea screenshot inbobo lakini imekataa.