Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,371
Mtoa maada hana lolote lenye uhakika yote aloyosema yapo hewan tu! Sawa kabisa na umbea wa magazeti ya ijuma na mengine ya udaku! Kwani ni lazima kila mtu akipiga stor na rafki yake ambae ni mwanausalama wataweza jua ukweli juu ya serikali?
hawa ndo waleee ndugu lawama wanaotuma viji sms kujenga chuki kwa wananch! kama kweli unayoyasema sa waogopa nini hapa jamvini hakuna anaekujua wewe mbugira, bila shaka huo ni umbea tu tena wa jinsia ke,.
Nyie watu wa elfu 7, 7 leo mmejazana humu si mchezo ama mmeongezeka nini?