Mjeshi afunguka kuhusu Arusha

Mjeshi afunguka kuhusu Arusha

Habari wakuu,

Tarehe 25/06/2013 nilimtembelea Rafiki yangu mmoja ambaye ni mwanajeshi
Huko mkoa (kapuni) jina la kambi (kapuni). Jamaa aliniambia mambo mengi
kuhusu Arusha, hasa kwenye harakati za chadema. anasema yeye alikuwa
mkoa wa Arusha kabla hajahamishiwa Kigoma, alikuwa kikosi no(kapuni).
aliniambaia kwamba chadema wakifanya maandamano au mikutano walikuwa
wanapewa sale za asikari polisi kuja kudeal na chadema, ili ionekane
kwamba ni polisi wanaotuliza ghasia kumbe ni wanajesshi wa JWTZ. Jamaa
akasema hili suala lilikuwa linawauma sana, kuna siku pale arusha
zilitokea fujo kati ya ccm na chadema wakaambiwa waende kuwadhibiti
chadema, jamaa wakaenda na uniform za polisi, badala ya kuwapiga chadema
wakawapiga ccm, vunjavunja. baada ya fujo kumalizika ikaonekana watu
walioumia sana na kuvunjika ni wa ccm. Serikali ikaamua kuwahamisha wote
na kuwapeleka pembeni mwa nchi (mipakani huko). akaniambia kwa sasa
serikali inachukua wanajeshi wa Morgoro kuja kutuliza fujo Arusha,wakiwa
wamevaa gwanda la polisi.

Hii ni hatari sana kutumia Jeshi kuwakandamiza
wananchi.

Una ushahidi? mtu mzima kusutwa aibu! peleka majungu na masulupwete yako huko!
 
taarifa yako inaweza ikawa na ukweli ila itabidi tuichukulie kwa tahadhari kubwa, polisi tunawajua sana, inawezekana ni mbinu ya Chagonja kurudisha heshima jeshi la polisi,
watatumia mbinu zoote za kijasusi wanazojua ila mwisho wa siku nguvu ya umma ndiyo itakayoshinda.
 
Uzuri wake sio kwamba kila polisi, mwanajeshi, hakimu, au aliyeko ccm anapenda kinachofanywa na serikali na ccm.......Sio kwamba wote ni wapumbavu kama pinda au mwiguluneti au nape kuna asilimia kubwa ya watz wenzetu walioko huko nilikokutaja wana uchungu sn na damu inayomwagwa na ccm na serikali kila kukicha na hao watakuwa mashahidi wakamilifu siku ukombozi ukikamilika.....
"Ukombozi kutoka kwenye makucha ya ccm unakaribia"
 
unaofanya ni upotoshaji mkubwa..., ni kweli ilishawahi tokea wanajeshi kuvishwa nguo za polisi na kupelekwa pemba, ila hili la arusha hizo ni story za kwenye kahawa

Hata ya kupelekwa pemba ni story unatudanganya?
 
Yote yana mwisho. Yupo jamaa nilishangaa nimemkuta Tanganyika Packers akiwa na sare za jeshi, wakati kwenye mauaji ya january 5 2011 alikuwa kwenye sare za FFU nikamkata na jicho la kushoto hakuamini kama nimemshangaa. Baadaye alinikumbuka niliwahi kuwanaye Ruvu Jkt miaka ya 90
 
Hawa wanaobuni hizi mbinu ni wajinga.

Taratibu wanapandikiza chuki jeshini Na wanaligawa jeshi. Hii ni hatari sana itakuja isababishe vita halisi vya wenyewe kwa wenyewe kwa sababu baadae itasababisha uasi jeshini wanajeshi watakapochoka kupinga ndugu zao
 
unaofanya ni upotoshaji mkubwa..., ni kweli ilishawahi tokea wanajeshi kuvishwa nguo za polisi na kupelekwa pemba, ila hili la arusha hizo ni story za kwenye kahawa
Kama walipeleka pemba watashindwaje kupelekwa Arusha mkuu-mbona stori inakuwa inageuka lakini ni vilevile!!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hakika tunaishi kwenye dunia ambayo imejaa watu wapotoshaji. Na sijui wanapata nini kwa hilo. Hivi mnajua kama wanajeshi wanaruhusiwa kisheria kushiriki iwapo kuna tokea au kuna dalili zozote za fujo? Kuna haja gani ya kuvaa magwanda ya Polisi? Hata huko Pemba hakuna aliyevaa mavazi ya kipolisi jamani, walikuwa na sare zao. Tusigeuze hapa kama mahali pa kudanganyana na kupotoshana. Tuwe wakweli na siasa tuweke kando.
 
Habari wakuu,

Tarehe 25/06/2013 nilimtembelea Rafiki yangu mmoja ambaye ni mwanajeshi Huko mkoa (kapuni) jina la kambi (kapuni). Jamaa aliniambia mambo mengi kuhusu Arusha, hasa kwenye harakati za chadema. anasema yeye alikuwa mkoa wa Arusha kabla hajahamishiwa Kigoma, alikuwa kikosi no(kapuni). aliniambaia kwamba chadema wakifanya maandamano au mikutano walikuwa wanapewa sale za asikari polisi kuja kudeal na chadema, ili ionekane kwamba ni polisi wanaotuliza ghasia kumbe ni wanajesshi wa JWTZ. Jamaa akasema hili suala lilikuwa linawauma sana, kuna siku pale arusha zilitokea fujo kati ya ccm na chadema wakaambiwa waende kuwadhibiti chadema, jamaa wakaenda na uniform za polisi, badala ya kuwapiga chadema wakawapiga ccm, vunjavunja. baada ya fujo kumalizika ikaonekana watu walioumia sana na kuvunjika ni wa ccm. Serikali ikaamua kuwahamisha wote na kuwapeleka pembeni mwa nchi (mipakani huko). akaniambia kwa sasa serikali inachukua wanajeshi wa Morgoro kuja kutuliza fujo Arusha,wakiwa wamevaa gwanda la polisi.

Hii ni hatari sana kutumia Jeshi kuwakandamiza wananchi.
usha
mkuu inaonekana wewe somo la hesabu ulizungusha, kuna uwezekano gani wanajeshi kutoka morogoro kuweza kutuliza fujo arusha ndani ya dakika 15 wakihitajika?? acha kudanganya mkuu
 
unaofanya ni upotoshaji mkubwa..., ni kweli ilishawahi tokea wanajeshi kuvishwa nguo za polisi na kupelekwa pemba, ila hili la arusha hizo ni story za kwenye kahawa
Kama iliwezekana Pemba, kwanini unafikiri haiwezekani kwamba hayo yamefanyika Arusha? Mbona hata Mbeya baada ya mgomo wa siku mbili mfulilulizo, wanajeshi kibao walivishwa nguo za polisi na kwenda kuwadhibiti vijana?
 
Yote 9 hata 10 hakika yana mwisho wake.
Damu ya Watanzania wasio na hatia inayomwagwa hakika haitaenda bure hata kidogo.
Waliotenda haya wakiwa na akili zao timamu hakika siku moja hata nao watajutia maamuzi yao.
 
Habari wakuu,

Tarehe 25/06/2013 nilimtembelea Rafiki yangu mmoja ambaye ni mwanajeshi Huko mkoa (kapuni) jina la kambi (kapuni). Jamaa aliniambia mambo mengi kuhusu Arusha, hasa kwenye harakati za chadema. anasema yeye alikuwa mkoa wa Arusha kabla hajahamishiwa Kigoma, alikuwa kikosi no(kapuni). aliniambaia kwamba chadema wakifanya maandamano au mikutano walikuwa wanapewa sale za asikari polisi kuja kudeal na chadema, ili ionekane kwamba ni polisi wanaotuliza ghasia kumbe ni wanajesshi wa JWTZ. Jamaa akasema hili suala lilikuwa linawauma sana, kuna siku pale arusha zilitokea fujo kati ya ccm na chadema wakaambiwa waende kuwadhibiti chadema, jamaa wakaenda na uniform za polisi, badala ya kuwapiga chadema wakawapiga ccm, vunjavunja. baada ya fujo kumalizika ikaonekana watu walioumia sana na kuvunjika ni wa ccm. Serikali ikaamua kuwahamisha wote na kuwapeleka pembeni mwa nchi (mipakani huko). akaniambia kwa sasa serikali inachukua wanajeshi wa Morgoro kuja kutuliza fujo Arusha,wakiwa wamevaa gwanda la polisi.

Hii ni hatari sana kutumia Jeshi kuwakandamiza wananchi.
Mleta uzi huu kwanza inaonekana unamatatizo na kiswahili, angali maneno niliyoweka nyekundu. Pili, habari uliyoileta sidhani kama ina ukweli wowote ila kwa vile binadamu anapenda kushabikia habari kama hizi ndo maana unaona wengi wanakubaliana na wewe
 
Ninaamini serikali imekosa washauri. Kama kuna dalili za wananchi kukichoka chama tawala dawa sio kutumia nguvu kwenye mikutano ya vyama pinzani jambo la msingi ni kujiuliza wapi wanapo kosea mpaka wananchi wamekosa imani na serikali kama wangesema niwashauri ninge waambia kuwa ,ufisadi unao litafuna taifa bila hata ya huruma ,mgawanyo wa rasilimali za nchi ambao unampa kipato kikubwa mwanasiasa ambaye si mzalishaji na kuwanyima haki wanyinge walio wengi ndio sababu kubwa inayofanya raia waichukie serikali. :angry:
 
Nawashangaa mnachoshangaa! Vibaka kibao tu wanapewa gwanda za polisi na kutandika raia mitaani,muulizeni jumanne mjusi (jambazi maarufu arusha na kiongozi wa green guard)aliwafanya nini watu wa sinoni? Ukuiwa ccm unaweza kuwa jambazi,polisi,mwanajeshi,usalama wa taifa nk,ni wewe na nguvu zako tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom