Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Hivi gazeti lake alilolianzisha limeishia wapi, lilikuwa linaitwa something ..Jamii>
Hakuna ubaya kutoa analysis kama hii. Tatizo ni pale inapokosa basis, analysis imekaa kitabiri wakati tunajua mtabiri tunaye mmoja tu nchi hii. Angetuambia amewahoji watu kadhaa sehemu kadhaa au angetumia matokeo fulani, lakini sasa unalala leo unapata hisia kwamba CUF itakuwa ya kwanza, kesho unapata hisia zingine kwamba CHADEMA itakuwa ya nne, then unaandika makala, ebo!! Mbona wanaoota wapo wengi tu, lakini hawawezi kuandika kwa sababu ndoto haziwezi kuwa basis ya makala!!
Kuna katuni ilichorwa na mwandishi wa Kenya ikiwaonyesha wana habari wa TZ wakimlamba miguu JK,na waandishi wetu walilalamika sana kwa kudai mwandishi huyo wa Kenya aliwakosea heshima!
sasa kwa uandishi kama huu wa akina Maggid walilalamikia nini kama wanadhalilishwa ili hali wanajidhalilisha wenyewe kwa kujikomba kwa JK kwa habari zisofanyiwa uhakiki wa kisayansi ili kumpamba JK;ambapo mwandishi Maggid kakurupuka tu kutoka kitandani,kuvuta kompyuta yake na kuanza kuandika madudu yake?