Mjengwa katika kampeni za Kikwete 2010?

Hivi gazeti lake alilolianzisha limeishia wapi, lilikuwa linaitwa something ..Jamii>

Hakuna ubaya kutoa analysis kama hii. Tatizo ni pale inapokosa basis, analysis imekaa kitabiri wakati tunajua mtabiri tunaye mmoja tu nchi hii. Angetuambia amewahoji watu kadhaa sehemu kadhaa au angetumia matokeo fulani, lakini sasa unalala leo unapata hisia kwamba CUF itakuwa ya kwanza, kesho unapata hisia zingine kwamba CHADEMA itakuwa ya nne, then unaandika makala, ebo!! Mbona wanaoota wapo wengi tu, lakini hawawezi kuandika kwa sababu ndoto haziwezi kuwa basis ya makala!!

Kuna katuni ilichorwa na mwandishi wa Kenya ikiwaonyesha wana habari wa TZ wakimlamba miguu JK,na waandishi wetu walilalamika sana kwa kudai mwandishi huyo wa Kenya aliwakosea heshima!

sasa kwa uandishi kama huu wa akina Maggid walilalamikia nini kama wanadhalilishwa ili hali wanajidhalilisha wenyewe kwa kujikomba kwa JK kwa habari zisofanyiwa uhakiki wa kisayansi ili kumpamba JK;ambapo mwandishi Maggid kakurupuka tu kutoka kitandani,kuvuta kompyuta yake na kuanza kuandika madudu yake?
 
WENYE kupanga mikakati ya kivita wanajua, kuwa matokeo ya ushindi wa kivita hufahamika kabla risasi ya kwanza kupigwa. Inahusu matayarisho, malengo, mbinu na mikakati.

Ninapoandika haya, zimebaki siku 30 kabla ya Watanzania wenye sifa za kupiga kura hawajapanga foleni ya kwenda kupiga kura, nchi nzima. Kuchagua madiwani, wabunge na Rais.

Zilipobaki siku 45 kabla ya Oktoba 31, 2010 nikaandika; “ Kama Uchaguzi Mkuu Ungefanyika leo…” . Ilikuwa ni tathmini yangu kutokana na uzoefu wangu wa chaguzi zetu na hali halisi ninayoiona. Nikathubutu kuandika, kuwa mgombea wa kiti cha Urais kutoka Chama Cha Mapinduzi, Bw. Mrisho Jakaya Kikwete, angeibuka kuwa mshindi, na kwamba CCM ingepata wabunge wengi na madiwani. Kwamba Dr Wilbrod Slaa, mgombea urais kutoka CHADEMA angechukua nafasi ya pili.

Kwamba Chadema ingekuwa ya pili pia kwa idadi ya wabunge na madiwani kutoka bara. Nikabainisha, kuwa Profesa Ibrahim Lipumba, mgombea Urais kutoka CUF angechukua nafasi ya tatu.

Leo, zikiwa zimebaki wiki nne kabla ya siku ya uchaguzi naiona hali iliyobadilika katika uwanja huu wa mapambano ya kisiasa. Naiona hali ifuatayo kama uchaguzi ungefanyika kesho.

Mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete angeibuka kuwa mshindi. Profesa Ibrahim Lipumba angeshika nafasi ya pili na huku Dr Wilbroad Slaa angetoka akiwa mshindi wa tatu. Vivyo hivyo, CCM ingetoa wabunge na madiwani wengi ikifuatiwa na CUF na CHADEMA. Kwamba CUF ndio ingekuwa chama kikubwa cha upinzani bungeni na hivyo basi, kutoa kiongozi wa upinzani bungeni kama ilivyokuwa katika bunge lililopita.

Nafahamu kuwa hii ni tathmini itakayowakera baadhi humu mtandaoni, lakini najisikia huru na kuona umuhimu wa kuandika tathmini yangu hii kwa madhumuni ya kuchochea mjadala na kujifunza pia. Ni ukweli, kuwa ukweli mwingine unahuzunisha, lakini ni lazima usemwe. Maana, ukweli ni uhuru pia.

Ni nini basi tafsiri ya nilichokiandika? Kama tungekuwa na uchaguzi mkuu kesho, Jakaya Mrisho Kikwete angeunda Serikali huku yeye na chama chake wakikabiliwa na changamoto kama nilizozielezea katika makala yangu yaliyopita. Kwamba changamoto kubwa itatokana na upinzani utakaokuwa umeongezeka nguvu ndani na nje ya bunge kutokana na ujio wa Dr Slaa kama mgombea Urais katika uchaguzi wa mwaka huu. Na ziada hapo, ni kuibuka kwa CUF bara kama chama chenye wabunge kati ya 10 na 15 na idadi ya kutia moyo ya madiwani.

Huko nyuma nilibainisha, kuwa viashria vya jamii inayotaka mabadiliko vimeshaonekana. CCM itakuwa na mawili ya kuchagua; kuchukua jukumu la kuyaongoza mabadiliko hayo au kusubiri kuzamishwa na mkondo wa maji ya mabadiliko hayo.

Historia ni mwalimu mzuri. Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2005 na uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Oktoba mwaka jana yanaiweka CCM na mgombea wake Urais mahali pazuri zaidi kiushindi kulinganisha na CUF na Chadema. Angalia taarifa hii; Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Oktoba mwaka jana ulimalizika kwa kukipa ushindi mnono Chama Cha Mapinduzi. Chama hicho kilipata ushindi wa asilimia 91.71 za kura, kikifuatiwa kwa mbali na CUF iliyopata asilimia 3.94 na Chadema asilimia 2.76.

Katika Mkoa wa Dar es Salaam pekee, Chama hicho tawala kiliibuka na ushindi mnono kwa kupata viti 402 kati ya 448, sawa na asilimia 91, huku wapinzani wakiambulia viti 40, sawa na asilimia tisa tu. Katika mkoa wa Iringa ninakoishi, CHADEMA, ilifanikiwa kushinda mtaa mmoja wa Kihesa Kilolo “B”,. Ni kwenye Kata ya Mtwivila Manispaa ya Iringa.

Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005. CCM na mgombea wake Urais waliibuka washindi. Jakaya Kikwete alipata zaidi ya kura milioni 9.2 . Alifuatiwa na Profesa Lipumba aliyepata kura milioni 1.3 na huku mgombea wa CHADEMA , Freeman Mbowe akiambulia kura laki 7.
Pamoja na Profesa Lipumba na chama chake cha CUF kuwa cha pili, hakikupata mbunge wa kuchaguliwa huku CHADEMA ikipata nafasi hiyo ya kuwa na wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya watano katika Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Kwa hali ilivyo kwa sasa, CCM bado wanajivunia:
Kuwa ni chama kikongwe, kikubwa na kilichotawala kwa muda mrefu. Na nilibainisha huko nyuma, kuwa kuna hata wanaokipigia kura chama hicho ‘ Kwa mazoea tu’. Na katika nchi zetu hizi; kukiondoa chama kilicho madarakani, Chama kilichopigania uhuru au kinachotokana na chama kilichopigania uhuru ni kazi ngumu sana. Kwa anayetaka kufanikiwa katika hilo, anahitaji kwenda ilipo mizizi ya chama hicho. Ni vijijini. Na huko vijijini kwa leo hii chama wanachokijua ni CCM. Naam. Ndio ‘ Zimwi’ wanalolijua.

Mwanakijiji atatembea kwa miguu kilomita kumi kwenda kuhudhuria mkutano wa CCM. Atakwambia amepewa taarifa ya mkutano na Balozi wake wa Nyumba Kumi. Hivyo basi, CCM wanajivunia mtandao wao wa kichama kuanzia ngazi ya Balozi wa Nyumba Kumi, shina, tawi na kuendelea. Na hata mtandao wa Kiserikali.

Nyongeza ya Udhaifu wa CCM:
Kwamba CCM inajivunia ‘K’ zake tatu; Chama Kikongwe, Kikubwa na Kinachotawala, basi, kuna baadhi ya watendaji ndani ya Chama hicho walioshindwa kusoma alama za nyakati. Wanafanya kazi zao kwa mazoea. Jambo hilo limeigharimu CCM muda na rasilimali katika jitihada za kuziba mashimo. Matokeo ya Uchaguzi wa Oktoba 31 hayataiacha CCM na mfumo mzima wa uendeshaji nchi katika hali iliyozoeleka. Subirini, mtaona.

Mama Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete:
Wawili hawa wamekuwa kiini cha mijadala itakayoendelea huenda hata baada ya uchaguzi kwisha. Tangu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 uliomwingiza madarakani Jakaya Kikwete, Tanzania imeshuhudia aina mpya ya harakati na kampeni za kisiasa zenye kuhusisha mke wa mgombea na hata wana familia ya karibu kama hili la mke na mwana wa Rais, Ridhiwani Kikwete.

Inaonekana sasa, kuwa zama za ‘ First Lady’ kuwa ‘ Mama wa nyumbani’ Ikulu zimepita. Ni dhahiri, kuwa kwa mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete, amenufaika sana na ushiriki wa karibu wa mkewe na mwanawe Ridhiwani. Na si kwa Jakaya Kikwete tu, CCM kama chama, wagombea ubunge wake wananufaika kwa kiasi kikubwa na uwepo wa Mama Salma Kikwete na Ridhiwani kwenye kampeni.

Wote wawili, Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete wana mvuto wa kisiasa unaoongezewa nguvu na wao kuwa wanafamilia ya Rais aliye madarakani na ambaye bado, kiukweli, ana mvuto kwa Watanzania walio wengi.

Katika mazingira ya sasa, Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete wanafanya kile ambacho Jakaya Kikwete hawezi kukifanya kwa urahisi kwenye kampeni kutokana na kubanwa na itifaki. Mama Salma Kikwete anaweza kufanya mikutano ya ndani Lindi, Mtwara na kwingineko akiongea na kundi kubwa la wapiga kura, wanawake, kwa lugha yao. Amefanya hivyo 2005 na sasa ana uzoefu zaidi. Anaongeza kura za JK.

Vivyo hivyo kwa Ridhiwani Kikwete, naye ana ametokea kwenye Chipukizi wa CCM na kuingia kwenye Umoja wa Vijana wa Chama hicho na kushika nafasi za uongozi. Ridhiwani ana mtandao mpana wa kichama ndani ya jumuiya hiyo na hata nje. Ni karata muhimu kisiasa. Ingekuwa ajabu kama asingezunguka kumtafutia kura zaidi mgombea wa chama chao ambaye pia ni baba yake.

CHADEMA:
Ujio wa Dr Slaa:
Niliandika, kuwa ujio wa Slaa, sio tu umewashangaza CCM na mgombea wake urais, bali pia unaonekana kuwashangaza CHADEMA wenyewe wanaoonekana kutokujiandaa na namna Dr Slaa alivyopokewa na wananchi. Dr Slaa ameongeza msisimko kwenye siasa za nchi yetu. Watu wengi wana shauku ya kumsikiliza, kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa 1995 uliomwibua Augustino Mrema. Akijipanga vema, hata baada ya uchaguzi huu. Akafanya kazi ya CHADEMA nje ya Bunge na kutembea nchi nzima, basi, Dr Slaa anaweza kuwa tishio kwa ye yote ndani ya CCM atakayekuja kupambana nae.

Udhaifu wa CHADEMA
Unajidhihirisha kwenye eneo la oganaizesheni na kifedha. Hilo nililibainisha katika makala yangu yaliyopita. Bado CHADEMA haina uwakilishi mpana katika ngazi za mashina na matawi. Niliandika, kuwa Dr Slaa anaweza kutua na helikopta Pawaga Iringa, lakini mara ile akiruka, huku nyuma hakuna watendaji wa CHADEMA wa kufanya kazi ya CHADEMA. Kuna taarifa pia za wagombea wake ubunge na udiwani kukosa nguvu za kifedha kuendesha kampeni .

Zitto Kabwe bado ni kitendawili:
Niliandika, kuwa Zitto Kabwe n i kada nyota ndani ya CHADEMA, lakini ‘sarakasi’ zake za kisiasa huenda zinachangia kukidhohofisha chama chake kuliko kukipa nguvu. Alipata kulipotiwa na magazeti kutamka hadharani kuwa anajiandaa kugombea urais 2015. Zitto Kabwe alituachia maswali; Kulikoni ndani ya CHADEMA? Je, Dr Slaa ni mgombea wa ‘msimu’ tu? Au ndio sababu Zitto Kabwe hakuhudhuria Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CHADEMA? Niliandika, kuwa kuna watakaouliza. Na maswali yanaongezeka.

Inachojivunia CHADEMA:
Bado ni chama kinachoonyesha kuwa na mvuto kama kitajipanga vema. Kuna vijana wengi na hususan wasomi wenye kuvutiwa na CHADEMA. Hizi ni dalili njema kwa CHADEMA kwa siku zijazo, endapo zitabaini mtaji huo , kuuwekeza na kuutumia vema mbele ya safari.

CUF: CHAMA CHA WANANCHI
Leo naweza kukiri, kuwa nilikosea, nilipoandika, kuwa CUF ( Bara) safari hii kinaonekana zaidi kuwa ‘ jokeli’ katika karata za kisiasa. Kwa hali ilivyo sasa, CUF bado ni chama chenye nguvu na kilicho na mizizi kwenye baadhi ya maeneo ya nchi. Na kwa hakika, Profesa Ibrahim Lipumba bado anaonekana kuwa na nguvu katika kanda ya pwani na mikoa ya kusini.

Mathalan, kama Uchaguzi Mkuu utafanyika kesho, CUF ina hakika ya kunyakua kati ya viti 8 hadi 10 kutoka mikoa ya Kusini pekee; Lindi, Mtwara na Ruvuma. CUF ina nafasi ya kushinda viti vingi vya madiwani kutoka mikoa hiyo na hata kuweza kuongoza halmashauri moja au mbili. Tunduru ni moja ya majimbo ambayo CUF ina nafasi kubwa ya kutoa mbunge na madiwani.

Ndio, Profesa Ibrahim Lipumba bado ni tishio. Ana uzoefu na anautumia. Na siku ile CHADEMA na CUF watakapokubaliana kuunganisha nguvu na kutoa mgombea mmoja wa Urais, basi, CCM itakuwa shakani. Lakini si kwa sasa, zikiwa zimebaki siku 30 kabla ya Oktoba 31. Ninapoandika fikra hizi huru.
Maggid

Umepewa assignment na Sheikh?

Kamuambie umefeli
 
Well said...even Muhammad Ali can beat any opponent today in the ring....provided that you are a fannatic of him
 
Hao ndio mkakatati waliopanga, hata lipupunda nae natamka hilo hilo kuwa atakuwa wa 2,TBC 1 nao naona wanacover vitu vidodo vidogo vya CUF ukilinganisha na Chadema, tujiandae kwa mapambanooooooo,
 
Hii ni kazi maalum, ni kazi kama inayofanywa na Radio One na ITV, au TBC1 na TBC Taifa, ni kazi ambayo main stream media zimepewa zimuonyeshe mgombea wa CCM na CCM kuwa ndiye mshindi na kuwa CCM ndicho chama tawala baada ya 31 October 2010.
ITV/Radio One au TBC wanaporipoti ahadi za mgombea urais wa CCM utawasikia wakisema serikali imesema au rais amesema, huu ni upotoshaji wa makusudi, wanajua Kikwete huenda akakosa ridhaa y kuunda serikali baada ya uchaguzi, wanajua kuwa Kikwete hafai kuendelea kuongoza kwa sababu hana uwezo. Hawafanyi kwa bahati mbaya bali ni kazi maalum ya kujaribu kuwaghiribu wapiga kura hasa hasa wa kijijini kuwa pale watakapokuwa wanapiga kura wakimuona Kikwete wajue huyu ndiye rais na wengine ni wapinzani, wakorofi, wazushi na wasiostahili kupigiwa kura.
Wanawaambia wapiga kura kuwa hata wakiwapa kura Chadema/CUF hawataunda serikali.
Hata kwenye uchaguzi mkuu wa 2005, kuna theory kwamba CCM walipotosha makusudi kura za mgombea urais wa Chadema ili zionekane kuwa licha ya kuungwa mkono na mikutano yake kukusanya wasikilizaji wengi kuliko wote si lolote. Ni kweli kuwa Mbowe hakushinda lakini kusema kuwa hakushika nafasi ya pili ni upotoshaji, waliona wakiripoti kama kura zilivyokuwa zimepigwa ingeonyesha kupunguza nguvu ya chama chao. Na hili hawakulitaka, CCM wanajua kuwa mpinzani wao kwa Tanzania Bara tangu 2005 ni Chadema na hili lilidhihirishwa na wabunge/madiwani waliopata. Kusema kuwa Chadema walipata wabunge wengi kuliko CUF bara harafu ukasema kuwa mgombea urais wao ameshika nafasi ya tatu ni kutupotsha.
HATUDANGANYIKI!!!!
 
Huyu ni hao hao tu hakuna jipya hizi ni kampeni za kwenye mitandao, huyu na mfananinisha na mhariri wa daily news la tr23/9/2010 uk wa 22
 
kaka majid umeanza kuchakachua sasa, au mafisafi wamekuchakachua tayari.
 
Kuna katuni ilichorwa na mwandishi wa Kenya ikiwaonyesha wana habari wa TZ wakimlamba miguu JK,na waandishi wetu walilalamika sana kwa kudai mwandishi huyo wa Kenya aliwakosea heshima!

sasa kwa uandishi kama huu wa akina Maggid walilalamikia nini kama wanadhalilishwa ili hali wanajidhalilisha wenyewe kwa kujikomba kwa JK kwa habari zisofanyiwa uhakiki wa kisayansi ili kumpamba JK;ambapo mwandishi Maggid kakurupuka tu kutoka kitandani,kuvuta kompyuta yake na kuanza kuandika madudu yake?

Asante Malafyale kwa kumjibu na konesha kinachomsukuma Maggid. Maggid amejidhalilisha sana kuandika kama vile anaowandikia ni wajinga. Mfano anaposema:"Wote wawili, Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete wana mvuto wa kisiasa unaoongezewa nguvu na wao kuwa wanafamilia ya Rais aliye madarakani na ambaye bado, kiukweli, ana mvuto kwa Watanzania walio wengi," anajidhalilisha kabisa.

Hayo anayoyasema hapo juu sikubaliani nayo kabisa. Kwanza hao anaowataja wanatembea sehemu mbalimbali nchini kwa maagizo ya Ikulu kupitia kwa wakuu wa Mkoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri. Kuanzia Ikulu hadi huko wanakofika wanatumia raslimali za nchi (msiniambie nithibitishe). Wenyeji wanawapokea siyo kwasababu wana mvuto kwao bali wanaogopa kibarua kisiote nyasi. Huo uzushi wa mwandishi kwamba Salma na Ridhwani wana mvuto kwa watu unatoka wapi?

Kwa taarifa, mtu yoyote aliye na macho ya kuona na akili ya kuchambua mambo anajua kuwa badala ya hao kuwa na mvuto kwa watu kumbe ndiyo wanamwangusha JK katika harakati zake
 
huyu mdudu karudi tena. Bora mmleta hii utabiri wake hapa manake wengine hatutembelei tena liblogo lake la kifedhuli. Huyu jamaa amepewa mikofia na tshirt au heinkein kama tendwa 2005.simuelewi kabisa yeye anatuletea data za yeye na familia yake hapa?? Kakusanya wapi hizo detailszii vijiji vingapi yeye mjengwa kaenda?? Niana hakikaa hata kijiji chagu hajawahi kukisikia sasa/kule hata vibibi kizee wote wanakwambia Chadema MWANZo MwIsHO. Huyu mjinga anaongea nini , aua anatakaa watu tuhaki kablog kake? Kwanza bora kigazeti chake kilikosa soko akajitoa. Na nina uhakika hiki kijamaa kimeandika hii makala kikilenga wadau wa humu JF anajua kabila ss tutammind, sasa mpeni taarifa kuwa asikurupuke. Watanzania hawapo kwenye kakichwa kake na asirudie tena .
 
Huyu nae nyoko tupu. Anajifanya makini lakini hana mvuto huo na ndio maana hafanikiwi. Si alianzisha jarida juzi likafa? Hata nashindwa kumfafanua. Huyu bwana ni malaria sugu tu
 
siku matokeo yatakapotaganzwa aibu itakukubwa, maggid
umeichukulia negative... hakuna haja ya aibu bali kuna haja ya wapinzani kuchukua chambuzi hii na kuifanyia kazi constructively

Not every challenge you meet/face aims at degrading or defeating you

kafu na chadema chukueni hii muiwekee mbinu za ku-address
 
Maggid, Uchambuzi wako nimeupenda na umelenga pande zote muhimu.... Hakika huo ndio ukweli wenyewe ni kwamba Chadema hawana hawafiki popote na mbio zao za miti....Ni vizuri sana watu wakakubali ukweli na kuacha ubishi.... Saa sita usiku, unabisha unasema ni mchana mbona jua linawaka.
 
WENYE kupanga mikakati ya kivita wanajua, kuwa matokeo ya ushindi wa kivita hufahamika kabla risasi ya kwanza kupigwa. Inahusu matayarisho, malengo, mbinu na mikakati.

Ninapoandika haya, zimebaki siku 30 kabla ya Watanzania wenye sifa za kupiga kura hawajapanga foleni ya kwenda kupiga kura, nchi nzima. Kuchagua madiwani, wabunge na Rais.

Zilipobaki siku 45 kabla ya Oktoba 31, 2010 nikaandika; “ Kama Uchaguzi Mkuu Ungefanyika leo…” . Ilikuwa ni tathmini yangu kutokana na uzoefu wangu wa chaguzi zetu na hali halisi ninayoiona. Nikathubutu kuandika, kuwa mgombea wa kiti cha Urais kutoka Chama Cha Mapinduzi, Bw. Mrisho Jakaya Kikwete, angeibuka kuwa mshindi, na kwamba CCM ingepata wabunge wengi na madiwani. Kwamba Dr Wilbrod Slaa, mgombea urais kutoka CHADEMA angechukua nafasi ya pili.

Kwamba Chadema ingekuwa ya pili pia kwa idadi ya wabunge na madiwani kutoka bara. Nikabainisha, kuwa Profesa Ibrahim Lipumba, mgombea Urais kutoka CUF angechukua nafasi ya tatu.

Leo, zikiwa zimebaki wiki nne kabla ya siku ya uchaguzi naiona hali iliyobadilika katika uwanja huu wa mapambano ya kisiasa. Naiona hali ifuatayo kama uchaguzi ungefanyika kesho.

Mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete angeibuka kuwa mshindi. Profesa Ibrahim Lipumba angeshika nafasi ya pili na huku Dr Wilbroad Slaa angetoka akiwa mshindi wa tatu. Vivyo hivyo, CCM ingetoa wabunge na madiwani wengi ikifuatiwa na CUF na CHADEMA. Kwamba CUF ndio ingekuwa chama kikubwa cha upinzani bungeni na hivyo basi, kutoa kiongozi wa upinzani bungeni kama ilivyokuwa katika bunge lililopita.

Nafahamu kuwa hii ni tathmini itakayowakera baadhi humu mtandaoni, lakini najisikia huru na kuona umuhimu wa kuandika tathmini yangu hii kwa madhumuni ya kuchochea mjadala na kujifunza pia. Ni ukweli, kuwa ukweli mwingine unahuzunisha, lakini ni lazima usemwe. Maana, ukweli ni uhuru pia.

Ni nini basi tafsiri ya nilichokiandika? Kama tungekuwa na uchaguzi mkuu kesho, Jakaya Mrisho Kikwete angeunda Serikali huku yeye na chama chake wakikabiliwa na changamoto kama nilizozielezea katika makala yangu yaliyopita. Kwamba changamoto kubwa itatokana na upinzani utakaokuwa umeongezeka nguvu ndani na nje ya bunge kutokana na ujio wa Dr Slaa kama mgombea Urais katika uchaguzi wa mwaka huu. Na ziada hapo, ni kuibuka kwa CUF bara kama chama chenye wabunge kati ya 10 na 15 na idadi ya kutia moyo ya madiwani.

Huko nyuma nilibainisha, kuwa viashria vya jamii inayotaka mabadiliko vimeshaonekana. CCM itakuwa na mawili ya kuchagua; kuchukua jukumu la kuyaongoza mabadiliko hayo au kusubiri kuzamishwa na mkondo wa maji ya mabadiliko hayo.

Historia ni mwalimu mzuri. Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2005 na uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Oktoba mwaka jana yanaiweka CCM na mgombea wake Urais mahali pazuri zaidi kiushindi kulinganisha na CUF na Chadema. Angalia taarifa hii; Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Oktoba mwaka jana ulimalizika kwa kukipa ushindi mnono Chama Cha Mapinduzi. Chama hicho kilipata ushindi wa asilimia 91.71 za kura, kikifuatiwa kwa mbali na CUF iliyopata asilimia 3.94 na Chadema asilimia 2.76.

Katika Mkoa wa Dar es Salaam pekee, Chama hicho tawala kiliibuka na ushindi mnono kwa kupata viti 402 kati ya 448, sawa na asilimia 91, huku wapinzani wakiambulia viti 40, sawa na asilimia tisa tu. Katika mkoa wa Iringa ninakoishi, CHADEMA, ilifanikiwa kushinda mtaa mmoja wa Kihesa Kilolo “B”,. Ni kwenye Kata ya Mtwivila Manispaa ya Iringa.

Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005. CCM na mgombea wake Urais waliibuka washindi. Jakaya Kikwete alipata zaidi ya kura milioni 9.2 . Alifuatiwa na Profesa Lipumba aliyepata kura milioni 1.3 na huku mgombea wa CHADEMA , Freeman Mbowe akiambulia kura laki 7.
Pamoja na Profesa Lipumba na chama chake cha CUF kuwa cha pili, hakikupata mbunge wa kuchaguliwa huku CHADEMA ikipata nafasi hiyo ya kuwa na wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya watano katika Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Kwa hali ilivyo kwa sasa, CCM bado wanajivunia:
Kuwa ni chama kikongwe, kikubwa na kilichotawala kwa muda mrefu. Na nilibainisha huko nyuma, kuwa kuna hata wanaokipigia kura chama hicho ‘ Kwa mazoea tu’. Na katika nchi zetu hizi; kukiondoa chama kilicho madarakani, Chama kilichopigania uhuru au kinachotokana na chama kilichopigania uhuru ni kazi ngumu sana. Kwa anayetaka kufanikiwa katika hilo, anahitaji kwenda ilipo mizizi ya chama hicho. Ni vijijini. Na huko vijijini kwa leo hii chama wanachokijua ni CCM. Naam. Ndio ‘ Zimwi’ wanalolijua.

Mwanakijiji atatembea kwa miguu kilomita kumi kwenda kuhudhuria mkutano wa CCM. Atakwambia amepewa taarifa ya mkutano na Balozi wake wa Nyumba Kumi. Hivyo basi, CCM wanajivunia mtandao wao wa kichama kuanzia ngazi ya Balozi wa Nyumba Kumi, shina, tawi na kuendelea. Na hata mtandao wa Kiserikali.

Nyongeza ya Udhaifu wa CCM:
Kwamba CCM inajivunia ‘K’ zake tatu; Chama Kikongwe, Kikubwa na Kinachotawala, basi, kuna baadhi ya watendaji ndani ya Chama hicho walioshindwa kusoma alama za nyakati. Wanafanya kazi zao kwa mazoea. Jambo hilo limeigharimu CCM muda na rasilimali katika jitihada za kuziba mashimo. Matokeo ya Uchaguzi wa Oktoba 31 hayataiacha CCM na mfumo mzima wa uendeshaji nchi katika hali iliyozoeleka. Subirini, mtaona.

Mama Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete:
Wawili hawa wamekuwa kiini cha mijadala itakayoendelea huenda hata baada ya uchaguzi kwisha. Tangu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 uliomwingiza madarakani Jakaya Kikwete, Tanzania imeshuhudia aina mpya ya harakati na kampeni za kisiasa zenye kuhusisha mke wa mgombea na hata wana familia ya karibu kama hili la mke na mwana wa Rais, Ridhiwani Kikwete.

Inaonekana sasa, kuwa zama za ‘ First Lady’ kuwa ‘ Mama wa nyumbani’ Ikulu zimepita. Ni dhahiri, kuwa kwa mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete, amenufaika sana na ushiriki wa karibu wa mkewe na mwanawe Ridhiwani. Na si kwa Jakaya Kikwete tu, CCM kama chama, wagombea ubunge wake wananufaika kwa kiasi kikubwa na uwepo wa Mama Salma Kikwete na Ridhiwani kwenye kampeni.

Wote wawili, Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete wana mvuto wa kisiasa unaoongezewa nguvu na wao kuwa wanafamilia ya Rais aliye madarakani na ambaye bado, kiukweli, ana mvuto kwa Watanzania walio wengi.

Katika mazingira ya sasa, Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete wanafanya kile ambacho Jakaya Kikwete hawezi kukifanya kwa urahisi kwenye kampeni kutokana na kubanwa na itifaki. Mama Salma Kikwete anaweza kufanya mikutano ya ndani Lindi, Mtwara na kwingineko akiongea na kundi kubwa la wapiga kura, wanawake, kwa lugha yao. Amefanya hivyo 2005 na sasa ana uzoefu zaidi. Anaongeza kura za JK.

Vivyo hivyo kwa Ridhiwani Kikwete, naye ana ametokea kwenye Chipukizi wa CCM na kuingia kwenye Umoja wa Vijana wa Chama hicho na kushika nafasi za uongozi. Ridhiwani ana mtandao mpana wa kichama ndani ya jumuiya hiyo na hata nje. Ni karata muhimu kisiasa. Ingekuwa ajabu kama asingezunguka kumtafutia kura zaidi mgombea wa chama chao ambaye pia ni baba yake.

CHADEMA:
Ujio wa Dr Slaa:
Niliandika, kuwa ujio wa Slaa, sio tu umewashangaza CCM na mgombea wake urais, bali pia unaonekana kuwashangaza CHADEMA wenyewe wanaoonekana kutokujiandaa na namna Dr Slaa alivyopokewa na wananchi. Dr Slaa ameongeza msisimko kwenye siasa za nchi yetu. Watu wengi wana shauku ya kumsikiliza, kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa 1995 uliomwibua Augustino Mrema. Akijipanga vema, hata baada ya uchaguzi huu. Akafanya kazi ya CHADEMA nje ya Bunge na kutembea nchi nzima, basi, Dr Slaa anaweza kuwa tishio kwa ye yote ndani ya CCM atakayekuja kupambana nae.

Udhaifu wa CHADEMA
Unajidhihirisha kwenye eneo la oganaizesheni na kifedha. Hilo nililibainisha katika makala yangu yaliyopita. Bado CHADEMA haina uwakilishi mpana katika ngazi za mashina na matawi. Niliandika, kuwa Dr Slaa anaweza kutua na helikopta Pawaga Iringa, lakini mara ile akiruka, huku nyuma hakuna watendaji wa CHADEMA wa kufanya kazi ya CHADEMA. Kuna taarifa pia za wagombea wake ubunge na udiwani kukosa nguvu za kifedha kuendesha kampeni .

Zitto Kabwe bado ni kitendawili:
Niliandika, kuwa Zitto Kabwe n i kada nyota ndani ya CHADEMA, lakini ‘sarakasi’ zake za kisiasa huenda zinachangia kukidhohofisha chama chake kuliko kukipa nguvu. Alipata kulipotiwa na magazeti kutamka hadharani kuwa anajiandaa kugombea urais 2015. Zitto Kabwe alituachia maswali; Kulikoni ndani ya CHADEMA? Je, Dr Slaa ni mgombea wa ‘msimu’ tu? Au ndio sababu Zitto Kabwe hakuhudhuria Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CHADEMA? Niliandika, kuwa kuna watakaouliza. Na maswali yanaongezeka.

Inachojivunia CHADEMA:
Bado ni chama kinachoonyesha kuwa na mvuto kama kitajipanga vema. Kuna vijana wengi na hususan wasomi wenye kuvutiwa na CHADEMA. Hizi ni dalili njema kwa CHADEMA kwa siku zijazo, endapo zitabaini mtaji huo , kuuwekeza na kuutumia vema mbele ya safari.

CUF: CHAMA CHA WANANCHI
Leo naweza kukiri, kuwa nilikosea, nilipoandika, kuwa CUF ( Bara) safari hii kinaonekana zaidi kuwa ‘ jokeli’ katika karata za kisiasa. Kwa hali ilivyo sasa, CUF bado ni chama chenye nguvu na kilicho na mizizi kwenye baadhi ya maeneo ya nchi. Na kwa hakika, Profesa Ibrahim Lipumba bado anaonekana kuwa na nguvu katika kanda ya pwani na mikoa ya kusini.

Mathalan, kama Uchaguzi Mkuu utafanyika kesho, CUF ina hakika ya kunyakua kati ya viti 8 hadi 10 kutoka mikoa ya Kusini pekee; Lindi, Mtwara na Ruvuma. CUF ina nafasi ya kushinda viti vingi vya madiwani kutoka mikoa hiyo na hata kuweza kuongoza halmashauri moja au mbili. Tunduru ni moja ya majimbo ambayo CUF ina nafasi kubwa ya kutoa mbunge na madiwani.

Ndio, Profesa Ibrahim Lipumba bado ni tishio. Ana uzoefu na anautumia. Na siku ile CHADEMA na CUF watakapokubaliana kuunganisha nguvu na kutoa mgombea mmoja wa Urais, basi, CCM itakuwa shakani. Lakini si kwa sasa, zikiwa zimebaki siku 30 kabla ya Oktoba 31. Ninapoandika fikra hizi huru.
Maggid

Majidi ..uchambuzi murwa sana huu. Ila sidhani kama ni utabiri kwani kama alivyogusia mchangiaji mmoja humu ndani kama mtabiri Tanzania ni mmoja tu naye ni.....!
 
Uchambuzi wa Mjengwa unaongozwaa na hisia zaidi na mazoea..Anaogopa mabadiliko na mwangi wake.
Anatambua nguvu Ya Dr Slaa na Cahdema kwa sasa na yeye kama makada wengine wana hofu ya pamojaa..

inashangazaa mchambuzii wa kiwango chake kuogopa mabadiliko hata yale yanayoonekaa kuletaa ukombozi wa maisha ya watu kama anavyopenda kutufundisha kupitia picha za blogu yake kuhusu maisha ya watanzaniaa vijijini..

najiulizaa sana je watanazania tatizo letu kubwa hasa wenye upeo wa mambo (wasomi wa darasana na wasio wa darasani) ni ukosefu wa KUNDI LA KATI KIUCHUMI AU NI KUTOJIAMINI HATA KWA UELEWAA TULIO NAO????????????
 
Inachojivunia CHADEMA:
Bado ni chama kinachoonyesha kuwa na mvuto kama kitajipanga vema. Kuna vijana wengi na hususan wasomi wenye kuvutiwa na CHADEMA. Hizi ni dalili njema kwa CHADEMA kwa siku zijazo, endapo zitabaini mtaji huo , kuuwekeza na kuutumia vema mbele ya safari.

Sijui hata anaelewa anachosema. Upembuzi wake unachukuliwa kuwa historia ya 2005 itajirudia bila ya kutoa matongotongo kwanza na kujionea hali ya kisiasa ilivyo hapa nchini ni tofauti na ile ya mwaka 2005. Vile vile inaonyesha hana uhakika pale anaposema labda Chadema ikijipanga vizuri..............sasa namweleza Chadema wamejipanga vizuri sana

Mimi sijui yupo humu nchni kweli?
 
Majidi ..uchambuzi murwa sana huu. Ila sidhani kama ni utabiri kwani kama alivyogusia mchangiaji mmoja humu ndani kama mtabiri Tanzania ni mmoja tu naye ni.....!

https://www.jamiiforums.com/members/shkh-yahya.html
shkh Yahya
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-online.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateFri Oct 2010Posts1Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts

:llama:
 
wenye kupanga mikakati ya kivita wanajua, kuwa matokeo ya ushindi wa kivita hufahamika kabla risasi ya kwanza kupigwa. Inahusu matayarisho, malengo, mbinu na mikakati.

Ninapoandika haya, zimebaki siku 30 kabla ya watanzania wenye sifa za kupiga kura hawajapanga foleni ya kwenda kupiga kura, nchi nzima. Kuchagua madiwani, wabunge na rais.

Zilipobaki siku 45 kabla ya oktoba 31, 2010 nikaandika; “ kama uchaguzi mkuu ungefanyika leo…” . Ilikuwa ni tathmini yangu kutokana na uzoefu wangu wa chaguzi zetu na hali halisi ninayoiona. nikathubutu kuandika, kuwa mgombea wa kiti cha urais kutoka chama cha mapinduzi, bw. Mrisho jakaya kikwete, angeibuka kuwa mshindi, na kwamba ccm ingepata wabunge wengi na madiwani. Kwamba dr wilbrod slaa, mgombea urais kutoka chadema angechukua nafasi ya pili.

kwamba chadema ingekuwa ya pili pia kwa idadi ya wabunge na madiwani kutoka bara. Nikabainisha, kuwa profesa ibrahim lipumba, mgombea urais kutoka cuf angechukua nafasi ya tatu.

leo, zikiwa zimebaki wiki nne kabla ya siku ya uchaguzi naiona hali iliyobadilika katika uwanja huu wa mapambano ya kisiasa. Naiona hali ifuatayo kama uchaguzi ungefanyika kesho.

Mgombea wa ccm, jakaya kikwete angeibuka kuwa mshindi. Profesa ibrahim lipumba angeshika nafasi ya pili na huku dr wilbroad slaa angetoka akiwa mshindi wa tatu. Vivyo hivyo, ccm ingetoa wabunge na madiwani wengi ikifuatiwa na cuf na chadema. Kwamba cuf ndio ingekuwa chama kikubwa cha upinzani bungeni na hivyo basi, kutoa kiongozi wa upinzani bungeni kama ilivyokuwa katika bunge lililopita.

nafahamu kuwa hii ni tathmini itakayowakera baadhi humu mtandaoni, lakini najisikia huru na kuona umuhimu wa kuandika tathmini yangu hii kwa madhumuni ya kuchochea mjadala na kujifunza pia. Ni ukweli, kuwa ukweli mwingine unahuzunisha, lakini ni lazima usemwe. Maana, ukweli ni uhuru pia.

ni nini basi tafsiri ya nilichokiandika? Kama tungekuwa na uchaguzi mkuu kesho, jakaya mrisho kikwete angeunda serikali huku yeye na chama chake wakikabiliwa na changamoto kama nilizozielezea katika makala yangu yaliyopita. Kwamba changamoto kubwa itatokana na upinzani utakaokuwa umeongezeka nguvu ndani na nje ya bunge kutokana na ujio wa dr slaa kama mgombea urais katika uchaguzi wa mwaka huu. na ziada hapo, ni kuibuka kwa cuf bara kama chama chenye wabunge kati ya 10 na 15 na idadi ya kutia moyo ya madiwani.

huko nyuma nilibainisha, kuwa viashria vya jamii inayotaka mabadiliko vimeshaonekana. ccm itakuwa na mawili ya kuchagua; kuchukua jukumu la kuyaongoza mabadiliko hayo au kusubiri kuzamishwa na mkondo wa maji ya mabadiliko hayo.

Historia ni mwalimu mzuri. Matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005 na uchaguzi wa serikali za mitaa wa oktoba mwaka jana yanaiweka ccm na mgombea wake urais mahali pazuri zaidi kiushindi kulinganisha na cuf na chadema. angalia taarifa hii; uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika oktoba mwaka jana ulimalizika kwa kukipa ushindi mnono chama cha mapinduzi. Chama hicho kilipata ushindi wa asilimia 91.71 za kura, kikifuatiwa kwa mbali na cuf iliyopata asilimia 3.94 na chadema asilimia 2.76.

Katika mkoa wa dar es salaam pekee, chama hicho tawala kiliibuka na ushindi mnono kwa kupata viti 402 kati ya 448, sawa na asilimia 91, huku wapinzani wakiambulia viti 40, sawa na asilimia tisa tu. Katika mkoa wa iringa ninakoishi, chadema, ilifanikiwa kushinda mtaa mmoja wa kihesa kilolo “b”,. Ni kwenye kata ya mtwivila manispaa ya iringa.

Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005. Ccm na mgombea wake urais waliibuka washindi. Jakaya kikwete alipata zaidi ya kura milioni 9.2 . Alifuatiwa na profesa lipumba aliyepata kura milioni 1.3 na huku mgombea wa chadema , freeman mbowe akiambulia kura laki 7.
Pamoja na profesa lipumba na chama chake cha cuf kuwa cha pili, hakikupata mbunge wa kuchaguliwa huku chadema ikipata nafasi hiyo ya kuwa na wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya watano katika bunge la jamhuri ya muungano.

Kwa hali ilivyo kwa sasa, ccm bado wanajivunia:
kuwa ni chama kikongwe, kikubwa na kilichotawala kwa muda mrefu. Na nilibainisha huko nyuma, kuwa kuna hata wanaokipigia kura chama hicho ‘ kwa mazoea tu’. Na katika nchi zetu hizi; kukiondoa chama kilicho madarakani, chama kilichopigania uhuru au kinachotokana na chama kilichopigania uhuru ni kazi ngumu sana. Kwa anayetaka kufanikiwa katika hilo, anahitaji kwenda ilipo mizizi ya chama hicho. Ni vijijini. na huko vijijini kwa leo hii chama wanachokijua ni ccm. Naam. Ndio ‘ zimwi’ wanalolijua.

Mwanakijiji atatembea kwa miguu kilomita kumi kwenda kuhudhuria mkutano wa ccm. Atakwambia amepewa taarifa ya mkutano na balozi wake wa nyumba kumi. hivyo basi, ccm wanajivunia mtandao wao wa kichama kuanzia ngazi ya balozi wa nyumba kumi, shina, tawi na kuendelea. Na hata mtandao wa kiserikali.

nyongeza ya udhaifu wa ccm:
kwamba ccm inajivunia ‘k’ zake tatu; chama kikongwe, kikubwa na kinachotawala, basi, kuna baadhi ya watendaji ndani ya chama hicho walioshindwa kusoma alama za nyakati. Wanafanya kazi zao kwa mazoea. Jambo hilo limeigharimu ccm muda na rasilimali katika jitihada za kuziba mashimo. matokeo ya uchaguzi wa oktoba 31 hayataiacha ccm na mfumo mzima wa uendeshaji nchi katika hali iliyozoeleka. Subirini, mtaona.

mama salma kikwete na ridhiwani kikwete:
Wawili hawa wamekuwa kiini cha mijadala itakayoendelea huenda hata baada ya uchaguzi kwisha. Tangu uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 uliomwingiza madarakani jakaya kikwete, tanzania imeshuhudia aina mpya ya harakati na kampeni za kisiasa zenye kuhusisha mke wa mgombea na hata wana familia ya karibu kama hili la mke na mwana wa rais, ridhiwani kikwete.

Inaonekana sasa, kuwa zama za ‘ first lady’ kuwa ‘ mama wa nyumbani’ ikulu zimepita. Ni dhahiri, kuwa kwa mgombea wa ccm, jakaya kikwete, amenufaika sana na ushiriki wa karibu wa mkewe na mwanawe ridhiwani. Na si kwa jakaya kikwete tu, ccm kama chama, wagombea ubunge wake wananufaika kwa kiasi kikubwa na uwepo wa mama salma kikwete na ridhiwani kwenye kampeni.

wote wawili, salma kikwete na ridhiwani kikwete wana mvuto wa kisiasa unaoongezewa nguvu na wao kuwa wanafamilia ya rais aliye madarakani na ambaye bado, kiukweli, ana mvuto kwa watanzania walio wengi.

katika mazingira ya sasa, salma kikwete na ridhiwani kikwete wanafanya kile ambacho jakaya kikwete hawezi kukifanya kwa urahisi kwenye kampeni kutokana na kubanwa na itifaki. Mama salma kikwete anaweza kufanya mikutano ya ndani lindi, mtwara na kwingineko akiongea na kundi kubwa la wapiga kura, wanawake, kwa lugha yao. Amefanya hivyo 2005 na sasa ana uzoefu zaidi. anaongeza kura za jk.

Vivyo hivyo kwa ridhiwani kikwete, naye ana ametokea kwenye chipukizi wa ccm na kuingia kwenye umoja wa vijana wa chama hicho na kushika nafasi za uongozi. Ridhiwani ana mtandao mpana wa kichama ndani ya jumuiya hiyo na hata nje. Ni karata muhimu kisiasa. ingekuwa ajabu kama asingezunguka kumtafutia kura zaidi mgombea wa chama chao ambaye pia ni baba yake.

Chadema:
Ujio wa dr slaa:
Niliandika, kuwa ujio wa slaa, sio tu umewashangaza ccm na mgombea wake urais, bali pia unaonekana kuwashangaza chadema wenyewe wanaoonekana kutokujiandaa na namna dr slaa alivyopokewa na wananchi. Dr slaa ameongeza msisimko kwenye siasa za nchi yetu. Watu wengi wana shauku ya kumsikiliza, kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa 1995 uliomwibua augustino mrema. Akijipanga vema, hata baada ya uchaguzi huu. Akafanya kazi ya chadema nje ya bunge na kutembea nchi nzima, basi, dr slaa anaweza kuwa tishio kwa ye yote ndani ya ccm atakayekuja kupambana nae.

Udhaifu wa chadema
unajidhihirisha kwenye eneo la oganaizesheni na kifedha. Hilo nililibainisha katika makala yangu yaliyopita. Bado chadema haina uwakilishi mpana katika ngazi za mashina na matawi. Niliandika, kuwa dr slaa anaweza kutua na helikopta pawaga iringa, lakini mara ile akiruka, huku nyuma hakuna watendaji wa chadema wa kufanya kazi ya chadema. Kuna taarifa pia za wagombea wake ubunge na udiwani kukosa nguvu za kifedha kuendesha kampeni .

Zitto kabwe bado ni kitendawili:
Niliandika, kuwa zitto kabwe n i kada nyota ndani ya chadema, lakini ‘sarakasi’ zake za kisiasa huenda zinachangia kukidhohofisha chama chake kuliko kukipa nguvu. alipata kulipotiwa na magazeti kutamka hadharani kuwa anajiandaa kugombea urais 2015. Zitto kabwe alituachia maswali; kulikoni ndani ya chadema? Je, dr slaa ni mgombea wa ‘msimu’ tu? Au ndio sababu zitto kabwe hakuhudhuria mkutano wa ufunguzi wa kampeni za chadema? Niliandika, kuwa kuna watakaouliza. Na maswali yanaongezeka.

Inachojivunia chadema:
bado ni chama kinachoonyesha kuwa na mvuto kama kitajipanga vema. Kuna vijana wengi na hususan wasomi wenye kuvutiwa na chadema. Hizi ni dalili njema kwa chadema kwa siku zijazo, endapo zitabaini mtaji huo , kuuwekeza na kuutumia vema mbele ya safari.

Cuf: Chama cha wananchi
leo naweza kukiri, kuwa nilikosea, nilipoandika, kuwa cuf ( bara) safari hii kinaonekana zaidi kuwa ‘ jokeli’ katika karata za kisiasa. Kwa hali ilivyo sasa, cuf bado ni chama chenye nguvu na kilicho na mizizi kwenye baadhi ya maeneo ya nchi. Na kwa hakika, profesa ibrahim lipumba bado anaonekana kuwa na nguvu katika kanda ya pwani na mikoa ya kusini.

mathalan, kama uchaguzi mkuu utafanyika kesho, cuf ina hakika ya kunyakua kati ya viti 8 hadi 10 kutoka mikoa ya kusini pekee; lindi, mtwara na ruvuma. Cuf ina nafasi ya kushinda viti vingi vya madiwani kutoka mikoa hiyo na hata kuweza kuongoza halmashauri moja au mbili. Tunduru ni moja ya majimbo ambayo cuf ina nafasi kubwa ya kutoa mbunge na madiwani.

ndio, profesa ibrahim lipumba bado ni tishio. Ana uzoefu na anautumia. Na siku ile chadema na cuf watakapokubaliana kuunganisha nguvu na kutoa mgombea mmoja wa urais, basi, ccm itakuwa shakani. Lakini si kwa sasa, zikiwa zimebaki siku 30 kabla ya oktoba 31. Ninapoandika fikra hizi huru.
maggid

as good as nothing....!
 
Back
Top Bottom