Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,460
Ndege ya Uchumi:
Kwani nani amekwambia kuwa kumiliki gazeti ina maana kila habari iliyoandikwa kwenye gazeti husika imeandikwa na mmiliki wa gazeti? Uhuru linamilikiwa na CCM, ina maana kila habari katika uhuru imeandikwa na Mwenyekiti wa Chama hicho? Na Freeman Mbowe anamiliki gazeti la Tanzania Daima. Ina maana Freeman Mbowe ndiye anayeandika habari kwenye gazeti hilo? Gazeti lilikuwa na mhariri na habari hiyo haikuandikwa na mimi. Kama mtu ni mjinga, lakini hajui kama ni mjinga, unafanyaje?
Mkuu kwa Tanzania wamiliki wa Magazeti wana Influence kubwa katika habari zinazoandikwa na Magazeti, na Wahariri wowote Makini wanapogundua kama gazeti lake limeandika habari ya Uongo kwa bahati Mbaya huwa linatoka na Kuomba Radhi kwa Uzito ule ule lilivyoripoti habari ya Uongo, tumeshuhudia magazeti makini yakifanya hivyo. Sasa wewe ukiwa mmiliki wa Gazet baada ya kugundua kwamba hazeti lako lilimchafua Dr. Slaa Uliomba Radhi? Kama Hukuomba maana yake Aidha wewe ndiye uliyetunga ile habari au Ulifurahia huo uongo
Kimsingi hii habari nimeiweka hapa ili ku question credibility yako