Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Mpaka amepandishwa Kizimbani inatokana na uchunguzi kwa nini uanze shaka?!?! na ndi maana ni mtuhumiwa mashahidi watakuja toa ushahidi!Sijui kwa nini nahisi kuna watu wanaweza kubambikiwa kesi hapo!
Weledi wa detectives wetu ni mdogo sana aisee.