MUTTAZ
JF-Expert Member
- Feb 27, 2016
- 296
- 237
Yaani wanawake wengine jamani!Mjane wa Erasto Msuya, Mariam Mrita apandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za mauaji ya Aneth Msuya (wifi yake).
Yaani wanawake wengine jamani!Mjane wa Erasto Msuya, Mariam Mrita apandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za mauaji ya Aneth Msuya (wifi yake).
hazipotei mkuu huenda huelewi zipo adhabu zinazoonekana kwenye ulimwengu wa damu na nyama ambazo wewe umekariri ila pia zipo adhabu zinazotolewa na hakimu wa haki ambaye ni Mungu huenda wewe huzijui hizoNyingi tu zimepotea bure .......usikariri...!
Usisahau kwamba hata wauaji wanaungama mbele ya Mungu na wanasamehewa vile vile!hazipotei mkuu huenda huelewi zipo adhabu zinazoonekana kwenye ulimwengu wa damu na nyama ambazo wewe umekariri ila pia zipo adhabu zinazotolewa na hakimu wa haki ambaye ni Mungu huenda wewe huzijui hizo
Kuua sio mpaka wewe uwe umemchinja. Unaweza kuwa umepanga mipango yote na kuwatuma vijana wakatekeleze..
.
.
2. Huyu mama ndiye aliyeshika kisu na kumchinja mtu kweli?
It will turn to a badly investigated and prosecuted case!Ngoja upelelzi utajibu maswali yako yote.
inawezekana ikawa kweli.Maana tunaambiwa during mauaji documents zilikutwa zimevurugwa..meaning kuna kitu walikuwa wanakitafuta hapo.Sad sad...haki itendeke kwakweliHabari ninayokupa ni ya uhakika. Naifahamu familia kwa karibu. Na mkasa wote wa mauaji. Huyo marehemu Anathe kaka yake marehemu Erasto alimuandika jina lake katika mali zake nyingi. Kwahiyo nadhani akawa anamnyima usingizi wifi.
dah basi tenaIt will turn to a badly investigated and prosecuted case!
Binafsi akili inagoma kabisa kukubali kuwa huyu mjane wa Erasto ndio muhusikaKibongo bongo kutajwa tu inaweza kutosha kabisa.
Si umesikia kuna habari zinasema kuwa eti yule mdada wa kazi ndo alimtaja...
Sasa hapa najiuliza...huyo wifi atakuwa ju.ha kiasi gani kumhusisha mdada wa kazi kwenye mpango wa kutoa uhai wa wifi yake?
Pia, huyo mdada wa kazi anasema ukweli kiasi gani? Manake isije ikawa naye anadanganya ili asiendelee kupata joto ya jiwe.
Anyway, nadhani wengi wetu hatuujui ushahidi walionao polisi...hivyo labda wana zaidi ya tunavyojua sisi.
ebu angalieni pia pingu vema yeye inaonesha hana pingu aliyefungwa pingu ni binti pembeni. Hawa waandishi nao naona wanavutia magazetiDuuu wanasema Miriam ndie kamuua halafu hapo hapo upelelezi haujakamilika ?
Apple kwa kiswahili ni tofaaKiswahili ni lugha pana sana.
Na sisi wazungumzaji wake wengi hatuijui kivile.
Hebu siku moja jaribu kuuliza watu tunda la 'apple' kwa Kiswahili linaitwaje uone...
Kulikuwa na kesi ya mirathi mahakamani, na dada wa marehemu ameandikwa kwenye mali. kwahiyo utaona kwa akili ya kijinga kumuua walidhani ndio itakuwa suluhisho la wao kupata mali zote.Nadhani hii inaweza kuwa conclusion ya kijiweni. Sasa kama alikuwa ameandika jina lake kwenye mali hata kama angeuawa isingebadilisha kitu. Tuombe tu upelelezi wa hii kesi usiwe unaongozwa na fedha bali haki.
Sio sheria za mirathi. Kama mdogo mtu ni signatory wa account anaweza ku freeze mpaka mirathi imalizike. Tatizo likowapi hapo.Hapo unaongea mambo 2 tofauti...kuna sheria na offiside kumbuka.......huyu marehemu kumbuka alikua anafanya bank na bado mirathi ilikua bado haijakamilika manake mirathi inakamilika namna gani wakati kesi iko mahakamani??