Huyo mjane ndio aliyekodi watu wakamchinje wifi yake (dada wa marehemu). Akishirikiana na Jamaa ambaye ndio ana mahusiano naye (baada ya mume wake kufariki). Na kuna ushahidi wa uhakika kwamba ndiye aliwatuma hao chinja chinja. House girl alikuwa anajua hiyo issue.Chanzo tafadhali...
Na waliomchinja huyo dada je?
Au huyo mjane ndo alifanya yeye huo uchinjaji?
Apple kwa kiswahili ni tufaraKiswahili ni lugha pana sana.
Na sisi wazungumzaji wake wengi hatuijui kivile.
Hebu siku moja jaribu kuuliza watu tunda la 'apple' kwa Kiswahili linaitwaje uone...
Hahaha eti,ushakuwa shilawaduKibongo bongo kutajwa tu inaweza kutosha kabisa.
Si umesikia kuna habari zinasema kuwa eti yule mdada wa kazi ndo alimtaja...
Sasa hapa najiuliza...huyo wifi atakuwa ju.ha kiasi gani kumhusisha mdada wa kazi kwenye mpango wa kutoa uhai wa wifi yake?
Pia, huyo mdada wa kazi anasema ukweli kiasi gani? Manake isije ikawa naye anadanganya ili asiendelee kupata joto ya jiwe.
Anyway, nadhani wengi wetu hatuujui ushahidi walionao polisi...hivyo labda wana zaidi ya tunavyojua sisi.
But come on man...what do you expect in here?
This is the court of public opinion....anything goes...
Prove me wrong.......wa vizimba vyao viko wapi?
Mama saimon..........dahHuyo mjane ndio aliyekodi watu wakamchinje wifi yake (dada wa marehemu). Akishirikiana na Jamaa ambaye ndio ana mahusiano naye (baada ya mume wake kufariki). Na kuna ushahidi wa uhakika kwamba ndiye aliwatuma hao chinja chinja. House girl alikuwa anajua hiyo issue.
Apple kwa kiswahili ni tufara
Mweh!Apple kwa kiswahili ni tufara
Hmm!Huyo mjane ndio aliyekodi watu wakamchinje wifi yake (dada wa marehemu). Akishirikiana na Jamaa ambaye ndio ana mahusiano naye (baada ya mume wake kufariki). Na kuna ushahidi wa uhakika kwamba ndiye aliwatuma hao chinja chinja. House girl alikuwa anajua hiyo issue.
Ni kweli mkuu huyu mama ni kama mafia...kwanza kabla ya kukutana na erasto alikua ameolewa akamwambia jamaa wewe huna coin bwana niache ndio akaja oana na erasto..kabla ya erasto kufa like 4 months walikua kwenye mgogoro mzito wa kutengana, baada ya erasto kuuwawa,,, marehemu wifi yake ali freeze accounts zoote za kaka yake mpaka kesi iishe na mirathi ifikiwe kitu ambacho naskia mjane hajakifurahia kabisa, ila kumbuka baba wa marehemu nae yuko mererani na mtoto wake wa kiume nao ni wa mjini tuu...nakubaliana na wewe kwamba kuna chezo hapoKuna chezo linaendelea hapo na haliko sawa
Nashukuru Kuna siku nilisema alinishikia bastola Kuna watu wajabwabwaja saaana huyo mwanamke mmmmh nilijua siku yake itafika kanyege debe masikini wa roho Na akiliNi kweli mkuu huyu mama ni kama mafia...kwanza kabla ya kukutana na erasto alikua ameolewa akamwambia jamaa wewe huna coin bwana niache ndio akaja oana na erasto..kabla ya erasto kufa like 4 months walikua kwenye mgogoro mzito wa kutengana, baada ya erasto kuuwawa,,, marehemu wifi yake ali freeze accounts zoote za kaka yake mpaka kesi iishe na mirathi ifikiwe kitu ambacho naskia mjane hajakifurahia kabisa, ila kumbuka baba wa marehemu nae yuko mererani na mtoto wake wa kiume nao ni wa mjini tuu...nakubaliana na wewe kwamba kuna chezo hapo
Hahaa mama saiJamaa aiekua anamkula namjua..nae kasombwa juzi kuamkia jana woote wako ndani ya nondo woote
Nendeni juu la lugha, mnazingua
Apple = TufaaKiswahili ni lugha pana sana.
Na sisi wazungumzaji wake wengi hatuijui kivile.
Hebu siku moja jaribu kuuliza watu tunda la 'apple' kwa Kiswahili linaitwaje uone...
Tufaha spelling mistake nyani ngabuMweh!
Tufara ndo lidubwana gani tena wewe?
Mapoyoyo washeria awalijuii hilii Mpwa kwenda NA condom guest sio lazima uzitumie ulize wanaojisahau MPAKA wakezao wanazifulia KWENYE maji wanashtuka pesa kumbe boksi la..Kumbuka kesi haijaisha na mkataa haujatoka bado.
Kwa sasa ni tuhuma tu.
Wanasheria wake wamejipangaa Mpwa subiri aibu juuya aibu zinakuja NA zile maliwalizochukua watazirudisha NA ulimiSijui kwa nini nahisi kuna watu wanaweza kubambikiwa kesi hapo!
Weledi wa detectives wetu ni mdogo sana aisee.