Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi mlinzi? housegirl etc?Mpaka apandishwe kizimbani ipo namna arroo
Walishakamatwa si ndo walimtaja au?!vipi mlinzi? housegirl etc?
Niliweka hapa wengi walinishangaa
nnazo thread nilitaja condom kwa kiswahili inaitwa 'kifudusi'
apple linaitwa 'shufaa'
Apple ni tufaha.
Shufaa maana yake ni [1] msamaha apatao mtu baada ya kutenda kosa na kuomba asamehewe [2] ni nafuu, afueni kama apatayo mgonjwa anapoanza kupona maradhi yake.
Nadhani wameona kumshikilia huyo dada for that long bila kumpandisha mahakamani wataharibu kesi.
Waliomchinja yule dada hawajakamatwa sasa sijui watamshtaki na ushahidi gani mpaka awe convicted
Yap ni tufaa..nime mix kidogo na shufaa
Unajua strawberry kwa kiswahili?
Strawberry sijui kwa kweli.
Labda ni 'stroberi'...
Manake police ni polisi...sentence ni sentensi...radio ni redio....
Strawberry tulivyokuwa wadogo kuna mkoa nje ya Dar yapo
tulikuwa tunachuma zikiitwa 'fursadi' au 'mafursadi'
Sasa Azam wanayo soda ya Strawberry wanaiita 'fursana'
Unaweza ona jinsi lugha inavyo develop
unakumbuka 'changudoa' ni samaki lakini
na zamani 'changudoa' ilikuwa ni 'chokoraa'
Now imeshabeba maana ya wasichana wanaojiuza barabarani
Naona tuache kuwa waendesha mashtaka , wachunguzi na mahakimu.
Hiyo Fursana ya Azam nishainywa na haina ladha ya strawberry.
Ina ladha kama ya Vimto...zabibu zabibu hivi.
wa vizimba vyao viko wapi?Walishakamatwa si ndo walimtaja au?!
Linaitwa tufaha au nimekosea??Kiswahili ni lugha pana sana.
Na sisi wazungumzaji wake wengi hatuijui kivile.
Hebu siku moja jaribu kuuliza watu tunda la 'apple' kwa Kiswahili linaitwaje uone...
Linaitwa tufaha au nimekosea??
Apple ni tufaha.
Shufaa maana yake ni [1] msamaha apatao mtu baada ya kutenda kosa na kuomba asamehewe [2] ni nafuu, afueni kama apatayo mgonjwa anapoanza kupona maradhi yake.
Nendeni juu la lugha, mnazingua