Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
wananiboa miye..
Usikate tamaa jaribu tena.
wananiboa miye..
usikate tamaa jaribu tena.
mjadala bado unaendelea natamani usiishe,jamaa anakamua anasema iko siku silaha za majeshi hazitatosha wananchi wakiamua watakuwa wameamua
jamani leo mnaelekezana namna ya kupiga simu? tuleteeni mtiririko wa mjadala jamani wenzenu hatupati TV hata hizo za online jamani, please. nasikia mwili unanisisimka hapa kwa hasira na hawa viongowezi wetu