KAMA UMEANGALIA ITV, MKINGA ANATOJA MAJINA YA WATU BILA YA KUWA NA EVIDENCE
je kwanini ITV wanamualika MKinga mchochezi? kwanini anawachonganisha viongozi na wananchi?
what if Jk akiwafungia ITV na JF kwa kuleta uchochezi?
He will speak when he has something to say, not speaking because you want him to say something.
Anasubiri taarifa toka kwa watendaji wake ili awe na cha kusema.
Serikali haiendeshwi kwa pressure toka kwa anonymous mtandaoni.
OOh! Please! Ametoa speech ya mwaka mpya he said nothing zaidi ya Gharama za umeme ni lazima zipande nakutupa story za Sudan etc etc. Kwani hakujua hilo la umeme wakati wa kampeni? mbona alidanganya wananchi? Raisi gani hana vision!!! He is suppose to see at least a little bit further asiishie on the tip of his nose. Unaweza mtetea sana lakini it wont help, watanzania wasio na umeme ni wengi, walioahidiwa pembejeo ni wengi na hawajapata, waliohaidiwa barabara za juu kwa juu ni wengi etc etc. Oh I forgot na wingi wa magari ndio kipimo cha maendeleo I guess itabidi yanunuliwe mengi zaidi, kwa kasi zaidi. Ha ha ha !!! He need to address issues that are important to Tanzania people no excuse!!
He will speak when he has something to say, not speaking because you want him to say something.
Anasubiri taarifa toka kwa watendaji wake ili awe na cha kusema.
Serikali haiendeshwi kwa pressure toka kwa anonymous mtandaoni.
KAMA UMEANGALIA ITV, MKINGA ANATOJA MAJINA YA WATU BILA YA KUWA NA EVIDENCE
je kwanini ITV wanamualika MKinga mchochezi? kwanini anawachonganisha viongozi na wananchi?
Kama unataka rais afanye haya yote, basi hakuna sababu ya kuwa na baraza la mawaziri, makatibu wakuu wa wizara na wakurugenz wa idara za serikali na mashirika ya umma pia. Rais aliye madarakani atekeleze kila kitu, mwenyewe, ndio unavyotaka. If you know the concept ya delegation.
Halafu, kwa taarifa yako, usipende kumpa mtu side. Wengine hatuna vyama humu wala hatufuati mkondo wa wengi bali ukweli wa issue yenyewe.
Achana na hizo kauli za kutetea.
I am around.
He will speak when he has something to say, not speaking because you want him to say something.
Anasubiri taarifa toka kwa watendaji wake ili awe na cha kusema.
Serikali haiendeshwi kwa pressure toka kwa anonymous mtandaoni.
Kama unataka rais afanye haya yote, basi hakuna sababu ya kuwa na baraza la mawaziri, makatibu wakuu wa wizara na wakurugenz wa idara za serikali na mashirika ya umma pia. Rais aliye madarakani atekeleze kila kitu, mwenyewe, ndio unavyotaka. If you know the concept ya delegation.
Halafu, kwa taarifa yako, usipende kumpa mtu side. Wengine hatuna vyama humu wala hatufuati mkondo wa wengi bali ukweli wa issue yenyewe.
Achana na hizo kauli za kutetea.
I am around.
Mnatumia theory za relativity kumhukumu Rais. Hata kama kuna blunders zimefanyika hapa, lakini nchi ina sheria, kanuni na taratibu katika maamuzi.
Je, mwanasheria mkuu au ngeleja wana mamlaka ya kupitisha ulipwaji wa DOWANS? Nani ana uhakika kama DOWANS watalipwa au hawatalipwa bila kupitishwa na Bunge?
Baada ya kufuatilia mjadala huu wa ITV yafuatayo ni machache niliyoyang'amua....
Ni wazi mjadala ulikuwa wa kichochezi zaidi kuliko elimishi.
Rugemeleza amejaribu kuwa mkweli zaidi na kuepuka siasa nyingi lakini pia hulka yake ya hamasa tele imemfanya kuwa anajichanganya mambo mengi. Mojawapo ni hili suala la mikataba kwenda bungeni huku akitambua kuwa mkataba unaongelewa hapa ni wa Dowans Vs Tanesco na sio wa nchi na nchi. Lakini zaidi ameshindwa kuonyesha ni jinsi gani serikali inaweza kuingia katika kesi hii. Vile vile Rugemeleza amejichanganya katika suala la mikataba kuingia bungeni kwa hoja ya kuwa hiyo itasaidia kuepuka mikataba mibovu wakati ambapo katika maelezo yake anakiri kuwa mkataba huo hauna tatizo katika vipengele vyake isiopokuwa uhalali wake na pia makosa ya serikali kukubali suala hilo kupelekwa katika mfumo wa sheria wa nje ambao ukweli ni kuwa unakiuka hata vipengele vya mkataba huo.
Hata hivyo ni wazi kuwa wakati wenzake walishadadia sana katika upande wa kisiasa wa suala hilo, ni yeye pekee aliyeweza kutuelimisha upande wa kisheria ambao ndio muhumu zaidi wakati huu tunajitahidi ujinusuru na janga hili.
Mkinga was just being Mkinga lakini ni wazi kuwa ushabiki wake katika siasa za makundi ya MTANDAO umemfanya ajichanganye kupita kiasi hivyo kufanikiwa kuhemusha hisia za watu wa kawaida na washabiki wa kisiasa lakini kushindwa kuwaelimisha wale wenye weledi na busara.
Kibamba ameendelea kujikuta akitumia kauli mbiu na ajenda za chama chake huku akijinasabisha na uanaharakati. Ukweli ni kuwa wakati hawa wote wamejitambulisha kuwa ni wanaharakati lakini maoni yao yameonyesha wazi jinsi gani mitizamo yao ilivyoathiriwa na uanachama, ufuasi na ushabiki wa vyama vyao zaidi ya maslahi ya Tanzania.
Kibamba ni mwanachama hai wa Chadema na pia Michael Dalali ambae naambiwa ni mdogo wa damu wa mbunge wa Chadema Mheshimiwa John Mnyika wakati Mkinga ni kada mfu wa CCM ambaye maslahi yake yameegemea katika kundi za Membe na Samweli Sitta dhidi ya Lowassa na Rostam Azizi.
Ni wazi kutokana na mchanganyiko huo ukijumuishwa na hulka ya kugubikwa na hamasa zinazozidi busara za Rugemeleza zimesababisha kukosekana na hoja makini ambazo zinngeweza kuwaelimisha watanzania zaidi ya kuhemusha hisia zao tu. Mchanganyiko huo pamoja na tabia ya muongoza kipindi Chuwa ya kuwa mshiriki wa kipindi kama ile ya Mzee Mwakwaia wa Kuhenga wa Channel Ten umekosesha haki ya watanzania kujua ukweli wa ndani wa sakata hilo ingawa umefanikisha kuongeza nguvu hoja na maslahi ya kisiasa katika sakati hili huku watanzania wakiendelea kukosa umeme na uchumi kuendelea kuzama. Ni wazi kuwa hiyo ni dhumuni kuu la wengi wa wanasiasa wetu nchini lakini ni wazi si kwa faida ya watanzania katika mizania ya maslahi ya muda mrefu
Pata audio ya mdahalo huo hapa:
http://chirb.it/wLaDBN
Chirbit - mdahalo 2 - mambo - share audio easily
Chirbit - mdahalo 3 - mambo - share audio easily
Chirbit - mdahalo 4 - mambo - share audio easily
Chirbit - mdahalo 5 - mambo - share audio easily
Chirbit - mdahalo 6 - mambo - share audio easily
Chirbit - mdahalo 7 - mambo - share audio easily
Basi inavyoonekana hiyo taarifa kutoka kwa watendaji wake ataisubiri sana. Kwa hiyo huenda asiwe na chochote cha kusema.He will speak when he has something to say, not speaking because you want him to say something.
Anasubiri taarifa toka kwa watendaji wake ili awe na cha kusema.
Serikali haiendeshwi kwa pressure toka kwa anonymous mtandaoni.
Pata audio ya mdahalo huo hapa:
1 http://chirb.it/wLaDBN
2 Chirbit - mdahalo 2 - mambo - share audio easily
3 Chirbit - mdahalo 3 - mambo - share audio easily
4 Chirbit - mdahalo 4 - mambo - share audio easily
5 Chirbit - mdahalo 5 - mambo - share audio easily
6 Chirbit - mdahalo 6 - mambo - share audio easily (hii ndio kali zaidi)
7 Chirbit - mdahalo 7 - mambo - share audio easily
Namsikia Rugemeleza akitaja JF kama source yake ya ripoti ya Dowans.
KAMA UMEANGALIA ITV, MKINGA ANATOJA MAJINA YA WATU BILA YA KUWA NA EVIDENCE
je kwanini ITV wanamualika MKinga mchochezi? kwanini anawachonganisha viongozi na wananchi?
Aaah ilikuwa balaa,JK avunje baraza au ajiuzulu.