MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

Block, Pistons na valves haswa nahisi ndio spare parts (kimtaa mtaa) maana bila hizo chombo hakiendi. Lakini kinaweza tembea tu bila indicators, tail light etc. So niliposemea kuhusu spares kutoingiliana haswa nilimaanisha hizo jumlishia na carburators.

Week iloisha tumetafuta piston rings za boxer bm 100 karibia wiki nzima chimbo nyingi bila mafanikio hadi tukaagiza mkoa Moshi huko. Na bei yake ni balaa.

Lakini pia kwa mchina GN na CG spares nyingi mbali na tajwa hapo juu haziingiliani
Mkuuu, shukran sana kwa maelezo yako.
 
Naungana na wewe kwenye uchaguzi huu. Lakini angalizo kwa uzoefu anunue X150 ile ya 4 Speed, Hii ya 5 speed ataumia sana endapo atachoma clutch, sema inakimbia kweli kweli

Mkuu natanguliza shukrani.

Mkuu hii BM X150, 4 gears nimejaribu kuiulizia juu juu wakasema hazipatikani siku hizi. Je kuna dear gan ambae anazo ?
 
Oil kuna za 1500km (ambazo wataalam wanashauri badili at 1000km tumia total).

Lami inachanja mbuga haswa, mshindani wake kwa mbali labda Power King (mchina) iliyofungwa sproket kubwa mbele.

Mzigo inabeba
Mkuu samahani, naomba unijuze.
Nimejaribu kupitia sites kadhaa wanaisifiaa kwa performance yake wakisema inabeba na heavy load na ni nzuri kwa on-off roads, je ni kweli au ni lugha ya biashara? Kwa uzoefu wa waliowahi kuitumia hili imekaaje.
Screenshot_20200608-084034.png
Screenshot_20200608-084001.png
 

Attachments

  • Screenshot_20200608-084001.png
    Screenshot_20200608-084001.png
    147.9 KB · Views: 38
Mkuu samahani, naomba unijuze.
Nimejaribu kupitia sites kadhaa wanaisifiaa kwa performance yake wakisema inabeba na heavy load na ni nzuri kwa on-off roads, je ni kweli au ni lugha ya biashara? Kwa uzoefu wa waliowahi kuitumia hili imekaaje. View attachment 1471763View attachment 1471764
Mkuu,

Utamu wa ngoma uingie ucheze. Hizi pikipiki X150 ni nzuri kwa kweli. Zina nguvu, zina speed na zinavumilia mzigo. Tatizo ni matunzo, ukizembea Oil Change, ikawa inashikwa shikwa na kila mtu lazima utaichukia.

Angalizo: Boxer kwenye tope inateleza sana
 
Mkuu,

Utamu wa ngoma uingie ucheze. Hizi pikipiki X150 ni nzuri kwa kweli. Zina nguvu, zina speed na zinavumilia mzigo. Tatizo ni matunzo, ukizembea Oil Change, ikawa inashikwa shikwa na kila mtu lazima utaichukia.

Angalizo: Boxer kwenye tope inateleza sana
Shukran mkuu. Kwa kweli hii BM X150 nimeipenda sana. Kipindi cha nyuma nilvutia na haojue DH125 na kuzitilia shaka boxer ila kwa maelezo yenu wadau na fuatilia yangu hapa na pale kweli boxer hii nimeikubali.

Ngoja njipange niingie mjini nchkue chombo. Sema gear 4 kama walisema hilo toleo siku hizi et haliji.
 
Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.

Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
7.houjo
Fekon mkuu ndio mpango mzima...yani zimekuja kupoteza soko la san lg.

Wanakwambia zinakubali service,ukitia loba la machungwa piki piki inaamka huku unatafuna muwa bila shida.
 
Siku ukitaka kununua gari nadhani hapatakalika
hahah ahapana kabisa kule sina complications kabisa sitaki longo longo pia sina interest sana na style za magari na ikifika I go for a simple one ku move hapa kwenda pale.....hizo mambo nimekua naziona na sijawahi kuw ana interest.....mkwanja wa kununu sina pia..hata ukiwepo easy go
 
Shukran mkuu. Kwa kweli hii BM X150 nimeipenda sana. Kipindi cha nyuma nilvutia na haojue DH125 na kuzitilia shaka boxer ila kwa maelezo yenu wadau na fuatilia yangu hapa na pale kweli boxer hii nimeikubali.

Ngoja njipange niingie mjini nchkue chombo. Sema gear 4 kama walisema hilo toleo siku hizi et haliji.
Mkuu nakuhakikishia siku utakayomiliki boxer hutotamani tena kuendesha pikipiki za mchina, believe me!
 
Block, Pistons na valves haswa nahisi ndio spare parts (kimtaa mtaa) maana bila hizo chombo hakiendi. Lakini kinaweza tembea tu bila indicators, tail light etc. So niliposemea kuhusu spares kutoingiliana haswa nilimaanisha hizo jumlishia na carburators.

Week iloisha tumetafuta piston rings za boxer bm 100 karibia wiki nzima chimbo nyingi bila mafanikio hadi tukaagiza mkoa Moshi huko. Na bei yake ni balaa.

Lakini pia kwa mchina GN na CG spares nyingi mbali na tajwa hapo juu haziingiliani
Nina Dt nabadili block, jamaa wa veta anasema wanachonga block vizuri, ushauri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom