Kama wanachonga vizuri wapelekee hiyo Block yako wachonge. Kama ni Mara ya kwanza kuchongwa utabadili piston kutoka size 25 (Standard) na kutumia size 50 baada ya kulichonga pia utabadili na piston rings au utanunua piston na rings zake kisha hao wajaribu kufitisha kabla ujaondoka.Nina Dt nabadili block, jamaa wa veta anasema wanachonga block vizuri, ushauri?
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteKama huko kwenu ni off road sana..tafuta kitu XL honda 125..hutojuta aseee..sema ongeza bajeti manahizo ni parefu kidogo...
Ila kua xl toyo waweza cheki hizo.
#MaendeleoHayanaChama
Pia vipi kuhusu upatikanaji wa spare kwa urahisi. Usije ukakuta ikiaribika kila kitu ni mpaka miji mikubwa kaa Dar.Mkuu ongeza M 1 ununue XLR 250 hutojuta maisha yako yotee
Hiyo Ninja unazungumzia Kawasaki au?Kama kwa matembezi tafuta moja kati ya hizi hapa:
CBR 250 au 150...
Habari zenu wana JF
Nahitaji kununua pikipiki kwa ajili ya matembezi. Nitakua naitumia maeneo ya Kasulu ambapo kuna tope sana na vumbi jingi kipindi cha kiangazi. Bajeti yangu ni 2M mpaka 3M.
Nawasilisha, Naomba ushauri na maoni kutoka kwa wazoefu.
Habari zenu wakubwa?
Ninaomba ushauri tafadhali...