HISTAMINE
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 647
- 1,568
Lakini pia kutokuihalalisha hakuzuii mtoto wako ama ndugu wa karibu kutojihusisha nayo; ni sawa na matumizi ya sigara, pamoja na kuwa na madhara mengi kiafya lakini bado inapatikana madukani kwa wingi tu.. hivyo ni suala la mtu binafsi kutoamua kujihusisha nayo ikiwemo kuwakanya ndugu zake wa karibu madhara ya matumizi, kulingana na mtazamo wake..Always maisha yanaendeshwa na vi2 viwili akili (mind), na hisia(emotions).. ni rahisi sana kufanya maamuzi magumu kama hauko emotionally connected na suala unalolifanyia maamuzi.
Pale ambapo mtoto wako kipenzi atakapokwambia anajiuza ndipo utagundua umuhim wa kutumia hisia na akili katika kufanya maamuzi.