Mjadala: Je biashara ya uchangudoa ihalalishwe?

Mjadala: Je biashara ya uchangudoa ihalalishwe?

Noma sana!
Kuna madanguro inabidi yarasimishwe sasa
Mwananyamala kwa wahaya
Kona bar (hapa ni take away)
Lambo hotel Tiptop(take away pia)
Manzese uwanja wa fisi
Kimboka buguruni (take away)
Sokota Temeke
Mbagala rangi tatu
China town Bagamoyo rd Karibu na samakisamaki
.....
.....
.....
 
Baada ya kuua biashara nyingi huko mtaani sasa mnataka kuwageukiwa wauza k!!!! Tafadhali jamani msiwaharibie biashara wenzenu.
Hakuna sekta iliyowahi kuguswa na Awamu hii ikabaki salama.
 
Baada ya kuua biashara nyingi huko mtaani sasa mnataka kuwageukiwa wauza k!!!! Tafadhali jamani msiwaharibie biashara wenzenu.
Hakuna sekta iliyowahi kuguswa na Awamu hii ikabaki salama.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji848]
 
Walipe kodi hii biashara ni kongwe toka enzi za manabii wa Afrika na Asia..Chamsingi changudoa apimwe awe na afya nzuri pia afuate taratibu za afya anapoingia kwenye gegedo..Wapewe mashine za kodi vile vile wawe na sehemu maalum za kuuzia papuchi cha ziada wawe na bei elekezi ili mapato yajulikane..
Ahahaha wadau bwana utawajua tu
 
Ahahaha wadau bwana utawajua tu
Tuna poteza mapato ebu fikiria papuchi inanunuliwa kwa laki 2 kwa saa 1 chukua papuchi 10000 zimenunuliwa kwa bei hiyo ukichukua 20000 kwa kila kichwa ni ela nyingi hapo ujajumuisha wageni wahindi wachina wasomali n.k wanao papuchi hao tuna watoza 50000
 
Tuna poteza mapato ebu fikiria papuchi inanunuliwa kwa laki 2 kwa saa 1 chukua papuchi 10000 zimenunuliwa kwa bei hiyo ukichukua 20000 kwa kila kichwa ni ela nyingi hapo ujajumuisha wageni wahindi wachina wasomali n.k wanao papuchi hao tuna watoza 50000
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
The oldest profession haizuiliki hata kwa mtutu.
Nchi kama Sweden wanakamata mnunuaji lakini iko pale pale.
Hii sheria nilishangaa sana nilipoisoma, yani muuzaji hana kosa ila mnunuaji ndo anakosa
Wazungu wana akili sana...
Ingekuwa wanafanya kwa retailers wa drugs wanasema we hatukufungi miaka 30 ukitupa aliyekupa mzigo... I think tatizo la madawa lingepungua
 
Hii sheria nilishangaa sana nilipoisoma, yani muuzaji hana kosa ila mnunuaji ndo anakosa
Wazungu wana akili sana...
Ingekuwa wanafanya kwa retailers wa drugs wanasema we hatukufungi miaka 30 ukitupa aliyekupa mzigo... I think tatizo la madawa lingepungua
Wazo zuri. Suppliers watajwe na baadaye retailer huyo alindwe.
 
Hii sheria nilishangaa sana nilipoisoma, yani muuzaji hana kosa ila mnunuaji ndo anakosa
Wazungu wana akili sana...
Ingekuwa wanafanya kwa retailers wa drugs wanasema we hatukufungi miaka 30 ukitupa aliyekupa mzigo... I think tatizo la madawa lingepungua
Wazo zuri. Suppliers watajwe na baadaye retailer huyo alindwe.
Hizi biashara zina mengi ndani yake... Daima madon hawakamatwi
 
Hizi biashara zina mengi ndani yake... Daima madon hawakamatwi
Hawakamatwi kwa sababu wana support ya Polisi wakubwa na viongozi wakubwa. Kama hakuna political will from above kuondoa hili tatizo, inabaki kuwa hadithi.
 
Ni kwasababu maDon ndo washikilia madaraka ya nchi.. Hizi biashara mara nyingi main players Ni wanasiasa wakubwa paka rais (Bill Clinton aliyokuwa gavana wa Arkansas alihusishwa sana)
Vyombo vya intelligence kama usalama wa taifa
Viongozi wa polisi
Viongozi wa kijeshi
Viongozi wa dini
Na watu wenye close ties na hao watu
Hizi biashara zina mengi ndani yake... Daima madon hawakamatwi
 
Ni bora watambulike kuliko hivi wanavyo fanya biashara kimya kimya.. Maana mpaka baadhi ya wake za Watu wanauza.
 
Boss Mshana Jr.
Kwani hii biashara ilipigwa marufuku lini?
Kama marufuku mbona pale Kinondoni, kwa mfuga mbwa , buguruni na Temeke sudan iko miaka nenda na hata mkuu wa mkoa anajua lkn hatua stahiki hazijachukuliwa?
Je? Kuna nchi duniani imeshafanikiwa kutokomeza umalaya? Kumbuka hata nyumba ndogo ni malaya tu.
 
Back
Top Bottom