Mkuu itabidi nikutafute.....Unaweza kunisaidia walau kwa kuanzia....Hivyo vni vitu vidogo tu.
Kama mpaka hapo ilipofika imekula 14Mil, basi ukiongezea 6Mil ingine unamaliza kila kitu.
Mkuu itabidi nikutafute.....Unaweza kunisaidia walau kwa kuanzia....Hivyo vni vitu vidogo tu.
Kama mpaka hapo ilipofika imekula 14Mil, basi ukiongezea 6Mil ingine unamaliza kila kitu.
Jamani naomba niulize kwa wana JF ambao ni wataalamu wa ujenzi.
Naomba wanipatie bajeti ya kujenga nyumba ya kawaida yenye vyumba 5, sebule, kitchen, dinning na sitting room ina cost kwa makisio shilingi ngapi?
Naomba nielimishwe,
Asanteni.
Unataka liwe na lita ngap?la pembe nne au la round?upo wapi? Hapo ulipo kuna mchanga au mawe?
Unataka liwe na lita ngap?la pembe nne au la round?upo wapi? Hapo ulipo kuna mchanga au mawe?
Mkuu Mashauri nakushauri nunua uwanja ujenge mwenyewe kwa kutumia wataalam wa ujenzi kununua kuna athari nyingi unaweza kuta plan iliyotumika sio ulivyopenda nyumba yako iwe,au material waliyotumia wakati wa ujenzi sio standard,ukijenga mwenyewe hata kama utawweka mkandarasi na wewe utapata nafasi ya kupita na kuangalia maendeleo.
But u can buy a plot first.kuna viwanja chanika vingi sana na bei rahisi .kuanzia 4mil. 0713959290
Jamani hapo hadi Archtect. Me nipo nicheki hapa 0653077677